Tundu Lissu atamani kuwepo na viongozi wanawake kwenye safu za juu za uongozi CHADEMA

Tundu Lissu atamani kuwepo na viongozi wanawake kwenye safu za juu za uongozi CHADEMA

Wakuu,

BAWACHA wakiadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2025 Mlimani City Dar es Salaam mgeni rasmi akiwa ni Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Tundu Lissu



Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa akizungumza baada kutoka gerezani

"Waliniletea salamu na hata nilipotoka wengine walinifuata nyumbani kuja kunipa pole na hongera. Gereza limenifundisha Na namwambia Samia anipeleke tena gerezani maana nina mengi ya kujifunza. Tukijifunza tunapata silaha ya kuja kutetea haki. Kwa kukaa gerezani nimejifunza watanzania wanavyoteseka, mimi sikujua kuna watu wanakaa gerezani hawajahukumiwa wanakaa miaka 10"

Akizungumzia ajenda ya No refoms No election

"Hata CCM wanasema No Reforms No Election kazaneni hapo hapo. Mliona ngoma iliyofanyika Dodoma, waliofanya wakati wanatetea wanaogombea. Kwanza wamevunja sheria. Wameanza Uchaguzi wa mapema kinyume na sheria alafu sisi wanatuambia tuko nje ya sheria"

Wamechinja Kondoo Ngapi?
 
Msalimie crush wangu SALMA KASANZU pisi moja ya hatari ndani ya kamati ya chadema..
Lazima apate kiti maalumu next bunge
 
Wakuu,

BAWACHA wakiadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2025 Mlimani City Dar es Salaam mgeni rasmi akiwa ni Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Tundu Lissu



Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa akizungumza baada kutoka gerezani

"Waliniletea salamu na hata nilipotoka wengine walinifuata nyumbani kuja kunipa pole na hongera. Gereza limenifundisha Na namwambia Samia anipeleke tena gerezani maana nina mengi ya kujifunza. Tukijifunza tunapata silaha ya kuja kutetea haki. Kwa kukaa gerezani nimejifunza watanzania wanavyoteseka, mimi sikujua kuna watu wanakaa gerezani hawajahukumiwa wanakaa miaka 10"

Akizungumzia ajenda ya No refoms No election

"Hata CCM wanasema No Reforms No Election kazaneni hapo hapo. Mliona ngoma iliyofanyika Dodoma, waliofanya wakati wanatetea wanaogombea. Kwanza wamevunja sheria. Wameanza Uchaguzi wa mapema kinyume na sheria alafu sisi wanatuambia tuko nje ya sheria"

Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika

"Siku kama ya leo mlikuwa na maadhimisho Kilimanjaro na kwa sababu pengine ya dalili zilizokuwepo kwenye maridhiano, BAWACHA mkafanya uamuzi wa kumpa Rais tuzo. Tuzo ya BAWACHA Ingempa motisha zaidi lakini ile motisha ikawa ni uharibifu zaidi''

Hawakupigwa mabomu??
 
Kwakweli imependeza, kwa sababu CDM aitumii hela kuleta watu.

Unapoona ukumbi umefurika kama hivyo inatia moyo kuona watu wanataka mabadiliko.
Unajua mkuu 'Mayor', hii ni aina nyingine ya "tone tone" wanayo ifanya CHADEMA..., taratibu ujumbe utawafikia wananchi na watauelewa..., yaani ujumbe huo wa "No Reform No Election". Itakap[o kuwa hivyo, sijui CCM watatumia njia zipi za kulazimisha uchaguzi ufanyike!
Akina Awadh wa kikosi maalum cha polisi, kweli watamudu kazi ya kuwatisha waTanzania hawa kwa mitutu ya bunduki?
Ulaghai una mwisho wake, na sasa mwisho huo umewadia.
 
Siku ya wanawake mgeni Rasmi Mwanaume Tundu Lisu aiseeee

Wanawake wa Chadema hawajielewi
huko ujizini maccm muandaaji ni bashite na amewachinjia ng'ombe 400 au kwavile yeye ni upinde haina shda eeeh.
 
Mara nyingi binadamu Ana hulka ya kupenda mabadiliko bila kujua athari za mabadiliko hayo, mfano tu katika ndoa, utaona mwanaume Ana mke mzuri sana had watu wanamtamani nje huko apitapo lkn yeye wala hana mzuka na mkewe, unakuta mwanaume huyo Ana mke mzuri lkn kutwa anabadilisha wanawake nje, athari zake anaishia kujilaumu akipata virusi au gono au UTI.

