Tundu Lissu atamani kuwepo na viongozi wanawake kwenye safu za juu za uongozi CHADEMA

Wamechinja Kondoo Ngapi?
 
Msalimie crush wangu SALMA KASANZU pisi moja ya hatari ndani ya kamati ya chadema..
Lazima apate kiti maalumu next bunge
 
Hawakupigwa mabomu??
 
Kwakweli imependeza, kwa sababu CDM aitumii hela kuleta watu.

Unapoona ukumbi umefurika kama hivyo inatia moyo kuona watu wanataka mabadiliko.
Unajua mkuu 'Mayor', hii ni aina nyingine ya "tone tone" wanayo ifanya CHADEMA..., taratibu ujumbe utawafikia wananchi na watauelewa..., yaani ujumbe huo wa "No Reform No Election". Itakap[o kuwa hivyo, sijui CCM watatumia njia zipi za kulazimisha uchaguzi ufanyike!
Akina Awadh wa kikosi maalum cha polisi, kweli watamudu kazi ya kuwatisha waTanzania hawa kwa mitutu ya bunduki?
Ulaghai una mwisho wake, na sasa mwisho huo umewadia.
 
Siku ya wanawake mgeni Rasmi Mwanaume Tundu Lisu aiseeee

Wanawake wa Chadema hawajielewi
huko ujizini maccm muandaaji ni bashite na amewachinjia ng'ombe 400 au kwavile yeye ni upinde haina shda eeeh.
 
Mara nyingi binadamu Ana hulka ya kupenda mabadiliko bila kujua athari za mabadiliko hayo, mfano tu katika ndoa, utaona mwanaume Ana mke mzuri sana had watu wanamtamani nje huko apitapo lkn yeye wala hana mzuka na mkewe, unakuta mwanaume huyo Ana mke mzuri lkn kutwa anabadilisha wanawake nje, athari zake anaishia kujilaumu akipata virusi au gono au UTI.

Ndio ilivyo kwa chadema, watu walimuona Mbowe ni pandikizi lkn jamaa yule alikuwa mwanaume sana, akiongea hata mm nlikuwa nna hofu, sio huyu wa sasa yeye anasifika kwa kuongea kwa ukali na maneno magumu kwa serikali basi watu wamempenda
 
Kwamba MBOWE NI MWANAUME HASWAA hongera kwa ushuhuda! Ungebaki nalo moyoni !

Mtazame Lissu kama kiongozi wa aina yake! Ukimtizama kwa kumlinganisha na watu wako lazima umtoe kasoro maana siyo chaguo lako
 
Angekuwa hana uwezo asingeitwa uganda majuzi, asingefikia hapo and probably uchaguzi asingedhinda
 
🤣🤣🤣🤣 ikiwa Akina Prof Shivj,Jaji Warioba, Ulimwengu na manguli wa hapa Tanzania , wanakiri juu ya Uwezo mkubwa wa LISSU , wewe ni nani Mkuu?.

Uliisikia Speech ya LISSU pale Makelele University?. Ulimwelewa?.
 
Kwahiyo wewe ni mwoga wa mabadiliko ama mabadiliko yalikulazimu kibadilika ndugu?Hivyo wewe unaweza kuyaongelea mambo siyo?
 
Msimlaumu mdau
Alipenda zaidi speech ya mama pale Arusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…