Tundu Lissu anayeshambulia Serikali worldwide kwanini bunge linamjibu countrywide? Hatuwezi kufika huko duniani kumjibu!

Tundu Lissu anayeshambulia Serikali worldwide kwanini bunge linamjibu countrywide? Hatuwezi kufika huko duniani kumjibu!

Endeleeni kulalama ila wenye akili zao walijua Lissu akipona atawaharibia pakubwa kwa mtu wa kawaida unaweza usione madhara ya huyu mtu moja kwa moja lakini serikali inajua na inaumia sana sema tu kukiri hawawezi.
 
Wenye akili wanaangalia ufanisi, sio kubwabwaja tu kama kupiga risasi hewani. Hit the target direct, that is economic bro. Mwache apayuke huko but target yenye ufanisi na faida ni wananchi wa Tanzania pekee
Kwa hiyo supika ambaye ameanza kujibu mapigo unamuita mpayukaji siyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa Jana nasoma ratiba ya lisu huko nje nimeogopa sna,kinachonitisha zaidi ni baadhi ya watu atakaokutana nao ukiacha media atakazo tumia, ujeruman atakutana na mabalozi wa EU ,na maofisa wa bunge , marekani atakutana Hadi na maofisa wa Mambo ya nje ,hii imenishtua sana.hapo sjataja na wengine nyeti

Sent using Jamii Forums mobile app
Huko nje kwa sasa wanajua rais wa Tanzania ni Tundu Lisu, maana ******** yeye zake ni humu humu akijitahidi sana kutoka ameenda chato hapo yeye anajiona kama vile kaenda ughaibuni.
 
CCM mtajuta kulea watu wasiojulikana maana haya ndio matokeo yake.

Ole wenu mjaribu kupeleka watu kwenye media kubwa kama hizo maana sioni kama mtamudu kujibu maswali mtakayoulizwa.
 
Nadhani huenda CCM kwa sasa imejaa mazezeta kwa kwenda mbele, unafikiri kuna atakaye thubutu kumjibu Lissu kwa hoja? Karibu wote wamebakia kimya, porojo na propaganda tu. Lissu kawalaza Wote chaliii.

Nenda kamuulize Anna Makinda akwambie Lissu ni jembe la namna gani kwa hoja?

Wewe unafikiri, wale wasiojulikana waliamka tu na kwenda kumpiga risasi Lissu? Kwa vyovyote vile watakuwa walitumwa ili kumnyamazisha. Nani aliwatuma? Jibu kila mtu analo. Kama unabisha muulize Jiwe, huenda atakwambia kitu kuhusu Lissu.

Tundu Lissu ni kama bomu la atomic kwenye siasa za Tanzania. Hoja zake zinawanyima usingizi wanaCCM wote, kuanzia pale bungeni, Lumumba mpaka magogoni huenda huwa wanapata tumbo la kuharisha fulani hivi kila wakisikia Lissu ana hits kwenye media.

Kwa kukusaidia tu, fahamu kuwa, kuna wema wengi mnoo wamemzunguka Lissu na wengi wao ni wasomi, wanasheria, makada wa CCM wenye akili timamu, waandishi wa habari, wafanyakazi, wafanyabiashara, askari, wawekezaji na yote kwa yote, MUNGU yupo upande wa Lissu(Kaa tafakari tu, ni vipi aliweza kutoka akiwa hai katikati ya ile mvua ya risasi za bunduki za kijeshi.)
Mkuu acha wajiroge wathubutu kwenda.
Wana ccm hawanjui vizuri Lissu ni mtu gani ndio manaa mpaka leo kawazidi kete Wanabaki kujiuliza maswali kwanini Lisu anapendwa na Watanzania wengi??Ukweli ni kwamba ccm ilipoteza mvuto kitambo sana japokua Watanzania wengi wameichukia baada ya awamu hii Wana ccm pamoja na mleta mada wamemjua Lissu baada ya kua mbunge Ukweli ni kwamba Lissu ni mwanaharakati anayetumia juakwaa la siasa kutimiza malengo yake ya kuisambalatisha ccm Angalia karata zake mwanzo mwisho kazipanga vizuri ,Lissu aliingia kwenye siasa kupanua wigo ili kutimiza ndoto zake Tundu Lissu nampenda kwasababu vipaumbele vyake chakwanza ni kuisambalatisaha ccm wala sio kuwa Raisi wa Tanzania lakini yuko tayari kugombea Uraisi ili kutimiza malengo yake. Kubali au kataa Lissu anaenda kua Raisi wa Tanzania 2020 kisha ataongoza miaka 5 tu na kumwachia mtu mwingine atakua ametimiza ndoto zake Utakua mwisho wake kwenye sisasa atabaki mtu mwenye heshima kama Madiba kisha ataedelea na kazi yake ya uwakili , Fatilia vizuri kwaumakini tangu kaanza harakati zake ni sawa na mshabuliaji mwenye chenga nyingi na mbinu nyingi za kufunga magoli zisizo tabilika hataka kama mabeki wako makini kiasi gani Fatilia vizuri tangu kaanza harakatizake hajawai kushindwa kuanzia chaguzi mbali mbali Hoja Lissu nikama Madiba sio mwanasia typical Ni mtu makini sana anayefanya harakati zake kisayansi zaidi kumuelewa untakiwa kua na IQ kubwa sana na ni mtu asiependa uonevu na ndio ungovi wake na ccm uliko anzia.
 
