Tundu Lissu aoneshwa gari lake lililomiminiwa risasi, ahesabu matundu ya risasi ashangaa aliponaje

Tundu Lissu aoneshwa gari lake lililomiminiwa risasi, ahesabu matundu ya risasi ashangaa aliponaje

safi sana na asije akarudia Tena kuleta ujuaji kwenye mambo ya watu
gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa, Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua.

Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30!

Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua, amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake.

Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake, japo ni kwa kuchelewa.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Habari imeandikwa 'too subjectively" kiasi kwamba mtu anayetaka kupat.

1. "Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa, Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua".

a) Kwani awali aliomba kuonyeshwa akakataliwa ili useme 'hatimaye' limetimia?
b) Gari lililotunguliwa: sawa na mtoto anayetungua tunda kwa kurusha mawe mtini?
c) Risasi zisizo na idadi: inaashiria idadi kubwa isiyohesabika.

2. "Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi, amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30!"

a) Amehesabu upya: inamaanisha awali aliwahi kuhesabu.
b) Hesabu imefikia zaidi ya 30: Hapo juu ulisema idadi isiyo na hesabu!
c) Risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa: umejuaji kuhusu kutumwa huku?

3. "Amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake. Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake, japo ni kwa kuchelewa".
Ni dhahiri yeye ndiye anayeamua lini afanye nini. Sasa huko 'kuchelewa' kunatoka wapi?

4. Vipi kuhusu dereva ambaye polisi walitegemea awe shahidi namba moja?
 
Leo ndio ameliona ,zile picha mlizokuwa mahesabu eti risasi 18 mara 36 mara 40 ulikuwa mnazitoa wapi na je Lisu hakuziona ?

USSR
Tofautisha kuona gari na kuona picha ya gari.
 
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa, Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua.

Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30!

Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua, amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake.

Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake, japo ni kwa kuchelewa.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Yaani anashindwa kununua gari jipya anahangaika na screpa
 
safi sana na asije akarudia Tena kuleta ujuaji kwenye mambo ya watu

Ila nashindwa hata niandike nini.

Hata kama una chuki kiasi hiko, umefikia hatua ya kuombea kifo mtu mwingine kisa siasa.

Ila kwa comment yako hii inaonyesha wewe ni kilaza sanaa.Una utindio wa ubongo
 
Asante sana kwa taarifa, kumbe, uchunguzi wa tukio hilo umekamilika hadi PT ku relese vital evidence!. Siku zote nilidhani ni Lissu alikuwa anasubiriwa aandike maelezo ndipo uchunguzi uanze, kumbe uchunguzi imefungwa!. Niliwahi kushauri, na leo nashauri tena, WanaJF, je tuisaidie Serikali yetu inaposhindwa au tusubiri ishindwe, tuibeze na kuizomea kuwa haiwezi?
Kama serikali yetu imeshindwa kufanya uchunguzi, isione aibu kusema imeshindwa, watu wenye uwezo huo tupo, serikali iseme wazi imeshindwa na kutoa Rai kwa wenye uwezo wajitokeze wasaidie, watu tupo, tutajitokeza, tuta saidia.

Tena sii wengi humu wanajua, waandishi wa habari wa IJ, wana uwezo mkubwa sometimes kuliko hata polisi wetu Serious Media inaweza kuwabaini "wasiojulikana" Deo Masakilija
P
Kwani hamwezi kusaidia bila kuombwa ?.....saidia huo upelelezi kiongozi
 
ILA KIUKWELI MIMI NILIKUWA NAMKUBALI JPM ILA KWA VINGINE KAMA HVI KWA KWELI MUNGU NAONA ALIINGILIA KATI, ALIKUWA MNYAMA SANA JAMAA
 
Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa, Jeshi la Polisi Dodoma leo hatimaye limemuonyesha Tundu Lissu gari lake lile lililotunguliwa na risasi zisizo na idadi kwa lengo la kumuua.

Tundu Lissu akiwa mbele ya polisi , amehesabu upya matundu ya risasi alizomiminiwa na watu waliotumwa kumuua ambapo hesabu hiyo imefikia zaidi ya 30!

Akiwahutubia polisi hao kwenye kituo chao , ameonyesha kushangaa kwamba ilikuwaje pamoja na lundo hilo la risasi hizo akatoka akiwa anapumua, amewaambiwa polisi hao kwamba siku chache zijazo atakuja kulichukua gari lake.

Tunatoa shukrani kwa jeshi la Polisi kwa kumuonyesha Lissu Gari lake, japo ni kwa kuchelewa.

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Jambo jema. Polizie wawe neutral waachane na siasa.
Lisu aanzishe Museum yake tukashangae gari hilo
 
Ila nashindwa hata niandike nini.

Hata kama una chuki kiasi hiko, umefikia hatua ya kuombea kifo mtu mwingine kisa siasa.

Ila kwa comment yako hii inaonyesha wewe ni kilaza sanaa.Una utindio wa ubongo
wewe na yeye wakati mnamsumbua JPM mlikuwa na aKili?

siwezi kuhurumia wapumbavu Mimi kulikuwa na sababu Gani za maana Kwa yeye kufanya alivyokuwa anafanya?

hakuona wenzake wakivyotanguliza ustaarsbu?

mtu anavuka mstari mwekundu wa kufanywa Nini huyo?


any way ni muleba nshamba, kishanda, kamachumu, rushwa au biilabo?
 
MTU unajitolea kusafisha na kuboresha nyumban yenu halafu anatokea mbuzi mmoja na kuanza kubwatuka eti majilani hawapendi, anaanza kupeleka majungu kuwa unaharibu vitanda na mapazia Kwa kuvufuta vumbi etc??

MTU huyo Kamata nyanyua miguu juu kichwa chini tupa nje huko hana maana.
Tunafurahia kichaa wenu ndiye yuko motoni na Lissu anadunda
 
Leo ndio ameliona ,zile picha mlizokuwa mahesabu eti risasi 18 mara 36 mara 40 ulikuwa mnazitoa wapi na je Lisu hakuziona ?

USSR
Kuona picha na kuona gari lenyewe ni huoni tofauti? Umelalia upande gani?
 
Back
Top Bottom