Tundu Lissu asusia mkutano Dar

Tundu Lissu asusia mkutano Dar

Kuna watu wanashangaza sana wanatetea kitendo hiki kwa coverup ya haki sawa, lakini ndiyo hulka zetu zilivyo tunatambuana kwa kauli zetu mtu akimyamaza huwezi jua tabia yake.

Main%20E%281%29.jpg
 
Hii katiba inawahusu zaidi hao watoto, na ni uongo waliosema wamekodishwa hao walipelekwa masomo kwa vitendo, ni kawaida kabisa, hata bungeni huwa tunaona wakipelekwa! Msitafute sababu zisizo na maana.

Jee, mnataka kusema kuwa watoto hawana haki nchi hii?

majimshindo wakati mwingine uwe unashirikisha ubongo,watoto kujifunza kwa vitendo ndo wakakae frontline watu wenye kuchangia mada wakose pa kukaa? Kujifunza kwa vitendo ni kuchapa usingizi siyo? Kuwa siriaz kidogo hata kama unalipwa kwa ajili ya propaganda jtdi uwe mzalendo jamani kha!
 
Kuna watu wanashangaza sana wanatetea kitendo hiki kwa coverup ya haki sawa, lakini ndiyo hulka zetu zilivyo tunatambuana kwa kauli zetu mtu akimyamaza huwezi jua tabia yake.

Main%20E%281%29.jpg

kwa hiyo hawa watoto wanajifunza kwa vitendo! Majimshindo give us a break!
 
Kazi ipo na makamba anajidanganya kwamba anaweza kupambana na chadema kamuagiza mwenyekiti wa uvccm kuandaa mpango wa kupambana na chadema kila kona na eti wameomba usalama wa taifa kuhakikisha wanawajulisha mbinu zote za chadema kabla hazijatekelezwa. Jamani tuwe tayari kwa mapambano wabunge wetu tuko tayari tunawasubiri.

Think ure ready bt you really not sir. May be the time has come for the majority to speak, Chadema ni chama siasa sawa na Ccm, Cuf nk hakuna anayemzidi mwingine kwa utanzania. Chadema walijue hilo na kwamba kama wataamua kufanya vurugu kumbe kuna wengine wanaweza pia halafu wakiwa na nguvu zaidi. Katiba tunayoitaka ni ya watanzania wote. Juzi Hiza kazomewa mpaka mkutano ukaahirishwa, wiki iliyopita kadhalika kwa muwakilishi wa Ccm na Udp, najua maoni yako ni kutaka Chadema waendelee kuwa watanzania zaidi ya wengine hata wasiokuwa na vyama. Tulimsifu sana Sumaye kwa kuwaambia Ccm wajibu mapigo ya Chadema kwa hoja, wafanye siasa wasimwachie kazi m/kiti wao.
Few days later Chadema wanaacha hoja na kukodi wahuni wa chuo kikuu kuzomea na kuwatukana watu wasiowataka.
I dont like this but sir it is too logical kwamba hata kama isingekuwa leo nao wangeamua kufanya "siasa" kama za opponents wao hasa kwa kujua kuwa wao wana majority. Tundu Lissu hakulalamika wiki iliyopita wala juzi kuona watu wanazomea mbona jana kalalamika? They should know better that what goes around comes back around. Mtoa thread anasema watoto walienda kulala ukumbini kwa taarifa ya Itv lakini Mlimani Tv wameonesha vijana wamelala nje chini ya miti wakidai kukuta ukumbi umejaa!
Tanzania is much better than this, i said Tanzania...
 
Majimshindo wewe ni mpumbavu wa mwisho hivi unaweza kutetea upuuzi huu,hawa wahuni(watoto) unaweza kweli kusema kwamba ni wanafunzi ambao wapo kwenye masomo ya vitendo? Wachafu,wamevaa shabeshabe halafu unataka kusema nini?!!
Jaribuni(CCM) kutumumia ubongo kufikiri badala ya unyayo