Tanzania inauliwa na milengo ya kisiasa - mtu kuwa mlengo wa kushoto ni tabu vile vile kuwa mlengo wa kulia ni tabu - kaeni katikati ili mtumie taaluma zenu kwa ufasaha
 
Umewahi kumsikia Paramagamba akivunja yai........Ufipa wote mnasubiri!
Kukodoa macho sawa ila yai bado saaana. Ila umenena jambo la msingi sana ni vizuri kukawa na mtu atakayemjibu Lissu hoja kwa hoja kwenye media zilezile alizopitia. Wakianza na "the hard talk", DW etc. Nadhani nambari one mwenyewe atafaa zaidi kwa kuwa Lissu amemshutumu mambo mengi.
 
..lets be honest.

..Jiwe akienda Hardtalk ataaibika.

..angalieni interview ya Kampala halafu muone kama ataweza Hardtalk.

..wako wenye uwezo wa kuimudu Hardtalk miongoni mwao ni, Prof.Kabudi, Dr.Mahiga, Dr.Mwakyembe, January Makamba, na Dr.Migiro.

..lakini tatizo ni kwamba siyo rahisi kwenda kulielezea tukio la kushambuliwa Mh.Lissu kwa audience ya nchi za magharibi.

..haiyumkini ktk demokrasia za wenzetu Chief Whip wa upinzani akashambuliwa ktk eneo lenye ulinzi kama ilivyotokea kwa Mh.Lissu.

..pia haiyumkini maandamano ya kudai yaki yanayoongozwa na kiongozi wa upinzani yakatawanywa kwa risasi za moto na mabomu ya machozi kama ilivyotokea kwa Mh.Mbowe.

..again, siyo kwamba serekali haina wasemaji wanaoweza kuitetea huko nje, ila tatizo ni kama wana utetezi wenye mantiki na unaoweza kueleweka ktk vyombo vya habari vya kimataifa.
 
Hao BBC na CNN unadhani wanampenda Lissu Au wanatumwa na mazingira ya mabeberu wanaosaka vitu wasivyovipata. Jifunzeni Hakuna taifa linalohangaika na taifa lisilo na faida kiuchumi. Iwe kwa Serikali Au walipa kodi wake wakubwa. Kwa Lugha nyepesi huyu mnayemwita msomi Lissu anatumika wazi wazi na jiulize Sasa kwa faida ya nani. Zamani ningehisi hamuelewi. Ila sasa na wasiwasi wa akili. Siasa ni siasa lakini mtu mzima mwenye akili hawezi kuleta ushabiki katika Identity yake. Ndo Mana ndani ya ndoa huwezi Kuta mke Au mume wanaomba air Time kutangaza uwingi Wa maji Au ukibamia wa Mwenza eti apate amani. Huruma sana.
Hivi angekuwa anatumia muda wake kutembeza bakuli Kama tunavyofanya ccm,ungeandika hivi pia?
 
Watanzania wengi lugha ya malkia ni shida !! Yaani shida ! Hata professor inampa shida ! Hongera Lissu kwa kutuondolea aibu katika hardtalk , ni wachache wanaopenya katika hardtalk . Japo ulizidiwa kwa kukosa ushahidi , lugha ya malkia ilipanda . Kwenye mpira unafungwa ila unatamba kwa kupiga chenga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unataka kumuua chakubanga na Pressure yani Umkaange Hard talk si atatoka pale na kiharusi, Apo mtu sahihi wa kumjibu ni mahiga
 
Nimeshangazwa na namna Tundu Lisu anavyopewa umaarufu wa bure bila sababu za msingi. Wakati Lisu akitumia vyombo vikubwa vya habari duniani kuinanga serikali na bunge lake, bunge linatumia TBC kumjibu, tena wala hawatumii extenal service kama ipo.

