Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anatumia ngekewa au kamzizi kukiangamiza CCM na kushawishi watu kumfuata?

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu anatumia ngekewa au kamzizi kukiangamiza CCM na kushawishi watu kumfuata?

Hivi hii hukumu ya Africa Mashariki ccm wameshatekeleza?
 

Attachments

  • Screenshot_20200820_103832_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_20200820_103832_com.android.chrome.jpg
    131.3 KB · Views: 1
Kwangu naona lissu amemhurumia sana jpm, jpm kafanya mengi ya hovyo kama uvunjaji wa katiba, kuonea watu, kutoa mikopo kiubaguzi.

Kutumia polis kunyanyasa wapinzani, kujipendelea.kushindwa kusimamia usalama wa ria na Mali zao na kusababisha kutekwa watu na kupigwa risasi mchana kweupe
Mkuu ile hotuba ya kibondo inaweza kupelekea watu wakampiga mawe mtu.Lissu anatakiwa kuendelea kurusha haya mambo mazito
 
Big up Mkuu! Msema kweli ni mpenzi wa Mungu , kuna wanaCCM wameshikilia bango la kung'ang'ania uwongo uitwe ukweli na ukweli uitwe uwongo! Ndio maana hata Askofu Bagonza akaamua kugeuza ili kwenda sambamba bila kupoteza maana kwamba penye CHADEMA weka CCM na penye CCM weka CHADEMA! Ni kweli ulio wazi chama kilichoko ikulu kimeshachokwa hata wanaCCM wenyewe achilia mbali wapiga kura! Tunaomba Mungo akawanyong'onyeze wote na wapigwe ganzi ya fahamu wanao waza kufanya aina yoyote ya kuhujumu maamuzi halali ya wananchi!
 
Hivi hii hukumu ya Africa Mashariki ccm wameshatekeleza?
Aisee kama hiyo hukumu ni halali basi Lissu ameshashinda asubuhi na mapema! Maana katika kampeni za mwaka huu mgombea wa CCM ameshakiuka sheria na kanuni za uchaguzi mara kadha ambapo kama Lissu akishindwa kwa sababu yoyote na akaamua kwenda mahakamani kupinga ushindi wa CCM kwa kutumia hoja hizi , basi ni dhahiri Ushindi wa CCM lazima utenguliwe! Baadhi ya makosa na ukiukwaji ni pamoja na;-
1.Mgombea wa CCM kutumia cheo cha urais kutoa ahadi wakati wa kampeni
2.Mgombe wa CCM kutumia cheo cha urais kupiga simu katikati ya mkutano wa kampeni kuamuru ujenzi wa barbara uanze
3.Mgombe wa CCM kuingilia mkutano wa LIssu kule kigoma ilihali hakuwa na ratiba ya Tume ya uchaguzi
4.Mgombea wa CCM kutumia rasilimali za serikali kwa shughuli za kisiasa.
5.Serikali nzima wakiwemo wabunge ambao ni mawaziri wote na manaibu mawaziri wote wa CCM kuendelea nyadhifa zao ilihali bunge lilishavunjwa na wanatumikia nyadhifa zao kukipigia CCM kampeni huku wakitumia rasilimali za serikali.
 
Kafara La damu mbichi ya mwanadamu hai iliyogusa ardhi isiyosakafiwa ni kafara lenye nguvu mno
Kafara nyingi huwa na damu mbichi lakini kiumbe hufa kwa mateso mara nyingi ya kuachiwa kirukeruke mpaka roho itoke..hizi kafara za namna hii huwa zina nguvu lakini hazina double impact kama lile la Lissu
Kafara hili nguvu na mvuto wake ni zaidi ya ndele na yale mafuta ya simba kwakuwa
Damu mbichi ya moto imebusu udongo
Damu haikuwa mfu
Roho haikutengana na nafsi hai
Mwili ulijeruhiwa lakini haujaharibika
Ni nguvu mara tatu DAMU NAFSI NA ARDHI

Hii inapelekea hata wale wanaojaribu kujibu hoja zake wanaishia kukosa nguvu ...wanaishia kukosa mvuto kishapo wanaweweseka...mfano halisi ni mgombea pinzani na vijana wa lumumba mitandaoni
Kitu kingine ni kwamba kafara hili nguvu yake ilianza kazi kipindi kilekile ndio maana likafubaza hata lile kafara maarufu la kukimbiza moto nchi nzima maarufu kama mwenge wa uhuru

Kwahiyo nguvu na mvuto alivyonavyo TAL ni vya kiroho zaidi kuliko kimwili na ndio maana ganzi zilianzia pale airport alipotua mpaka kupitishwa na tume ya uchaguzi...

