MR KUO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 2,678
- 3,818
usikariri.We mdada una roho mbaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usikariri.We mdada una roho mbaya sana
Naskia makonda ni mhubiri siku izisafi sana na asije akarudia Tena kuleta ujuaji kwenye mambo ya watu
gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuuasafi sana na asije akarudia Tena kuleta ujuaji kwenye mambo ya watu
Habari imeandikwa 'too subjectively" kiasi kwamba mtu anayetaka kupat.Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa, Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua.
Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30!
Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua, amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake.
Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake, japo ni kwa kuchelewa.
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Tofautisha kuona gari na kuona picha ya gari.Leo ndio ameliona ,zile picha mlizokuwa mahesabu eti risasi 18 mara 36 mara 40 ulikuwa mnazitoa wapi na je Lisu hakuziona ?
USSR
Mambavu ×1000safi sana na asije akarudia Tena kuleta ujuaji kwenye mambo ya watu
Yaani anashindwa kununua gari jipya anahangaika na screpaHayawi hayawi hatimaye yamekuwa, Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua.
Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30!
Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua, amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake.
Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake, japo ni kwa kuchelewa.
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Bado wanamsubiri dereva wake wamuhoji.Polisi wao wanasemaje?
Wote hawakustahili kufanyiwa matendo yaleHivi kati Lisu na Dr Ulimboka nani aliuumia sana kuliko mwenzie!!??
SawaHayo maneno kawaambie familia ya Mwangosi.
Naye hakustahili kufanyiwa unyama uleUnamkumbuka Dr Ulimboka wewe.
safi sana na asije akarudia Tena kuleta ujuaji kwenye mambo ya watu
Kwani hamwezi kusaidia bila kuombwa ?.....saidia huo upelelezi kiongoziAsante sana kwa taarifa, kumbe, uchunguzi wa tukio hilo umekamilika hadi PT ku relese vital evidence!. Siku zote nilidhani ni Lissu alikuwa anasubiriwa aandike maelezo ndipo uchunguzi uanze, kumbe uchunguzi imefungwa!. Niliwahi kushauri, na leo nashauri tena, WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
Kama serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi, isione aibu kusema imeshindwa, watu wenye uwezo huo tupo, serikali iseme wazi imeshindwa na kutoa Rai kwa wenye uwezo wajitokeze wasaidie, watu tupo, tutajitokeza, tuta saidia.
Tena sii wengi humu wanajua, waandishi wa habari wa IJ, wana uwezo mkubwa sometimes kuliko hata polisi wetu Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
P
Jambo jema. Polizie wawe neutral waachane na siasa.Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa, Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua.
Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30!
Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua, amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake.
Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake, japo ni kwa kuchelewa.
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
wewe na yeye wakati mnamsumbua JPM mlikuwa na aKili?Ila nashindwa hata niandike nini.
Hata kama una chuki kiasi hiko, umefikia hatua ya kuombea kifo mtu mwingine kisa siasa.
Ila kwa comment yako hii inaonyesha wewe ni kilaza sanaa.Una utindio wa ubongo
Tunafurahia kichaa wenu ndiye yuko motoni na Lissu anadundaMTU unajitolea kusafisha na kuboresha nyumban yenu halafu anatokea mbuzi mmoja na kuanza kubwatuka eti majilani hawapendi, anaanza kupeleka majungu kuwa unaharibu vitanda na mapazia Kwa kuvufuta vumbi etc??
MTU huyo Kamata nyanyua miguu juu kichwa chini tupa nje huko hana maana.
Jiwe yuko motoni dadeqsheria ya roho mbaya ni pasu kwa pasu.
tunapitia mule mule walikopita wao kumshambulia jiwe.
Kuona picha na kuona gari lenyewe ni huoni tofauti? Umelalia upande gani?Leo ndio ameliona ,zile picha mlizokuwa mahesabu eti risasi 18 mara 36 mara 40 ulikuwa mnazitoa wapi na je Lisu hakuziona ?
USSR