Najiuliza tu kama msemaji wa bunge au serikali hawawezi kumpinga na kumshushua Tundu Lisu kwa kutumia media za kimataifa.
Ingependeza hata kumuona msemaji wa CCM ndugu Polepole kwenda pale BBC au CNN kuweka mambo sawa dunia ijue ukweli.

Lakini yupo mwanaccm nguli ambaye ana uzoefu kidogo na hizo International media ndugu yetu Pascal Mayalla, katika hili nadhani angeweza kusaidia.
Cha msingi Tundu Lisu ni lazima ajibiwe kwa njia ile ile anayoipitia kushambulia na siyo hadi tumsubiri Salary slip atuletee mashambulizi hayo kwa tafsir ya kiswahilii ndio tukurupuke kumjibu.........Ndio sababu tunanukuliwa vibaya.

Niwatakie Ijumaa njema
Maendeleo hayana vyama!
Ulipokuwa unampiga risasi.ulidhani angekufa hukujua haya, serikali hii hii inazembea kumtafuta aliye mpiga risasi na uongozi huu huu ulimnyima matibabu unategemea aseme nini kuwahusu nyie mashetani wauaji. Mungu atawahukumu mtakufa mkitembea wewe mmoja wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshangazwa na namna Tundu Lisu anavyopewa umaarufu wa bure bila sababu za msingi. Wakati Lisu akitumia vyombo vikubwa vya habari duniani kuinanga serikali na bunge lake, bunge linatumia TBC kumjibu, tena wala hawatumii extenal service kama ipo.

Najiuliza tu kama msemaji wa bunge au serikali hawawezi kumpinga na kumshushua Tundu Lisu kwa kutumia media za kimataifa.
Ingependeza hata kumuona msemaji wa CCM ndugu Polepole kwenda pale BBC au CNN kuweka mambo sawa dunia ijue ukweli.

Lakini yupo mwanaccm nguli ambaye ana uzoefu kidogo na hizo International media ndugu yetu Pascal Mayalla, katika hili nadhani angeweza kusaidia.
Cha msingi Tundu Lisu ni lazima ajibiwe kwa njia ile ile anayoipitia kushambulia na siyo hadi tumsubiri Salary slip atuletee mashambulizi hayo kwa tafsir ya kiswahilii ndio tukurupuke kumjibu.........Ndio sababu tunanukuliwa vibaya.

Niwatakie Ijumaa njema
Maendeleo hayana vyama!
Hata hivyo kwa taarifa yako halijajibu chochote zaidi ya spika kutaja stahiki zake za malipo ya mishahara ambazo kila mbunge anapata. Hajajibu madai ya kutogharimiwa matibabu, kuondolewa kwa walinzi na kamera za usalama siku aliyoshambuliwa, serikali kutochukua hatua za uchunguzi na walipoombwa waletwe wapelelezi kutoka nje serikali ilikataa? Kwanini watu waliokuwa wakivaa tshirt za kumtakia Lissu apone walikuwa wakikamatwa? Kwanini maombi yakumwombea yalikuwa yanazuiliwa?! Hakuna cha maana alichojibu Ndugai ni kama aliyetumwa maji yeye akaleta moto. Hopeless!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeshangazwa na namna Tundu Lisu anavyopewa umaarufu wa bure bila sababu za msingi. Wakati Lisu akitumia vyombo vikubwa vya habari duniani kuinanga serikali na bunge lake, bunge linatumia TBC kumjibu, tena wala hawatumii extenal service kama ipo.

Najiuliza tu kama msemaji wa bunge au serikali hawawezi kumpinga na kumshushua Tundu Lisu kwa kutumia media za kimataifa.
Ingependeza hata kumuona msemaji wa CCM ndugu Polepole kwenda pale BBC au CNN kuweka mambo sawa dunia ijue ukweli.

Lakini yupo mwanaccm nguli ambaye ana uzoefu kidogo na hizo International media ndugu yetu Pascal Mayalla, katika hili nadhani angeweza kusaidia.
Cha msingi Tundu Lisu ni lazima ajibiwe kwa njia ile ile anayoipitia kushambulia na siyo hadi tumsubiri Salary slip atuletee mashambulizi hayo kwa tafsir ya kiswahilii ndio tukurupuke kumjibu.........Ndio sababu tunanukuliwa vibaya.

Niwatakie Ijumaa njema
Maendeleo hayana vyama!

Kwani hamuwezi kuvifungia vyombo vya huko ulimwenguni kama mnavofanya kwa KUBENEA?
 