Ndio ilivyo kwa chadema, watu walimuona Mbowe ni pandikizi lkn jamaa yule alikuwa mwanaume sana, akiongea hata mm nlikuwa nna hofu, sio huyu wa sasa yeye anasifika kwa kuongea kwa ukali na maneno magumu kwa serikali basi watu wamempenda
 
Mara nyingi binadamu Ana hulka ya kupenda mabadiliko bila kujua athari za mabadiliko hayo, mfano tu katika ndoa, utaona mwanaume Ana mke mzuri sana had watu wanamtamani nje huko apitapo lkn yeye wala hana mzuka na mkewe, unakuta mwanaume huyo Ana mke mzuri lkn kutwa anabadilisha wanawake nje, athari zake anaishia kujilaumu akipata virusi au gono au UTI.

Ndio ilivyo kwa chadema, watu walimuona Mbowe ni pandikizi lkn jamaa yule alikuwa mwanaume sana, akiongea hata mm nlikuwa nna hofu, sio huyu wa sasa yeye anasifika kwa kuongea kwa ukali na maneno magumu kwa serikali basi watu wamempenda
Kwamba MBOWE NI MWANAUME HASWAA hongera kwa ushuhuda! Ungebaki nalo moyoni !

Mtazame Lissu kama kiongozi wa aina yake! Ukimtizama kwa kumlinganisha na watu wako lazima umtoe kasoro maana siyo chaguo lako
 
Mara nyingi binadamu Ana hulka ya kupenda mabadiliko bila kujua athari za mabadiliko hayo, mfano tu katika ndoa, utaona mwanaume Ana mke mzuri sana had watu wanamtamani nje huko apitapo lkn yeye wala hana mzuka na mkewe, unakuta mwanaume huyo Ana mke mzuri lkn kutwa anabadilisha wanawake nje, athari zake anaishia kujilaumu akipata virusi au gono au UTI.

Ndio ilivyo kwa chadema, watu walimuona Mbowe ni pandikizi lkn jamaa yule alikuwa mwanaume sana, akiongea hata mm nlikuwa nna hofu, sio huyu wa sasa yeye anasifika kwa kuongea kwa ukali na maneno magumu kwa serikali basi watu wamempenda
Angekuwa hana uwezo asingeitwa uganda majuzi, asingefikia hapo and probably uchaguzi asingedhinda
 
Mara nyingi binadamu Ana hulka ya kupenda mabadiliko bila kujua athari za mabadiliko hayo, mfano tu katika ndoa, utaona mwanaume Ana mke mzuri sana had watu wanamtamani nje huko apitapo lkn yeye wala hana mzuka na mkewe, unakuta mwanaume huyo Ana mke mzuri lkn kutwa anabadilisha wanawake nje, athari zake anaishia kujilaumu akipata virusi au gono au UTI.

Ndio ilivyo kwa chadema, watu walimuona Mbowe ni pandikizi lkn jamaa yule alikuwa mwanaume sana, akiongea hata mm nlikuwa nna hofu, sio huyu wa sasa yeye anasifika kwa kuongea kwa ukali na maneno magumu kwa serikali basi watu wamempenda
🤣🤣🤣🤣 ikiwa Akina Prof Shivj,Jaji Warioba, Ulimwengu na manguli wa hapa Tanzania , wanakiri juu ya Uwezo mkubwa wa LISSU , wewe ni nani Mkuu?.

Uliisikia Speech ya LISSU pale Makelele University?. Ulimwelewa?.
 
Mara nyingi binadamu Ana hulka ya kupenda mabadiliko bila kujua athari za mabadiliko hayo, mfano tu katika ndoa, utaona mwanaume Ana mke mzuri sana had watu wanamtamani nje huko apitapo lkn yeye wala hana mzuka na mkewe, unakuta mwanaume huyo Ana mke mzuri lkn kutwa anabadilisha wanawake nje, athari zake anaishia kujilaumu akipata virusi au gono au UTI.

Ndio ilivyo kwa chadema, watu walimuona Mbowe ni pandikizi lkn jamaa yule alikuwa mwanaume sana, akiongea hata mm nlikuwa nna hofu, sio huyu wa sasa yeye anasifika kwa kuongea kwa ukali na maneno magumu kwa serikali basi watu wamempenda
Kwahiyo wewe ni mwoga wa mabadiliko ama mabadiliko yalikulazimu kibadilika ndugu?Hivyo wewe unaweza kuyaongelea mambo siyo?
 
Msimlaumu mdau
Alipenda zaidi speech ya mama pale Arusha
 
Back
Top Bottom