Pre GE2025 Tundu Lissu ataka bunge likae kikao cha dharura ili kufumua sheria za Uchaguzi zilizopo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbona hata sasa kuna wengi wamemwaga damu ili ccm ikae madarakani, ww umefaidika nini.
Wewe uko tayari umwage damu ili Tundu Lissu awe rais wa JMT na makamu raisi wake Heche? What are you going to benefit? Hakuna mtanzania yo yote mwenye akili timamu anayeweza kufanya hivyo. Hao ni vibaka tu wa kisiasa, achana nao.
 
Mpaka kufika oktoba tutashuhudia mengi
 
Na uliamini alikuwa serious
 
Wewe uko tayari umwage damu ili Tundu Lissu awe rais wa JMT na makamu raisi wake Heche? What are you going to benefit? Hakuna mtanzania yo yote mwenye akili timamu anayeweza kufanya hivyo. Hao ni vibaka tu wa kisiasa, achana nao.
Kwani sasa una benefit kitu gani we karai
 
Hatujasema bila Reforms tutasusia, tumesema bila reforms tutahakikisha Uchaguzi haufanyiki kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…