Wewe kama huna la kuongea ni vizuri ukanyamaza usituchafulie hali ya hewa, mtu mwenyewe umejiunga juzi juzi tu, tulia great thinkers wakuonyeshe jinsi ya kuandika
 
hapa ni ujanja ujanja tu umetumika, hili si rika la kuchambua na kukosoa mambo muhimu ya mustakabali wa taifa na maisha ya mtu, wamewakusanya ili waongeze idadi ya watu na baadae waje watuambie wananchi walioshiriki ni 98%... maoni yanakusanywa dar na dom tu, cc wa mikoani mbona hatushirikishwi? kwanini? eti kukusanya maoni siku 3 kweli jamani? kweli hapa kuna kamchezo kanachezwa!
 
hapa ni ujanja ujanja tu umetumika, hili si rika la kuchambua na kukosoa mambo muhimu ya mustakabali wa taifa na maisha ya mtu, wamewakusanya ili waongeze idadi ya watu na baadae waje watuambie wananchi walioshiriki ni 98%... maoni yanakusanywa dar na dom tu, cc wa mikoani mbona hatushirikishwi? kwanini? eti kukusanya maoni siku 3 kweli jamani? kweli hapa kuna kamchezo kanachezwa!

Hapo ndipo tujiulize kama ccm walishinda kweli kwenye uchaguzi wa mwaka jana ikiwa wanaweza kuchakachua hata hoja kama hii mchana kweupe. Arusha wakachakachua wakati wa uchaguzi wa meya, yamewashinda kuchakachua kwenye bajeti ya manispaa.
CCM wameiteka hoja ya katiba ambayo ni wananchi wote na sasa wanachakachua ili wakidhi mahitaji yao.
 
Hao watoto wanajua hata maana ya katiba ni nin kweli..? makamba anachapa kazi kwelikweli kwa mara ya mwisho kuhakikisha anakizika chama......Dahh mwisho wa dunia au mwanzo wa tanzania iliyo bora ndo mefika..
Haa haaaaa! Uliwauliza juu ya umri wao ndugu? Ukitaka kujua kama Serikali iko serious na utoaji maoni ulio huru katika Muswada huu soma kifungu cha 28 (2) na (3) cha Muswada: "28 (2) For the purposes of subsection (c) paragraph (1) the referendum campaign shall be conducted by the Commission and no political party or affiliate organization to a political party shall participate in a referendum campaign.
(3) A person who contravenes the provisions of subsection (2) commits an offence and on conviction be liable to imprisonment, without fine, to a term not exceeding two years."


Kifungu hiki kina jambo la ajabu sana: Kwamba eti Tume iliyokusanya maoni ndio ifanye Kampeni yenyewe, sasa hapo unategemea nini? Si watafanya kampeni kuvutia kile wanachoamini? Na endapo mtu mwingine anafanya kampeni eti linakuwa kosa la jinai! Sasa hapa ukiambiwa kuwa CCM/Serikali imepeleka watoto ili kukaba nafasi za watu wenye uchungu na uelewa wa mambo ya nchi yao utashangaa?
 
napenda zomea zomea iendelee kwa wote maana inaonesha ni namna gani watanzania tunaweza kujadili!!! Inaonesha namna gani tunaweza na kumudu majadiliano!!! Inaonesha ni upeo kiasi gani tulio nao, hakuna haja ya kukemea zomeazomea!! Nadhani ni aina ya watanzania kujadili mambo!!! Zomeazomea ni burudani tosha na ni funzo pia kwa wanaopenda zomeazomea!!

Zomeaneni siku zipite tupate katiba mpya itakayokuwa 'nzuri' kwa sababu zomeazomea itakuwemo!

Wanasiasa wa nchi hii si makini, na ndilo linapelekea na wananchi kuwa kama wao. Hapo usisahau na serikali yenyewe!!!
Woote ni kama pipa na mfuniko wake!!
Endelea kujifanya ujui....lakini iko siku utajuwa. Huwa nafatilia sana hoja zako hapa jamvini....wewe huna tafauti na ccm'kubishana na wakati
 
Kazi ipo na makamba anajidanganya kwamba anaweza kupambana na chadema kamuagiza mwenyekiti wa uvccm kuandaa mpango wa kupambana na chadema kila kona na eti wameomba usalama wa taifa kuhakikisha wanawajulisha mbinu zote za chadema kabla hazijatekelezwa. Jamani tuwe tayari kwa mapambano wabunge wetu tuko tayari tunawasubiri.

Chadema mjilaumu wenyewe,tabia ya kuzomea mlianzisha nyie! Sasa tutaenda kwa mwendo wa kuzomeana hadi kieleweke!
 