Na huu mwendo ni mpaka ikulu...hakuna majeshi wala polisi watainua silaha juu yake..ganzi itakapowaisha jamaa yuko ndani ya jumba jeupe
spiritual
 
Aisee kama hiyo hukumu ni halali basi Lissu ameshashinda asubuhi na mapema! Maana katika kampeni za mwaka huu mgombea wa CCM ameshakiuka sheria na kanuni za uchaguzi mara kadha ambapo kama Lissu akishindwa kwa sababu yoyote na akaamua kwenda mahakamani kupinga ushindi wa CCM kwa kutumia hoja hizi , basi ni dhahiri Ushindi wa CCM lazima utenguliwe! Baadhi ya makosa na ukiukwaji ni pamoja na;-
1.Mgombea wa CCM kutumia cheo cha urais kutoa ahadi wakati wa kampeni
2.Mgombe wa CCM kutumia cheo cha urais kupiga simu katikati ya mkutano wa kampeni kuamuru ujenzi wa barbara uanze
3.Mgombe wa CCM kuingilia mkutano wa LIssu kule kigoma ilihali hakuwa na ratiba ya Tume ya uchaguzi
4.Mgombea wa CCM kutumia rasilimali za serikali kwa shughuli za kisiasa.
5.Serikali nzima wakiwemo wabunge ambao ni mawaziri wote na manaibu mawaziri wote wa CCM kuendelea nyadhifa zao ilihali bunge lilishavunjwa na wanatumikia nyadhifa zao kukipigia CCM kampeni huku wakitumia rasilimali za serikali.
Ndio maana nimeuluza maana sina hakika km maccm yameshakubali kutekeleza hiyo hukumu halali au wanataka mpaka wawekewe vikwazo
@TunduALissu
 

Attachments

  • Screenshot_20200820_103832_com.android.chrome.jpg
    Screenshot_20200820_103832_com.android.chrome.jpg
    131.3 KB · Views: 1
Ninaona leo mmejaribu kujibu hoja ya kugawa majimbo na hoja ya vitambulisho. Lakini kule kwa mtoto wa dada kuwa Paymaster General, na Mayanga Constructions hamkugusa kabisa.
Ahaaa kuna mme mwenza ndiye mwenye tenda zote kubwa kubwa kanda ya ziwa, akilipwa na mtoto wa dada. Ufisadi huu haujapata kuwepo nchini.
 
Kule namtumbo na Dodoma na singida tuna uranium eti yote Ni ya mafisadi ya maccm yaliyoko Dar, Kama ilivyo gas ya mtwara na Lindi, au dhahabu ya shinyanga

Bila majimbo Haikubaliki
Ninachokijua mimi kuhusu chadema huwa hawakai kwenye hoja moja. Huhamahama kama nyumbu tena kwa kasi na kusahau walikotoka.

Sera mpya ni majimbo. Endeleeni nayo.
 
Uchaguzi 2020 - CHADEMA kwaheri ya kuonana. Chama kitabaki Youtube, Twitter, Facebook na Instagram
Asante kwa kuongoka
Mimi ni mwana CCM, Tundu Lissu anachotufanyia sio sahihi kabisa, Sasa anatuchezesha segere ya kujibu hoja zake ambazo kwenye TV hazionyeshwi na hazijibiki.

Yale maelfu ya watu wanaomfuata wanatoka wapi?

Taarifa zake zinaenea kwa style ipi mpaka viongozi wa ccm wanazipata na kuzijibu?

William Lukuvi aliwahi kutamka kuwa Tundu lissu anatumia Ngekewa au kamzizi wakati wa Bunge la Katiba kushawishi wajumbe wamsikilize na wengi kukubaliana na hoja zake, Kauli ya lukuvi ilitokana na Tundu lissu kuwazidi kwa hoja za mambo ya muungano na uwezo wa kushawishi wajumbe

Je, kwa haya yanayoendelea kwenye kampeni kwa umati unaomfuata na kusababisha kila mtu kumfuatilia ni Ngekewa au kamzizi?

