Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu.
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu anazungumza muda huu huko mkoani Singida kuhitimisha kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,
Fuatilia uzi huu kujua nini kinaendelea
View: https://www.youtube.com/watch?v=8ce4BzwRybQ&ab_channel=JAMBOTV
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu anazungumza muda huu huko mkoani Singida kuhitimisha kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,
Fuatilia uzi huu kujua nini kinaendelea
- Tundu Lissu amesema kuwa mara ya mwisho Tanzania kufanya Uchaguzi ilikuwa nwaka 2014 kwani mwaka 2019 kulikuwa hakuna Uchaguzi kwani Magufuli aliwafuta wapinzani wote.
- CCM ipo madarakani kwa sababu ya polisi na vyombo vya usalama lakini ukiondoa nguvu ya kijeshi CCM isingekuwepo madarakani
View: https://www.youtube.com/watch?v=8ce4BzwRybQ&ab_channel=JAMBOTV