WanaJF
Hakuna kulala.Waandae tu usalama wa Taifa.Kama tulivyowahi kusema, usalama wa Taifa wamegeuka kuwa usalama wa ccm. Hata hivyo hakuna kulala Maandamano ya nchi nzima yatakapofanyika kitaeleweka. Tumeiambia Serikali kinachotakiwa ni busara, lakini busara itakaposhindikana wasidhani wanaweza kupambana na"nguvu ya Umma". Ukombozi ndio unaanza na ninaona wanazidi kutaidia kufikia iukamilifu wa ukombozi huo.Wenye mapenzi mema na nchi yetu tuendelee kushikamana, Katiba si mali ya CCM, si mali ya Rais. Ni mali ya Rais. Kama nilivyosema kwenye Kongamano "Mtoto hawezi kumzaa Mama yake". Naona wengi hawajaelewa.
 
Hii katiba inawahusu zaidi hao watoto, na ni uongo waliosema wamekodishwa hao walipelekwa masomo kwa vitendo, ni kawaida kabisa, hata bungeni huwa tunaona wakipelekwa! Msitafute sababu zisizo na maana.

Jee, mnataka kusema kuwa watoto hawana haki nchi hii?

Naamini Sasa wewe ni mtot wa unmri wa miaka 9 kwenda chini na ndiyo sababau uelewei chochote, ungekuwa mtoto wangu leo ungekula viboko vya kutosha.
Pumbavu kabisa!!!!!!!!!!!!!!!
 
Endelea kujifanya ujui....lakini iko siku utajuwa. Huwa nafatilia sana hoja zako hapa jamvini....wewe huna tafauti na ccm'kubishana na wakati

Chadema watalaamu wa zomeazomea wanafuata CCM na CUF ya mwisho kwa utalaamu wa zomeazomea!
 
WanaJF
Hakuna kulala.Waandae tu usalama wa Taifa.Kama tulivyowahi kusema, usalama wa Taifa wamegeuka kuwa usalama wa ccm. Hata hivyo hakuna kulala Maandamano ya nchi nzima yatakapofanyika kitaeleweka. Tumeiambia Serikali kinachotakiwa ni busara, lakini busara itakaposhindikana wasidhani wanaweza kupambana na"nguvu ya Umma". Ukombozi ndio unaanza na ninaona wanazidi kutaidia kufikia iukamilifu wa ukombozi huo.Wenye mapenzi mema na nchi yetu tuendelee kushikamana, Katiba si mali ya CCM, si mali ya Rais. Ni mali ya Rais. Kama nilivyosema kwenye Kongamano "Mtoto hawezi kumzaa Mama yake". Naona wengi hawajaelewa.

Hili ndiyo Serikali ya Kikwete inataka, Bagbo alikatalia Ikulu na sasa amekosa pakukumbilia, nasema sisi tutadai Katiba bora hadi ikulu, Tunawtaarifu kuwa vipengele vyote ambavyo vimeshataja kuwa vina mapungufu ni bora wakavifanyia kazi. Huu ni wakati wakuanza kuhamasisha Watanzania wanaotaka nchi huru tujiandae kwa maandamano makubwa kwenda kudai Katiba Bora iliwajue yote wanayofanya ni bure katiba Bora itapatikana kwa Nguvu ya Umma!

Pipoooos!!!!!!!!!!!!!!!
 
Jana Mboe Mwnyekiti wake kasema kama kushangilia sio kosa iweje kuzomea iwe kosa? au Tindu hajamsikia Bosi wake? ishu ya watoto haipo as wote inaonekana ni above 18 years, mbona kwenye maandamano wanakusanywa? kama issue ni kulala wameiga viongozi wao pale bungeni kila siku wanauchapa, hata Ngeleja keshauchapa mkutanoni mbele ya JK kule paris.
<br />
<br />


Kuna Tofauti kati ya Mbunge kulala Bungeni na hao kula kulala waliowahishwa hapo Kamrijee,Kila Mbunge anayonafasi bungeni kwa hiyo akilala hazuii michango ya wengine whereas Karimjee hao watoto walimwaga kuzuia nafasi,Period!!
Chagua Kufikiri!!
 
majimshindo wakati mwingine uwe unashirikisha ubongo,watoto kujifunza kwa vitendo ndo wakakae frontline watu wenye kuchangia mada wakose pa kukaa? Kujifunza kwa vitendo ni kuchapa usingizi siKuwa siriaz kidogo hata kama unalipwa kwa ajili ya propaganda jtdi uwe mzalendo jamani kha!
Afadhali watoto wanaoenda ukumbini na kusinzia kuliko majitu mazima yanasoma chuo kikuu yanadanganywa na chadema kwenda kuzomea! Hopeless kabisa!
 
