Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Wakuu,
BAWACHA wakiadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2025 Mlimani City Dar es Salaam mgeni rasmi akiwa ni Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Tundu Lissu
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa akizungumza baada kutoka gerezani
"Waliniletea salamu na hata nilipotoka wengine walinifuata nyumbani kuja kunipa pole na hongera. Gereza limenifundisha Na namwambia Samia anipeleke tena gerezani maana nina mengi ya kujifunza. Tukijifunza tunapata silaha ya kuja kutetea haki. Kwa kukaa gerezani nimejifunza watanzania wanavyoteseka, mimi sikujua kuna watu wanakaa gerezani hawajahukumiwa wanakaa miaka 10"
Akizungumzia ajenda ya No refoms No election
"Hata CCM wanasema No Reforms No Election kazaneni hapo hapo. Mliona ngoma iliyofanyika Dodoma, waliofanya wakati wanatetea wanaogombea. Kwanza wamevunja sheria. Wameanza Uchaguzi wa mapema kinyume na sheria alafu sisi wanatuambia tuko nje ya sheria"
Wamechinja Kondoo Ngapi?