Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Tema mate chini mkuu....Hivi tunashindwanini kuindoa ccm na kumuweka Lissu kuwa Raisi atukatmatie wezi wetu wakodi zetu.
Kubadili STATUS QUO ni jambo la hatari.......
Bora ya CCM kuliko hao akina Lissu.....
Usihadaike tu na ULIMI MTAMU wa mchungaji ama sheikh.....
#SiempreJMT[emoji120]