Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,363
Huyo siyo lissu. Hapo ni lugalo. Walistage ilo tukio kesho yake baada ya lisu kupogwa risas huyo mbabu ni mwanausalama eti naye kapigwa risasiAcha upotoshaji. Magu hakwenda kumuona Lissu pia Lissu hakupelekwa DAR. Aliondokea Dodoma kuelekea Nairobi. Anyway, kama wauaji na wao waliuwawa ni habari njema.
Mkuu hii picha ni baada ya lissu kupigwa riisasi kesho yake wakastage jili tukio. Hapo lugalo. Eti ionekane kulikuwa na maharamia wanapiga watu riisasi hovyo hovyo akiwa lissu. Umesaha?
Umepitilizasafi sana na asije akarudia Tena kuleta ujuaji kwenye mambo ya watu
Umeelewa ulichoandika? Hebu angalia ulichoandika na alichoandika mleta mada kama vina uhusianoLeo ndio ameliona ,zile picha mlizokuwa mahesabu eti risasi 18 mara 36 mara 40 ulikuwa mnazitoa wapi na je Lisu hakuziona ?
USSR
Hebu ona aibu kidogo! Acha kujizima data na kujifanya mjuaji kiasi hikiMTU unajitolea kusafisha na kuboresha nyumban yenu halafu anatokea mbuzi mmoja na kuanza kubwatuka eti majilani hawapendi, anaanza kupeleka majungu kuwa unaharibu vitanda na mapazia Kwa kuvufuta vumbi etc??
MTU huyo Kamata nyanyua miguu juu kichwa chini tupa nje huko hana maana.
sheria ya roho mbaya ni pasu kwa pasu.Umepitiliza
Unakosea mkuu[emoji30][emoji30][emoji30]
Hakuna asiyetaka maridhiano , kisichotakiwa ni maridhiano ya kibwegeAnapokuwa hataki maridhiano alitaka hayo yaliyompata yawe yanaendelea au anamaanisha nini?
Walizushiwa maneno gani?Hatimae polisi wamekata maneno waliyozushiwa kuhusu gari
ngoja ninyamaze ila imeisha hiyo.Hebu ona aibu kidogo! Acha kujizima data na kujifanya mjuaji kiasi hiki
Hiyo itakuwa inahusu yule soldier anayesemekana alipigwa risasi takriban siku chache baada ya tukio la Lissu
Walizushiwa maneno gani?
nimekumbukaMkuu hii picha ni baada ya lissu kupigwa riisasi kesho yake wakastage jili tukio. Hapo lugalo. Eti ionekane kulikuwa na maharamia wanapiga watu riisasi hovyo hovyo akiwa lissu. Umesaha?
Na umeridhika kabisa kuandika hii kituMambo gani na ya watu gani ?!
Kila ubaya utalipwaLissu amesema "wamenifanya Chiba lakini maisha yanaendelea"...nimebubujikwa na machozi leo ashubuhi.
Magufuli alikuwa ni NDULI kabisa. Hivi ni kwa kosa gani aliwatuma akina MAKONDA na kundi la WASIOJULIKANA kutaka kumuua Lissu?Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa , Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua .
Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30 !
Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua , amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake .
Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake , japo ni kwa kuchelewa .
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Mbowe mtu Smart sana, na kama alisurvive utawala wa awamu ya 5 je unaamini anaweza kufanya maridhiano ya kibwege? Kwa sababu ipi ujinga? Ubinafsi? Uoga?Hakuna asiyetaka maridhiano , kisichotakiwa ni maridhiano ya kibwege
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app