Mizania
JF-Expert Member
- May 17, 2023
- 3,812
- 3,277
🤔🤔🤔Na kipindi iki watadakwa wengi sana hapa jf kimya kimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤔🤔🤔Na kipindi iki watadakwa wengi sana hapa jf kimya kimya
Labda huko anakopita ndio tatizoView attachment 3179579
Wakuu naona Tundu Lissu amerejesha fomu akiwa na bullet proof. Wote tunajua makao makuu ya Chadema ni sehemu salama na yenye amani.
Ila kwenye siasa kila kitu kisicho cha kawaida ni ujumbe.
Hapa tunapata ujumbe gani kutoka kwa Lissu?
View attachment 3179579
Wakuu naona Tundu Lissu amerejesha fomu akiwa na bullet proof. Wote tunajua makao makuu ya Chadema ni sehemu salama na yenye amani.
Ila kwenye siasa kila kitu kisicho cha kawaida ni ujumbe.
Hapa tunapata ujumbe gani kutoka kwa Lissu?
Mambo sio shwari. Sio bure kwa private citizen kuwa ndani ya bulletproof kama hivi. Au macho yangu yananidanganya?
Trust no bodyView attachment 3179579
Wakuu naona Tundu Lissu amerejesha fomu akiwa na bullet proof. Wote tunajua makao makuu ya Chadema ni sehemu salama na yenye amani.
Ila kwenye siasa kila kitu kisicho cha kawaida ni ujumbe.
Hapa tunapata ujumbe gani kutoka kwa Lissu?
Kwahiyo Mbowe aendelee uenyekiti sio...?Yupo kwenye maigizo uchaguz ukiisha anaenda zake ubeligiji
Yakiyomkuta last time lazima ajilinde periodView attachment 3179579
Wakuu naona Tundu Lissu amerejesha fomu akiwa na bullet proof. Wote tunajua makao makuu ya Chadema ni sehemu salama na yenye amani.
Ila kwenye siasa kila kitu kisicho cha kawaida ni ujumbe.
Hapa tunapata ujumbe gani kutoka kwa Lissu?
Vp kichwa, kina bullet proof?!!!Ndio inavyotakiwa hii nchi wanafiki wengi Sana hawachelewi kukuuza
Shida watu wanadhani Lissu yupo peke yake ndio ujinga wa wapambe
Tuishi kwa akili mabosi nao ufa au kufilisika!!.
Unauliza swali ambalo majibu yake tangu jana aliyatoa mwenyewe Tundu Lussu..?View attachment 3179579
Wakuu naona Tundu Lissu amerejesha fomu akiwa na bullet proof. Wote tunajua makao makuu ya Chadema ni sehemu salama na yenye amani.
Ila kwenye siasa kila kitu kisicho cha kawaida ni ujumbe.
Hapa tunapata ujumbe gani kutoka kwa Lissu?
Sijui ninyi chademaKwahiyo Mbowe aendelee uenyekiti sio...?
Je, hiyo fomu iliyo jazwa, haiwezi kuwasilishwa kwa njia nyingine kama posta, au kuwasilishwa na mjumbe maalum; ni lazima muhusika mwenyewe aiwasilishe kwa mikono yake?Kama ilivyo ada, Ukishachukua fomu ya kugombea , na baada ya kuijaza maeneo yanayotakiwa kama ilivyoelekezwa basi unapaswa kuirejesha kabla ya muda kupita ili Uhalali wa fomu yako usitiliwe mashaka.
Hivi ndivyo Tundu Lussu alivyofanya na kupokelewa na Maofisa wa Chama akiwemo Naibu Katibu Mkuu Benson Kigaila.
Genge la raia feki aliwataki watu kama lissu au mtikila ...kumbuka rostam alifanyanini kwa mtikila. Serikali ya tanzania ipo nikononi mwa raia feki kutokana na nchi kukosa sera za kizalendo ...unampaje mtu uraia kisha anakuwa raia kwa asilimia 100% mfano wakimbizi wa somalia walipewa uraia tayari wanaweza kuingia kwenye siasa na systems za taifa ....nilisha sema sana Tanzania tunatakiwa kuwa na AINA ZISIZO PUNGUA 3 ZA URAIA LA SIVYO TAIFA LITAZIDI KUINGIA MIKONONI MWA WAHALIFU WAKUBWA DUNIANI..MTANZANIA MWENYE URAIA DARAJA LA KWANZA NDIYO ARUHUSIWE KUWA MWANASIASA NA KUWA KIONGOZI WA KISERIKALI KATIKA NGAZI ZA JUU..watanzania wa daraja ya chini wasiruhusiwe hata kupiga kura wala kuwa viongozi wala wanasiasa nkAmekua 50 cent sasa. Sema huyu mwamba ni mtu na nusu. Watanzania wakesho wana muhitaji sana lissu kuliko yeye anavyo wahitaji.
Mwamba kama IDF.
Chadema 3_ lumumba 0Lumumba mpaka sasa Wamepoteana