Nimeshangazwa na namna Tundu Lisu anavyopewa umaarufu wa bure bila sababu za msingi. Wakati Lisu akitumia vyombo vikubwa vya habari duniani kuinanga serikali na bunge lake, bunge linatumia TBC kumjibu, tena wala hawatumii extenal service kama ipo.

Najiuliza tu kama msemaji wa bunge au serikali hawawezi kumpinga na kumshushua Tundu Lisu kwa kutumia media za kimataifa.
Ingependeza hata kumuona msemaji wa CCM ndugu Polepole kwenda pale BBC au CNN kuweka mambo sawa dunia ijue ukweli.

Lakini yupo mwanaccm nguli ambaye ana uzoefu kidogo na hizo International media ndugu yetu Pascal Mayalla, katika hili nadhani angeweza kusaidia.
Cha msingi Tundu Lisu ni lazima ajibiwe kwa njia ile ile anayoipitia kushambulia na siyo hadi tumsubiri Salary slip atuletee mashambulizi hayo kwa tafsir ya kiswahilii ndio tukurupuke kumjibu.........Ndio sababu tunanukuliwa vibaya.

Niwatakie Ijumaa njema
Maendeleo hayana vyama!
Ukijibu maswali haya utaweza kumshambulia Lissu word wide 1.Ni zaidi ya mwaka sasa tangia shambulio la kidharimu dhidi yake lifanyike je hao wanaosemekana watu wasiojulikana mmewakamata? 2.kwanini mme kataa uchunguzi huru ni zaidi ya mwaka bado hao wasiojulikana wanaendelea kudunda 3.nini ni nyuma ya pazia kupelekea kuto mpa pesa za matibabu ambazo mbunge anasitahili kikatiba 4.km Walinzi muliwaondoa wote kwenye maeneo yote mmeshindwa kujua wa kuanza naye?
 
Nimeshangazwa na namna Tundu Lisu anavyopewa umaarufu wa bure bila sababu za msingi. Wakati Lisu akitumia vyombo vikubwa vya habari duniani kuinanga serikali na bunge lake, bunge linatumia TBC kumjibu, tena wala hawatumii extenal service kama ipo.

Najiuliza tu kama msemaji wa bunge au serikali hawawezi kumpinga na kumshushua Tundu Lisu kwa kutumia media za kimataifa.
Ingependeza hata kumuona msemaji wa CCM ndugu Polepole kwenda pale BBC au CNN kuweka mambo sawa dunia ijue ukweli.

Lakini yupo mwanaccm nguli ambaye ana uzoefu kidogo na hizo International media ndugu yetu Pascal Mayalla, katika hili nadhani angeweza kusaidia.
Cha msingi Tundu Lisu ni lazima ajibiwe kwa njia ile ile anayoipitia kushambulia na siyo hadi tumsubiri Salary slip atuletee mashambulizi hayo kwa tafsir ya kiswahilii ndio tukurupuke kumjibu.........Ndio sababu tunanukuliwa vibaya.

Niwatakie Ijumaa njema
Maendeleo hayana vyama!
Wewe unataka serikali ikaombe airtime huko nje? Hizo media ziko hapa na habari zinaenda kote huko. Lissu ni mtu Mdogo sana kumfuata huko aliko ni kupoteza mda. With time atanyamaza na atakuwa mtu Wa kutupwa.
 
Wenye akili wanaangalia ufanisi, sio kubwabwaja tu kama kupiga risasi hewani. Hit the target direct, that is economic bro. Mwache apayuke huko but target yenye ufanisi na faida ni wananchi wa Tanzania pekee
Wakati yuko world travel, huku singida mashariki wapiga kura wako hivi
tapatalk_1549018577189.jpeg
tapatalk_1549018590097.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe unataka serikali ikaombe airtime huko nje? Hizo media ziko hapa na habari zinaenda kote huko. Lissu ni mtu Mdogo sana kumfuata huko aliko ni kupoteza mda. With time atanyamaza na atakuwa mtu Wa kutupwa.

Nyie wenyewe ndiyo mnampaisha kila siku kuna nyuzi zaidibya kumi zinaanzishwa na mazwazwa wa Lumumba kumkejeli.
 
CCM mwisho wao ni TBC tu, tena ya kiswahili, lugha ni tatizo, uongo mwingi
Hv kuongea kingereza Ndo deal kuna Watu wanaongea lugha za kimataita zaidi ya Saba pale marangu gate na hawana hata elimu ya drs LA 7.Sasa kingereza cha TunduLake cha followingi me Mara this and that Ndo mnakaa kumsifia Anajua lugha Washamba ni wengi nchi hii
 
Back
Top Bottom