Tundu Lissu aoneshwa gari lake lililomiminiwa risasi, ahesabu matundu ya risasi ashangaa aliponaje

Tundu Lissu aoneshwa gari lake lililomiminiwa risasi, ahesabu matundu ya risasi ashangaa aliponaje

Kwa uelewa wangu wa jambo hili, ambalo inanilazimu niseme, kama Lissu mwenyewe karidhia mambo yaishe kienyeji, haliniumizi kichwa; ni kuwa kidhibiti kikiondolewa, maana yake hakuna kesi tena. Huo ndio uelewa wangu mdogo wa mambo kama haya.
Sina tatizo, kama Lissu kaamua kuchukua gari lake na kuamua kuganga yajayo.
nadhani kidhibiti kikubwa ni mwili wake ambao umejeruhiwa sana , tutafukua haya mambo mbele ya safari ikibidi , kwa sasa serikali ya ccm haina mpango wa kujiumbua yenyewe mahakamani

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua

Habari imeandikwa 'too subjectively" kiasi kwamba mtu anayetaka kupat.

1. "Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa, Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua".

a) Kwani awali aliomba kuonyeshwa akakataliwa ili useme 'hatimaye' limetimia?
b) Gari lililotunguliwa: sawa na mtoto anayetungua tunda kwa kurusha mawe mtini?
c) Risasi zisizo na idadi: inaashiria idadi kubwa isiyohesabika.

2. "Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi, amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30!"

a) Amehesabu upya: inamaanisha awali aliwahi kuhesabu.
b) Hesabu imefikia zaidi ya 30: Hapo juu ulisema idadi isiyo na hesabu!
c) Risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa: umejuaji kuhusu kutumwa huku?

3. "Amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake. Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake, japo ni kwa kuchelewa".
Ni dhahiri yeye ndiye anayeamua lini afanye nini. Sasa huko 'kuchelewa' kunatoka wapi?

4. Vipi kuhusu dereva ambaye polisi walitegemea awe shahidi namba moja?
Namba 4 : Polisi haijawahi kumtafuta Lissu wala dereva wake

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Yule aliyekwenda anatetewa na wauaji wenzake tu, mtu mwenye hekima yeyote hawez shangilia tukio lililomkuta lissu
 
Leo ndio ameliona ,zile picha mlizokuwa mahesabu eti risasi 18 mara 36 mara 40 ulikuwa mnazitoa wapi na je Lisu hakuziona ?

USSR
kuna neno inakadiliwa au inasemekana ktk uandishi inakubalika tu.more than or less than.
 
Hakustahili kuumizwa kiasi kile muda mwingine tuangalie familia yake watoto wake wanaumia kiasi gani wakijua baba yao kaumizwa kwaajili ya mambo ambayo hata wangekaa kimya yasingewadhuru. Mm ndio maana namkubali sana kikwete hakua na hayo mambo ya visasi japo nae alikua na njia zake ila sio kama za jpm alifanya kitu kibaya sana

Na kilimgharimu Aisee
 
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa, Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua.

Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30!

Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua, amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake.

Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake, japo ni kwa kuchelewa.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Because he is a victor by MCH. Mwingira....efatha ministry
 
Magufuli alikuwa ni NDULI kabisa. Hivi ni kwa kosa gani aliwatuma akina MAKONDA na kundi la WASIOJULIKANA kutaka kumuua Lissu?

Angalia Mungu alivyo wa ajabu, Lissu bado yuko hai huku yeye Magufuli akiwa katangulia kaburini. Aendelee kuungua na moto wa jehanam huko aliko
Huyo askari magereza kwenye Avatar yako alituhumiwa kua ana mihuri ya Ikulu....

Anakagua simu za wafungwa...Sasa jamaa akajichanganya Kwa the late JPM...

Ivi huyo askari magereza yupo hai Kweli maana JPM alimgeukia mbogo....lija maa linaonyesha ni likatili sana likiongea na JPM kama linaongea na bwana shemeji 😊😂😂😂😂🤣🤣🤣
 
Huyo askari magereza kwenye Avatar yako alituhumiwa kua ana mihuri ya Ikulu....

Anakagua simu za wafungwa...Sasa jamaa akajichanganya Kwa the late JPM...