Siamini katika ndumba lakini hizi video zinajieleza

Kama watu wameamua tu kumfuata bila ndumba au kamzizi basi ccm chama changu kinapaswa kubadili mbinu

Facebook huko imewekwa hoja ya Majimbo watu wanaisifia na kuponda chama cha mapinduzi vibaya sana na hii ndio imepelekea mimi kuandika hii mada hapa JF

Nashauri chama changu mbinu ya kumaliza hizi hoja ni kutekeleza mambo yafuatayo kuelekea oktoba 2020

Mosi, Kushusha kodi ya pay as you earn kwa asilimia mbili

Pili, Kurudisha riba ya mikopo ya wanafunzi mpaka kumi asilimia au nane

Tatu, Kuwaomba radhi wale ambao bado wana hasira na chama hasa baadhi ya wafanyabiashara na wakulima

Nne, Kundi kubwa la CCM linaonyesha litapiga kura za hasira hivyo linahitaji kuwa nalo makini,Hawa wanashangilia lakini ni dhahiri watakiadhibu chama kwenye sanduku la kura,Tuwe nao watu hawa makini kwenye kampeni

 
Kwenye TATU ongeza wafanyakazi awafikirie hata kwa kuhaidi jambo tu, wana watu wengi nyuma.
 
Kafara La damu mbichi ya mwanadamu hai iliyogusa ardhi isiyosakafiwa ni kafara lenye nguvu mno
Kafara nyingi huwa na damu mbichi lakini kiumbe hufa kwa mateso mara nyingi ya kuachiwa kirukeruke mpaka roho itoke..hizi kafara za namna hii huwa zina nguvu lakini hazina double impact kama lile la Lissu
Kafara hili nguvu na mvuto wake ni zaidi ya ndele na yale mafuta ya simba kwakuwa
Damu mbichi ya moto imebusu udongo
Damu haikuwa mfu
Roho haikutengana na nafsi hai
Mwili ulijeruhiwa lakini haujaharibika
Ni nguvu mara tatu DAMU NAFSI NA ARDHI

Hii inapelekea hata wale wanaojaribu kujibu hoja zake wanaishia kukosa nguvu ...wanaishia kukosa mvuto kishapo wanaweweseka...mfano halisi ni mgombea pinzani na vijana wa lumumba mitandaoni.

Kitu kingine ni kwamba kafara hili nguvu yake ilianza kazi kipindi kilekile ndio maana likafubaza hata lile kafara maarufu la kukimbiza moto nchi nzima maarufu kama mwenge wa uhuru.

Kwahiyo nguvu na mvuto alivyonavyo TAL ni vya kiroho zaidi kuliko kimwili na ndio maana ganzi zilianzia pale airport alipotua mpaka kupitishwa na tume ya uchaguzi.

Na huu mwendo ni mpaka ikulu...hakuna majeshi wala polisi watainua silaha juu yake..ganzi itakapowaisha jamaa yuko ndani ya jumba jeupe.
Naona hata chair mbowe kama Hana Raha na lissu, anahisi kabisa anapokwa uenyekiti.
 
Vyombo vyote vimeanza kujiandaa jamaa aapishwe

Muda mfupi ujao hautamsikia Siro Wala nani wote watatulia tu.
Ni vixuri ujifariji maana mateso utakayopata kuanzia tarehe 28/10 hayaelezeki na huku mgombea wenu ataanza safari za kwenda mtaa wa Bibi Titi.Stress ya kutosha kuwazeesha
 
Ni vixuri ujifariji maana mateso utakayopata kuanzia tarehe 28/10 hayaelezeki na huku mgombea wenu ataanza safari za kwenda mtaa wa Bibi Titi.Stress ya kutosha kuwazeesha
Kiongozi na ile clip ya Mwingira,kuna kitu hakipo sawa
 
Weledi wa Lissu ,hoja zake nzito za kisheria ,ujengaji hoja , umakini upeo ndio hirizi na kamzizi ka Lissu nyinyi Lumumba .
 
Back
Top Bottom