Tundu Lissu aoneshwa gari lake lililomiminiwa risasi, ahesabu matundu ya risasi ashangaa aliponaje

Tundu Lissu aoneshwa gari lake lililomiminiwa risasi, ahesabu matundu ya risasi ashangaa aliponaje

Mbinguni ni patakatifu mno, kule hawaendi wala hawangii waovu kama 'shujaa wako' Magufuli, kule sio hapo Magogoni au Chamwino.

Hivi nyie Magufuli aliwalogaje??

Chukua hii:-

"Lakini waoga, WASIOAMINI, wachafu, WAUAJI, WAZINZI, WACHAWI, Waabudu Sanamu, pamoja na WAONGO WOTE, mahali pao ni katika lile ZIWA LIWAKALO MOTO NA KIBERITI. Hiyo ndio mauti ya pili". - Ufunuo 21:8

NB: Hizo nilizo bold zote ni dhambi na matendo ya Mwendazake alipokuwa pande hizi.

Ushauri: Chukua tahadhari na ujitahidi usiende motoni kama yeye.
huko motoni ulimpeleka wewe na moto uliuwasha mwenyewe???????
 
huko motoni ulimpeleka wewe na moto uliuwasha mwenyewe???????
Kwani mimi ni Mwenyezi MUNGU?

Wewe ni muumini/mfuasi wa Mwendazake - maana alipokuwa pande hizi aliitwa 'mungu', 'yesu', 'mkuu wa malaika', 'jiwe' nk nk na yeye aliridhia kabisa! Na hilo swali lako linaonyesha ulivyo na unakosimama.
Tamaa na mambo yake ndio unayoyawaza, kuyatenda na kuyapenda.
 
Back
Top Bottom