Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Chiba naye atulie sio kila jambo lazima apanue domo lakeView attachment 2624419
Yule Mwamba anayekubaliwa na wengi kwa kupigania Haki za Watu woote bila kujali misingi yao ya kiitikadi ametoa ushauri wake kuhusu sakata la Kariakoo na Wafanya biashara.
Huyo Champion wa siasa za Bongo ameeleza pia nini kinaendelea na kusema kuwa chanzo kikubwa ni Katiba Ya Sasa ambayo imempa Mh Rais aliyeko madarakani maamuzi yoote yanayohusu fedha na mapato ya Taifa bila ridhaa ya mtu mwingine yeyote.
Jambo hilo limesemwa utatuzi wake uko kwa Mtu Mmoja tu ambaye ni Rais.
Asomaye afahamu
Hahaha huyu ni Daniel wa siku za leoCcm tukija sikia huyu nae mafua yamepelekea kuganda Kwa damu
Tutapumua , mana !
Sasa wewe hapa unafanya nini? Au kwa kuwa umeandika hujapanua?🤣
Jamaa anadomo kama chai jabaSasa wewe hapa unafanya nini? Au kwa kuwa umeandika hujapanua?[emoji1787]
🤣🤣🤣mkuu mbona unakuwa na hasira sana dhidi ya TL nini shida??
Katiba Mpya! Katiba Mpya! Katiba Mpya!View attachment 2624419
Yule Mwamba anayekubaliwa na wengi kwa kupigania Haki za Watu woote bila kujali misingi yao ya kiitikadi ametoa ushauri wake kuhusu sakata la Kariakoo na Wafanya biashara.
Huyo Champion wa siasa za Bongo ameeleza pia nini kinaendelea na kusema kuwa chanzo kikubwa ni Katiba Ya Sasa ambayo imempa Mh Rais aliyeko madarakani maamuzi yoote yanayohusu fedha na mapato ya Taifa bila ridhaa ya mtu mwingine yeyote.
Jambo hilo limesemwa utatuzi wake uko kwa Mtu Mmoja tu ambaye ni Rais.
Asomaye afahamu
Hivi tunashindwanini kuindoa ccm na kumuweka Lissu kuwa Raisi atukatmatie wezi wetu wakodi zetu.View attachment 2624419
Yule Mwamba anayekubaliwa na wengi kwa kupigania Haki za Watu woote bila kujali misingi yao ya kiitikadi ametoa ushauri wake kuhusu sakata la Kariakoo na Wafanya biashara.
Huyo Champion wa siasa za Bongo ameeleza pia nini kinaendelea na kusema kuwa chanzo kikubwa ni Katiba Ya Sasa ambayo imempa Mh Rais aliyeko madarakani maamuzi yoote yanayohusu fedha na mapato ya Taifa bila ridhaa ya mtu mwingine yeyote.
Jambo hilo limesemwa utatuzi wake uko kwa Mtu Mmoja tu ambaye ni Rais.
Asomaye afahamu
View attachment 2624419
Yule Mwamba anayekubaliwa na wengi kwa kupigania Haki za Watu woote bila kujali misingi yao ya kiitikadi ametoa ushauri wake kuhusu sakata la Kariakoo na Wafanya biashara.
Huyo Champion wa siasa za Bongo ameeleza pia nini kinaendelea na kusema kuwa chanzo kikubwa ni Katiba Ya Sasa ambayo imempa Mh Rais aliyeko madarakani maamuzi yoote yanayohusu fedha na mapato ya Taifa bila ridhaa ya mtu mwingine yeyote.
Jambo hilo limesemwa utatuzi wake uko kwa Mtu Mmoja tu ambaye ni Rais.
Asomaye afahamu
Lakini amesema kweli hizi kodi ni za Samia zimeanzia ikulu!
Anayekataa huu ukweli atakuwa mtu wa ajabu sanaLakini amesema kweli hizi kodi ni za Samia zimeanzia ikulu!
Lissu kiukweli anafaa maana yeye kwake ni sheria utawala bora na haki. Nje ya hapo hakunaHivi tunashindwanini kuindoa ccm na kumuweka Lissu kuwa Raisi atukatmatie wezi wetu wakodi zetu.
Lissu: Hizi Kodi hizi, zote ni za Sa100, Waziri wa Fedha ni karani tu.Ccm tukija sikia huyu nae mafua yamepelekea kuganda Kwa damu
Tutapumua , mana !
Jamaa ni kiboko sio mchezo ! 😅View attachment 2624419
Yule Mwamba anayekubaliwa na wengi kwa kupigania Haki za Watu woote bila kujali misingi yao ya kiitikadi ametoa ushauri wake kuhusu sakata la Kariakoo na Wafanya biashara.
Huyo Champion wa siasa za Bongo ameeleza pia nini kinaendelea na kusema kuwa chanzo kikubwa ni Katiba Ya Sasa ambayo imempa Mh Rais aliyeko madarakani maamuzi yoote yanayohusu fedha na mapato ya Taifa bila ridhaa ya mtu mwingine yeyote.
Jambo hilo limesemwa utatuzi wake uko kwa Mtu Mmoja tu ambaye ni Rais.
Asomaye afahamu
Duh !🤣🤣🤣mkuu mbona unakuwa na hasira sana dhidi ya TL nini shida??
Umaskini wako ni sababu ya ccm sasa kisirani cha ninu?
Kama lako vile.
Kodi na biashara nayo pia katiba mpya?!!!!View attachment 2624419
Yule Mwamba anayekubaliwa na wengi kwa kupigania Haki za Watu woote bila kujali misingi yao ya kiitikadi ametoa ushauri wake kuhusu sakata la Kariakoo na Wafanya biashara.
Huyo Champion wa siasa za Bongo ameeleza pia nini kinaendelea na kusema kuwa chanzo kikubwa ni Katiba Ya Sasa ambayo imempa Mh Rais aliyeko madarakani maamuzi yoote yanayohusu fedha na mapato ya Taifa bila ridhaa ya mtu mwingine yeyote.
Jambo hilo limesemwa utatuzi wake uko kwa Mtu Mmoja tu ambaye ni Rais.
Asomaye afahamu
Mgonjwa wa wodi no. 14 pale ACUTE Dodoma......