Tundu Lissu asusia mkutano Dar

Maoni yako ni mazuri kama ungeondoa iyo repetence ya mara Father,mara Padre,nyie manajidai mnazungumza honestly behind ananymous screen names, lakini mna nia ya kisiasa. Ofcorse mnataka wale wanachama wa CDM ambao si wakristo wajione wanaongozwa na Padre ama kiongozi wa dini ya wakristo.

Ningeomba mwongozo kwenye hili,kiutaratibu kwenye medani za kisiasa,kama mtu aliwahi kuwa Rais,basi hata akistaafu,si ajabu kusikia akiwa referenced as "president",na mara nyingi huelezwa kuwa ni mstaafu.Sasa kwa upande wa Dr Slaa,yeye tayari yuko kwenye siasa na upadre alishaachana nao.Hilo uliheshimu.Ningependa kujua kama mtu ukiachana na upadre kama unaruhusiwa kuitwa padre.Na kama si sahihi,basi ni bora tu umwite Dr Slaa,ama katibu nk.
 
Ni wazi na wewe unanguvu yako ya umma,basi tngeomba ujiweke wazi,naamini wewe ni CCM.

Natamani ungefungua macho yako ukajua hii si struggle ya vyama wala siasa, wala katiba, suala la katiba na vyama ni mapazia tu na upepo unaokuja ni mkali zaidi pazia hizi kuuzuia. Sina haja ya kujitambulisha kwani unajua dhahiri kuwa mawazo yangu yananinieleza zaidi mimi ni nani. Panua uzio wako uone mapambano yanayokuja.
 
Kuna watu huku mambwenkoswe wanauliza muswada ni kitu gani? Kwa nini huko mjini mnavutana? Mawasiliano huku ni tatizo. Naelimisha hawanielewi. Hamwezi kutusubiri?
 
Inawezekana kuna habari amabazo unazo na hutaki kuziweka hapa licha ya kwamba uko annonymous.Ni vizuri ukatueleza huo upepo ambao ni zaidi ya stuggles ya vyama vya siasa na katiba ambao unakuja na pazia haliwezi kuuzia ni upepo gani huo?Vita?Umesema mko tayari kupambana,ninavyoelewa,mapambano ni ya katiba mpya kwa sasa,na ni wazi kuna mivutano baina ya vyma vya siasa kuhusiana na hili.

Ndio maana nikasema mchango wako unaonyesha wazi wewe si mwnanchi wa kawaida kama mimi na wengine wetu humu.
Kama unadhani kuna kitu kinakuja zaidi ya haya madai ya katiba na struggle between the political parties,then are you trying to imply kuwa CDM wana vikosi vya kupigana ie rebels?
 

For once unaweza kutanua your horizon and think beyond CHADEMA and CCM?
 
For once unaweza kutanua your horizon and think beyond CHADEMA and CCM?
Jibu,mko tayari kwa mapambano gani kama si haya ya katiba mpya?Ama unataka nirudie rudie vitu ambavyo umebandika wewe.
 
Jibu,mko tayari kwa mapambano gani kama si haya ya katiba mpya?Ama unataka nirudie rudie vitu ambavyo umebandika wewe.

Nimekwisha jibu mwanzo, nasi tupo tayari kutumia nguvu ya umma, just as you know peoples power is not limited to Slaa, Mbowe and Lisu only. Tutapambana kwa lolote watakalo taka, na nakufahamisha tumekwisha anza kupambana.
 
Nimekwisha jibu mwanzo, nasi tupo tayari kutumia nguvu ya umma, just as you know peoples power is not limited to Slaa, Mbowe and Lisu only. Tutapambana kwa lolote watakalo taka, na nakufahamisha tumekwisha anza kupambana.
Mkuu nyie mnatumia nguvu ya dola,na sometimes nguvu ya vurugu za watoto kama ilivyojitokeza.
Ndio maana nikajiuliza ulimaanisha nini pale uliposema si struggle za vyama vya siasa wala katiba mpya.Naamini hii ni struggle ya kutaka mabadiliko.
 
Mkuu nyie mnatumia nguvu ya dola,na sometimes nguvu ya vurugu za watoto kama ilivyojitokeza.
Ndio maana nikajiuliza ulimaanisha nini pale uliposema si struggle za vyama vya siasa wala katiba mpya.Naamini hii ni struggle ya kutaka mabadiliko.

Wait and see brother, mshukuru mungu unaishi nyakati za kuzaliwa upya taifa letu.
 
Wait and see brother, mshukuru mungu unaishi nyakati za kuzaliwa upya taifa letu.
Mkuu ukweli ni kwamba upande utakaoshinda ni ule upande wenye passion ya kweli.Si umeona hiyo nguvu ya umma ya kupachika matokeo yake ni usingizi?Nguvu ya umma ya wenzenu ni ya umma kikweli kweli,wao wanachofanya ni kuwa guide tu,na pengine muwashukuru otherwise wananchi hao gadhabu yao ni valid na msipowasikiliza mnategemea nini?
Nguvu ya umma wa kupachika haina nguvu FYI.
 
Mkuu ukweli ni kwamba upande utakaoshinda ni ule upande wenye passion ya kweli..

