Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Aongelea suala la Magufuli kuwazungumzia Wanawake

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu: Aongelea suala la Magufuli kuwazungumzia Wanawake

Magufuli ni rais? Ila akiwa sehemu akatoa order ya kutekeleza kitu flani mbona mnazema ni mgombea tu na hiyo ni rushwa?...
Wewe ni mbumbumbu wala hujasoma nilichoandika hapo!kimataifa Magufuli hatambuliki kama Rais wa Tanzania?Kwani sasa hivi nikienda Marekani au nchi za ulaya au Asia nikawauliza Rais wa Tanzania ni nani watajibu kuwa Tanzania haina Rais?
 
Mgombea urais Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, akizungumzia tukio la mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM, Dkt Magufuli juu ya kauli zake kuhusu wanawake.

My Take: Dkt. Magufuli ashauriwe, anadhalilisha wanawake

#BlackWomenMatters

View attachment 1597203
Ila lissu we ni kiboko, kampeni zimekua tam Sana, mh jpm ebu njoo kwanza na vijembe vya kutosha kwa lissu ,uchaguzi mtam Sana huu
 
Hivi kwa akili zenu! Ni kwamba JPM alimaanisha hivyo mnavyotafsiri ninyi? Tuambieni kwenye serikali ya JPM wamejaa wanawake weupe?? Mwambieni aache viroja na kutafuta kiki kwa JPM ajikite kwenye sera !
MwanaCCM umebaki pekee yako kwenye uzi huu uone aibu !jiondokee
 
Ulimi ni kiungo kidogo, madhara yake ni makubwa. Ulimi umezidi kichwa.
Jpm anapenda matani Sana ila kipindi Kama hiki sio kizuri kwa matani yaliyo pitiliza timu yake yake ya kampeni wanamuhujum Sana,Vita ni Vita msimuogope kumwambia ,mwambieni kwa Sasa ni mgombea lazima afuate ushauri wa kamati ya kampeni yake vinginevyo mwafaaaaa ccm
 
Jpm anapenda matani Sana ila kipindi Kama hiki sio kizuri kwa matani yaliyo pitiliza timu yake yake ya kampeni wanamuhujum Sana,Vita ni Vita msimuogope kumwambia ,mwambieni kwa Sasa ni mgombea lazima afuate ushauri wa kamati ya kampeni yake vinginevyo mwafaaaaa ccm
Huyu adhibitiwe, kauli zake haziendani na wadhifa wake
 
Mgombea urais Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, akizungumzia tukio la mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM, Dkt Magufuli juu ya kauli zake kuhusu wanawake.

My Take: Dkt. Magufuli ashauriwe, anadhalilisha Wanawake

#BlackWomenMatters



MY TAKE: Hana hoja hivyo anasubiri MATUKIO NA MATOKEO ayazungumzie kwani kwa sasa Lissu ni MUFLISI!
 
Huyu Tundu toka arudi hapa TS inaonekana hA
Mgombea urais Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, akizungumzia tukio la mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM, Dkt Magufuli juu ya kauli zake kuhusu wanawake.

My Take: Dkt. Magufuli ashauriwe, anadhalilisha Wanawake

#BlackWomenMatters



Mgombea urais Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, akizungumzia tukio la mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM, Dkt Magufuli juu ya kauli zake kuhusu wanawake.

My Take: Dkt. Magufuli ashauriwe, anadhalilisha Wanawake

#BlackWomenMatters



Huyu Tundu toka arudi kutoka ubelgiji inaonesha ana washwa washwa, na huku hakuna mkunaji.
Swala la wanawake yeye alalamike kwa maumivu yapi?
Chadema mtafutieni dawa atulie inawezekana akawa na alosto.
Yeye akilala anamuwaza magufuli akitembea ni magufuli tu.
Kama anona vipi si aombe aolewe nae ingawa najua magufuli hatakubali.
 
mume wa huyo mgombea ubunge mweupee nasikia kaenda NEC kuomba ufafanuzi juu ya hatma ya ndoa yake endapo mkewe atashinda ubunge..... ha ha ha
 
Siasa za kusubiria mheshimiwa anaongea nini halafu unatafuta cha kumjibu,kwanini jamaa asiuze sera ili apimwe na sera zake.
 
Point. Menejs ya kampeni na Katibu wa chama chake take note. Toka adhalilidhe wanawake weusi tumbo.lilivurugika. Mke wangu atakuwa na jambo tarehe 28 na familia itamuunga mkono.# Black Women Matters.

..Jiwe anadhalilisha sana wanawake.

..Na bahati mbaya anafanya hivyo hata tunapokuwa na ugeni wa viongozi toka nchi marafiki.

..kibaya zaidi Jiwe aliwahi kutoa kauli za udhalilishaji kwa waziri wa mambo ya nje wa kenya aliyekuja Tz kikazi.

..sielewi kwanini hao wanaoitwa "system" hawamsaidii Jiwe kuachana na tabia zinazolitia taifa aibu.
 
Back
Top Bottom