BEPARI,
Nakubaliana sana na wewe. Katiba ni ya Watanzania wote na vyama vyote ni sawa.
i) Kushangilia au kuzomewa ni mtu anazomewa au mawazo. Ni haki duniani kmute kupongeza au kuzomea mawazo mazuri. Lukini ni ujuha kuzomea mawazo mazuri kwa sababu tu ya ushabiki. Ni vema tufike mahali objectively nini kiko objective na nini ni mawazo Objective as distionct from ushabiki. Katika Kongamano la Dar juzi na jana mtu yeyote mwenye busara angeweza kutambua kinachozomewa ni nini na kwanini kiuna kuzomeea.
ii) Nashukuru Bepari anakiri kuwa "wanajua fujo zaidi". Ieleweke Chadena kuhamasisha wanavyuo kwa lengo la kuchangia si dhambi wala kinyume na sheria. Lakini kitendo cha kukusanya vijana kwa lengo la kuvuruga ni jambo lisiloweza kuvumilika na kushushia hadhi Chama kikongwe kama chama cha Mapindfuzi. Nadhani kama Taifa bado hatujajua tunachotakiwa kufanya kupata mchakato mzuri wa Katiba. Tujue kuwa tukikosea kwenye Mchakato na Katiba tutakayotengeneza itakuwa ya ajabu
 
Kuna watu wanashangaza sana wanatetea kitendo hiki kwa coverup ya haki sawa, lakini ndiyo hulka zetu zilivyo tunatambuana kwa kauli zetu mtu akimyamaza huwezi jua tabia yake.

Main%20E%281%29.jpg

Kitu pekee ninachoweza kusema hapa hii NI AIBU.
Mara hii CCM "risasi imewatokea nyuma ya bunduki", wamejiumiza wenyewe.
Yote inaonesha jinsi wasivyokuwa makini. Angalau walipowajaza hao watoto hapo wangezuwia waandishi wa habari kupiga picha ili kuficha aibu hii. Masikini CCM, imeishiwa mbinu, imeishiwa ujanja. Wamekuwa kama samaki nje ya maji, kutapatapa tu. HII NI AIBU!

Ikiwa Serikali haitaki tuwe na katiba upya wasifanye usanii kama huu. Ielewe kuwa wananchi ndio waajiri wao, wapo kwa sababu ya wananchi. Kuufanya usanii kama huu ni kuzidi kuonesha nia yao mbovu na hili linazidi kuwapandisha ghadhabu wananchi.
 
WanaJF
Hakuna kulala.Waandae tu usalama wa Taifa.Kama tulivyowahi kusema, usalama wa Taifa wamegeuka kuwa usalama wa ccm. Hata hivyo hakuna kulala Maandamano ya nchi nzima yatakapofanyika kitaeleweka. Tumeiambia Serikali kinachotakiwa ni busara, lakini busara itakaposhindikana wasidhani wanaweza kupambana na"nguvu ya Umma". Ukombozi ndio unaanza na ninaona wanazidi kutaidia kufikia iukamilifu wa ukombozi huo.Wenye mapenzi mema na nchi yetu tuendelee kushikamana, Katiba si mali ya CCM, si mali ya Rais. Ni mali ya Rais. Kama nilivyosema kwenye Kongamano "Mtoto hawezi kumzaa Mama yake". Naona wengi hawajaelewa.

Dr Slaa Phd(kuzomea)! Mzee wangu Slaa hii tabia ya kuzomea ulianzisha wewe! Sasa ni bora twende kwa kwa mwendo wa kuzomeana tu! Umeanza kusingizia Usalama wa Taifa siku nyingi lakin kwa hili kuwarubuni vijana wa Vyuo vkuu wazomee watanzania wenzao linakupa aibu kubwa na haingii akilini kwa mtu ambae ulitaka kuongoza Nchi uwe na tabia ya kuzomeazomea!
 
Back
Top Bottom