johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni angalizo tu kwa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Mh. Tundu Lissu kwamba wanamkubali kwa Kiasi anachofanya kutetea haki zao likiwamo hili la Mfumuko wa Bei yaani inflation.
Atazidi kukubalika ila hatavunja Rekodi ya Kupendwa na Wananchi aliyonayo hata kufani yule Shujaa Magufuli.
Tunaeleweshana tu.
Mungu wa mbinguni akubariki!
Atazidi kukubalika ila hatavunja Rekodi ya Kupendwa na Wananchi aliyonayo hata kufani yule Shujaa Magufuli.
Tunaeleweshana tu.
Mungu wa mbinguni akubariki!