Alfan issa
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,281
- 893
Atulie tu maana hamna kilichobadilika ccm ni ile ile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣Mtu kutoka chama kile kile zao la mfumo ule ule unategemeaje jambo jipya toka kwake? zaidi ya hotuba za maneno matamu hakuna kingine cha maana waimba mapambio watakachofurahia, baada ya siku kadhaa akili zitawarudia.
Ni kweli, ishara ya kwanza ni UTEKAJI... nchi ya hovyo kabisa ni ile inazuia watu kuongea yaani tukae kama ndani ya box la mabata. UJINGA.Wakati akihojiwa na DW!
Tundu lissu kasema! Hakuna ishara yoyote ya mabadiliko iliyopo katika utawala huu, zaidi anahofia kuna dalili za Umagufuli pasipo Magufuli mwenyewe!
Huyu mtu ni mpuuzi sana!
Yaye aendelee tu kunogeshwa na amstwrdam huko aliko mambo ya tz atuachie sisi wenyewe.
HahaahNi kweli, ishara ya kwanza ni UTEKAJI... nchi ya hovyo kabisa ni ile inazuia watu kuongea yaani tukae kama ndani ya box la mabata. UJINGA.
AnakupambiaLisu tulia ule hela za mwanaume mwenzio Amstadam kwa gharama ya kwa mparange yako .
Ya Tanzania mwachie Samia