Ivi huyo askari magereza yupo hai Kweli maana JPM alimgeukia mbogo....lija maa linaonyesha ni likatili sana likiongea na JPM kama linaongea na bwana shemeji 😊😂😂😂😂🤣🤣🤣
Jamaa kwanza alihamishiwa Ukerewe baada ya Magufuli kupita Butimba. Ila baadaye nasikia alifikisha umri wa kustaafu. Yote kwa yote alituheshimisha sana yule kamanda wa magereza
 
Jamaa kwanza alihamishiwa Ukerewe baada ya Magufuli kupita Butimba. Ila baadaye nasikia alifikisha umri wa kustaafu. Yote kwa yote alituheshimisha sana yule kamanda wa magereza
Anaongea na Mh. Raisi kama anaongea na mkwirima🤓😂😂😂😂🤣🤣🤣
 
Huyo siyo lissu. Hapo ni lugalo. Walistage ilo tukio kesho yake baada ya lisu kupogwa risas huyo mbabu ni mwanausalama eti naye kapigwa risasi

Yani hukohuko tu kwa shemeji yako kabla lisu kupigwa risasi hadi basda ya kupigwa risasi
Kabla ya tukio la Kisu kupigwa risasi, nakumbuka kuna wakati alilazwa hosipitali kwa ugonjwa na Magu akamtenbelea kumjulia hali, kwa hiyo picha hiyo si ya maigizo, ni halisi.
 
Kabla ya tukio la Kisu kupigwa risasi, nakumbuka kuna wakati alilazwa hosipitali kwa ugonjwa na Magu akamtenbelea kumjulia hali, kwa hiyo picha hiyo si ya maigizo, ni halisi.
Huyo siyo lissu wewe mbwiga huyo ni jenerali wa jeshi wanasingizia alipigwa risasi akiingia kwake iyo ni baada ya lissu kupigwa risasi.

Bongo tuna mambwiga serious.
 
Hakustahili kuumizwa kiasi kile muda mwingine tuangalie familia yake watoto wake wanaumia kiasi gani wakijua baba yao kaumizwa kwaajili ya mambo ambayo hata wangekaa kimya yasingewadhuru. Mm ndio maana namkubali sana kikwete hakua na hayo mambo ya visasi japo nae alikua na njia zake ila sio kama za jpm alifanya kitu kibaya sana
Mwangosi..ilikuwaje
 
safi sana na asije akarudia Tena kuleta ujuaji kwenye mambo ya watu
Wewe na Magufuli wenu ndio mkome!

Magufuli kafa, Lissu yuko hai - huo ndio ukuu na utukufu wa Mwenyezi MUNGU!

Hiyo ndio habari ya mjini, kwamba - uovu umeshindwa (kama kawaida) na wema!

Go Lissu!! Go champion!!
 
Wewe na Magufuli wenu ndio mkome!

Magufuli kafa, Lissu yuko hai - huo ndio ukuu na utukufu wa Mwenyezi MUNGU!

Hiyo ndio habari ya mjini, kwamba - uovu umeshindwa (kama kawaida) na wema!

Go Lissu!! Go champion!!
wewe na yeye ndo mkome, magufuli Yuko mbinguni anaongoza malaika kisifu na kumuabudu Mungu, Mimi mfuasi wake Niko hapa nawaongezea dozi kina chiba.

pambaaaafu sana
 
wewe na yeye ndo mkome, magufuli Yuko mbinguni anaongoza malaika kisifu na kumuabudu Mungu, Mimi mfuasi wake Niko hapa nawaongezea dozi kina chiba.

pambaaaafu sana
Mbinguni ni patakatifu mno, kule hawaendi wala hawangii waovu kama 'shujaa wako' Magufuli, kule sio hapo Magogoni au Chamwino.

Hivi nyie Magufuli aliwalogaje??

Chukua hii:-

"Lakini waoga, WASIOAMINI, wachafu, WAUAJI, WAZINZI, WACHAWI, Waabudu Sanamu, pamoja na WAONGO WOTE, mahali pao ni katika lile ZIWA LIWAKALO MOTO NA KIBERITI. Hiyo ndio mauti ya pili". - Ufunuo 21:8

NB: Hizo nilizo bold zote ni dhambi na matendo ya Mwendazake alipokuwa pande hizi.

Ushauri: Chukua tahadhari na ujitahidi usiende motoni kama yeye.
 
Huyo siyo lissu wewe mbwiga huyo ni jenerali wa jeshi wanasingizia alipigwa risasi akiingia kwake iyo ni baada ya lissu kupigwa risasi.

Bongo tuna mambwiga serious.
Kwani kupiga soga kwa kubadilishana tu kumbu kumbu hadi tutukanane kwanza, kuna ulazima gani wa kukumbushana issue huku mmetunushiana misuli?
 
Back
Top Bottom