Kodi za WananchiKitu kibaya kinacho imaliza hii nchi ni unafiki... Appreciate pale kizuri kinapo fanyika hakuna binadamu asiye na mabaya.... Arusha mjini imejengwa hospitali mpya ya wilaya njiro.. longido pia imejemgwa hospitali mpya na kata ya murieti ninapoishi kuna kituo cha afya kikubwa tuu na kinafanya kazi....
As long as unafanya hayo kwa kuua watu, at the cost of people's lives, all done go down the trench!!Kitu kibaya kinacho imaliza hii nchi ni unafiki... Appreciate pale kizuri kinapo fanyika hakuna binadamu asiye na mabaya.... Arusha mjini imejengwa hospitali mpya ya wilaya njiro.. longido pia imejemgwa hospitali mpya na kata ya murieti ninapoishi kuna kituo cha afya kikubwa tuu na kinafanya kazi....
Naupenda sana mji wa LamadiLamadi watu wamekesha barabarani MAMBO NI MOTOOO
Unataka kumaanisha Hai au Mbeya mjini. CCM hawako?Shinyanga imetuma ujumbe kwa wale wanaosema "Kazi za JPM zinaonekana" aka wazee wa Zahanati 500
Shinyanga hatukuwahi kufanya mikutano kama ambavyo mshua alikuwa amepageuza njia ya kwenda na kutokea Chato daily.
Tumepata wadhamini 500 sawa na idadi ya zile zahanati hewa. Teh teh teh zahanati 500!
Tupo njiani kwenda Mwanza na Mara. Mwanza inasimama leo na tukitoka huko tunaenda chato!
Hizo kodi zinahitaji usimamizi ili zifanye kaziKodi za Wananchi
Hahahahaha sisi tulidhani 4000 kumbe 450, mbona huo ni udhamini wa level ya mbunge tu, poleni hiyo ndiyo SHY TOWN ina wenyewe. Na kama mngeenda vijijini mngeishia wadhamini 40-45 tuShinyanga imetuma ujumbe kwa wale wanaosema "Kazi za JPM zinaonekana" aka wazee wa Zahanati 500
Shinyanga hatukuwahi kufanya mikutano kama ambavyo mshua alikuwa amepageuza njia ya kwenda na kutokea Chato daily.
Tumepata wadhamini 500 sawa na idadi ya zile zahanati hewa. Teh teh teh zahanati 500!
Tupo njiani kwenda Mwanza na Mara. Mwanza inasimama leo na tukitoka huko tunaenda chato!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na kweli bwana, maana CCM kwanza "tumesema" ni kitanda kwa kitanda mwaka huu.
View attachment 1534804
Viwanda gani wewe unazungumziatwende na jpm2020 tuaongeze viwanda na miradi mikubwa
Mbona umati mdogo sana aiseeeee, enzi ya Bob Makini huu siyo umati ni utani, kweli chadema inaelekea shimoni
Kwani kampeni zimeanza?Mbona umati mdogo sana aiseeeee, enzi ya Bob Makini huu siyo umati ni utani, kweli chadema inaelekea shimoni
wadhamini 485 mbona ni wa kawaida sana aisee, jpm wadhamini 2000 wote akiamua kuwapata kwenye mkoa mmoja tu anawapata.
Karibu Mkuu sasahivi tunakula furu na mumi nipo hapa Maisha plus karibu na TEXASNaupenda sana mji wa Lamadi
Kodi za Wananchi
Ulishafika kwenye haka kapori lakini? Sina uhakika kama kana hadhi ya kuitwa hata "mbuga"Msisahau kutembelea Burigi mkuu, mkaone maajabu ya Simba na Twiga waliosombwa kwa malori. Na ile sanamu ya ajabu ya Mwalimu Nyerere muipige picha.
Nikupe mfano mkoa wa pwani unaviwanda vipya vikubwa zaidi ya kumi.... Mapungufu yapo ila appreciate japo unamchukia mtuViwanda gani wewe unazungumzia
Unafiki ni mbaya sana ... Burigi national previously burigi game reserve ina square kilometer 2200 mara hata saba ya manyara lake national... Na ilikuwa na wanyama kabla hata ya translocation... Fikiri kidogo tuu hayo simba wanaenda kula majani kama hapakuwa na wild animal beforeUlishafika kwenye haka kapori lakini? Sina uhakika kama kana hadhi ya kuitwa hata "mbuga"
Nikupe mfano mkoa wa pwani unaviwanda vipya vikubwa zaidi ya kumi.... Mapungufu yapo ila appreciate japo unamchukia mtu
Na lazima watoke na chochote kitu, lichama linanuka rushwa..wadhamini 485 mbona ni wa kawaida sana aisee, jpm wadhamini 2000 wote akiamua kuwapata kwenye mkoa mmoja tu anawapata.