Tundu Lissu atamani kuwepo na viongozi wanawake kwenye safu za juu za uongozi CHADEMA

Tundu Lissu atamani kuwepo na viongozi wanawake kwenye safu za juu za uongozi CHADEMA

🤣🤣🤣🤣 ikiwa Akina Prof Shivj,Jaji Warioba, Ulimwengu na manguli wa hapa Tanzania , wanakiri juu ya Uwezo mkubwa wa LISSU , wewe ni nani Mkuu?.

Uliisikia Speech ya LISSU pale Makelele University?. Ulimwelewa?.
Achana nae inzi wa kijani tu. Anatafuta tu kutukanwa humu wakati watu tupo kwenye Ramadhani na Kwaresma.
 
Mama yenu akiupiga mwingi inatosha haya mengine waachie wanaohusika mkuu
 
Kama huwezi kumwelewa Tundu Lissu anapoelekeza au kufundisha jambo fulani, basi wewe ni zoba uliyeshindikana kabisa darasani...!!

Speech ya Tundu Lissu jana kwa wanawake, ni moja ya speech bora kabisa. Ni speech ambayo imejengwa kwenye takwimu na facts tupu na sio kelele na maneno matupu tu...

Na hii ndiyo tofauti ya uhutubiaji Mwenyekiti aliyestaafu wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa sasa Tundu Lissu..

Nimemtazama Bi Samia Suluhu Hassan jana. Hotuba yake ni ya hovyo yenye maneno ya kusoma na kukariri tu. I am sure hata yeye alikuwa hajui anazungumza nini...!!
 
Kama huwezi kumwelewa Tundu Lissu anapoelekeza au kufundisha jambo fulani, basi wewe ni zoba uliyeshindikana kabisa darasani...!!

Speech ya Tundu Lissu jana kwa wanawake, ni moja ya speech bora kabisa. Ni speech ambayo imejengwa kwenye takwimu na facts tupu na sio kelele na maneno matupu tu...

Na hii ndiyo tofauti ya uhutubiaji Mwenyekiti aliyestaafu wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa sasa Tundu Lissu..

Nimemtazama Bi Samia Suluhu Hassan jana. Hotuba yake ni ya hovyo yenye maneno ya kusoma na kukariri tu. I am sure hata yeye alikuwa hajui anazungumza nini...!!
 
Wakuu,

BAWACHA wakiadhimisha Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, 2025 Mlimani City Dar es Salaam mgeni rasmi akiwa ni Mwenyekiti CHADEMA Taifa, Tundu Lissu



Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt. Wilbroad Slaa akizungumza baada kutoka gerezani

"Waliniletea salamu na hata nilipotoka wengine walinifuata nyumbani kuja kunipa pole na hongera. Gereza limenifundisha Na namwambia Samia anipeleke tena gerezani maana nina mengi ya kujifunza. Tukijifunza tunapata silaha ya kuja kutetea haki. Kwa kukaa gerezani nimejifunza watanzania wanavyoteseka, mimi sikujua kuna watu wanakaa gerezani hawajahukumiwa wanakaa miaka 10"

Akizungumzia ajenda ya No refoms No election

"Hata CCM wanasema No Reforms No Election kazaneni hapo hapo. Mliona ngoma iliyofanyika Dodoma, waliofanya wakati wanatetea wanaogombea. Kwanza wamevunja sheria. Wameanza Uchaguzi wa mapema kinyume na sheria alafu sisi wanatuambia tuko nje ya sheria"

Katibu mkuu wa CHADEMA John Mnyika

"Siku kama ya leo mlikuwa na maadhimisho Kilimanjaro na kwa sababu pengine ya dalili zilizokuwepo kwenye maridhiano, BAWACHA mkafanya uamuzi wa kumpa Rais tuzo. Tuzo ya BAWACHA Ingempa motisha zaidi lakini ile motisha ikawa ni uharibifu zaidi''

Unajua alipgwa risasi kwanini??
Sawa KENGE maoni yako yaheshimiwe!!
 
Angalau kwa siku moja tusingewazungumzia Mbowe na Lissu. Ilitakiwa tumpongeze Sharifa na wenzake kwa kuiunganisha Bawacha na kuweza kuandaa sherehe bila mikeke yoyote. Na kwa kuifanikisha kwa kutumia nguvu na michango yao wenyewe kwa kiasi kikubwa. Hii Bawacha inatisha.

Amandla...
 
Back
Top Bottom