Nadhani ni mapema zaidi kuongelea upande utakaoshinda kwa sasa, lakini yote heri kwani kila upande utakuwa umetekeleza wajibu wake wa asili(kupigana). Hali ilivyo sasa mnaambiwa nguvu ya upande wenu tu, viongtozi wenu hawajawaambia nguvu ya upande wa pili. Matokeo yoyote yataibadilisha nchi hii na pengine makundi yanayodharauliwa sasa yataheshimiwa hata baada ya mapambano regardless yatakuwa yameshinda au kushindwa. Nashukuru mungu nipo upande unaojua kuwa mapambano haya hayatuhusu sisi na upepo bali na watu wenye dhamira zao. MAPIGANO YAMEANZA NASI TUMESIMAMA.
 
Nguvu ya upande wa pili ni nguvu ya dola hilo halina ubishi.Nguvu ya umma ni tofauti na nguvu ya dola na mobilised gangs planted to instigate unrest ama kuvuruga taratibu kama mlivyowakusanya hao watoto wenye njaa na kuwajaza kwenye mjadala muhimu wa kitaifa,yote hayo kwasababu mnajua mnashindwa,the noose around Tanzania peoples' neck is slowly but surely loosing up.The noose of Mafisadi around our neck is loosing up.We willl be free because we want, trust me on this.Hiyo nguvu yenu si nguvu ya umma.
 
Nguvu ya upande wa pili ni nguvu ya dola hilo halina ubishi.Nguvu ya umma ni tofauti na nguvu ya dola na mobilised gangs planted to instigate unrest.

I wish ningejua unachotaka kumaanisha hapa, lakini haijalishi utaiita kwa jina gani, hakutakuwa na mapambano ya upande mmoja kama mnavyo aminishwa.
 

Imepata nguvu ya Bunge na Rais kuwa sheria kamili?!
 
I wish ningejua unachotaka kumaanisha hapa, lakini haijalishi utaiita kwa jina gani, hakutakuwa na mapambano ya upande mmoja kama mnavyo aminishwa.
Ndio maana nikasema unaandika kwa ushabiki zaidi na inaonekana una hasira kweli kweli na CDM, no wonder you cant comprehend.Ni umma gani huo mnaodai mtatumia nyie ccm?Hamna nguvu ya umma ccm,ni nguvu ya dola ambayo mnaitumia dhidi ya umma,umeelewa sasa?
 
Nafikiri VITA itatua Tanzania hivi karibuni na damu ya watu itamwagika.

Ila akina Gbabo wa Tanzania watajulikana na watawindwa na ICC hata wakijifanya kukimbilia Uarabuni.

Huko Uarabuni kwenyewe mambo yanachemka.

Ujinga wa watu wengine dunia hii ni kuwa wakisikia wengine mambo yanawaka, wanaona wao hayo hayawahusu. Mrusi na Ubabe wake na vyombo vya hali ya juu na vyombo vikali vya ulinzi kama KGB, ALFA, Red Army...... walishindwa na nguvu ya UMMA na wakajifia na Ukomist wao, itakuwa CCM?

Wakati ni UKUTA na mkitaka kupigana nao, mtaangamia.

Kama mkitumia njia za KUUWA watu na hasa waandamanaji, mambo yatakuwa kama Syria. Mkiniuwa mie kama Mkristo, mtashangaa kuwa kumbe familia ya SIKONGE ni kubwa sana na ina waislaam wengi zaidi ya Wakristo na hao wote wataungana kama familia na kuanza kuandamana kuwapinga. Kidogokidogo MOTO utazidi kula nyasi na kuwa mkubwa zaidi na zaidi.

Ingelikuwa ni BUSARA zaidi kwa future ya Taifa letu, mngelifanya haya MABADILIKO kwa amani. Ubaya zaidi ni kuwa kuna watu kama hawa akina Tambwe Hiza mambo yakiharibika, hawatakuwa hata na pa kukimbilia. Akina Kikwete, Rostam, Lowassa, Chenge, Mkapa, Mwinyi nk wanamajumba yao nje ya Tanzania na mapesa ya kutosha kuishi huko.

Tutabaki wenyewe kwa wenyewe TUKIMWAGA damu zetu huku hao waanzilishi wakikimbilia MAJUU.

Ila ukweli unabaki palepale kuwa TANGU ENZI ya AGANO LA KALE, AMANI IMEKUJA KWA DAMU.
 

Ha ha haaa! Nchi hii haiishiwi vibwengo.

Karibu kitimoto hapa Rainbow (Mbezi) leo Jumamosi.
 

Kwanza ni lazima ujue mimi sijawahi kuichukia CDM wala sina pango wa kufanya hivyo mbele, ila kama ukiniuliza kama kuna watu nawachukia huko CDM nitakujibu NDIYO. Pili mimi ninapenda tujadili suala hili mbali zaidi ya CDM na CCM a hata kama unadhani ni vyema kulichambua suala hili kiCCM na CDM kwani huji kuwa CCM ina UMMA wake? Hujui wapo waliopewa fursa ya kuichagua CDM na CCM wakaichagua CCM? Hao walioichagua CCM ndio watakaosimama na CCM. Kwa bahati mbaya haitakuwa hivyo kama nilivyokuambia awali hayatakuwa mapambano ya uCCM na uCDM. Usije kuingizwa kenye mapambano usoyajua jaribu kuangalia uliposimama
 
Wliolala wanaonekana ni wengi,kushiriki kwenye mjadala si mbaya,ubaya unakuja pale ambapo walikwenda kwa maelekezo ya kuziba nafasi ya wengine ambao wangeweza kuchangia kuliko wao,huu usingizi ni ishara kwamba huenda ni kweli waliamshwa mapema,hapo walipo wanafidia mda ambao hawakulala!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…