Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
History tells it all! he is talking from past experience with our judiciary in siasa motivated/driven cases!Anaingilia mahakama
Mnazitumia vibaya.Anaingilia mahakama
Real-time answerMnazitumia vibaya.
Take home msg ni hii:
1. Job N dugai asilaumiwe
2. Tulia Ackson asilaumiwe
3. Alaumiwe anayewalipa mshahara, ambaye ni Rais.
Msikilize, jibu hoja zake kwa hoje, achana na characters assassination arguments or what is called Ad Hominem arguments
seems you are not informed of how government payments are made!kumlipa Lissu fedha bila kuidhinishwa na bunge na pasipo kujustify kwa nini amelipa.
Na wewe ingilia kwani umekatazwaAnaingilia mahakama
Sheria ivunjwe mara ngapi?Ni kweli kabisa, Rais ndiye anayelipa mishahara kwa wabunge wote. Lakini kumtaka Rais azuie mishahara ni kumtaka afanye jambo kinyume cha sheria, ni kumtaka avunje katiba, sasa hatuwezi kufurahia uvunjwaji wa katiba kwa sababu tu utawaondoa Covid 19 bungeni.
Kama ni suala la kuwa Rais aliwapeleka bungeni hao covid 19 kwa maana ya aliwabeba na kuwashawishi basi njia sahihi kwake kuwaondoa bungeni ni kuwashawishi wajiuzulu nafasi zao, jinsi walivyoingia ndio watoke hivyohivyo (off radar).
Rais ana mamlaka makubwa yasiyo kikatiba, mfano kumlipa Lissu fedha bila kuidhinishwa na bunge na pasipo kujustify kwa nini amelipa. Ni kweli inabidi tupate katiba mpya kupunguza mamlaka hayo
Ni kweli kabisa, Rais ndiye anayelipa mishahara kwa wabunge wote. Lakini kumtaka Rais azuie mishahara ni kumtaka afanye jambo kinyume cha sheria, ni kumtaka avunje katiba, sasa hatuwezi kufurahia uvunjwaji wa katiba kwa sababu tu utawaondoa Covid 19 bungeni.
Kama ni suala la kuwa Rais aliwapeleka bungeni hao covid 19 kwa maana ya aliwabeba na kuwashawishi basi njia sahihi kwake kuwaondoa bungeni ni kuwashawishi wajiuzulu nafasi zao, jinsi walivyoingia ndio watoke hivyohivyo (off radar).
Rais ana mamlaka makubwa yasiyo kikatiba, mfano kumlipa Lissu fedha bila kuidhinishwa na bunge na pasipo kujustify kwa nini amelipa. Ni kweli inabidi tupate katiba mpya kupunguza mamlaka hayo
Take home msg ni hii:
1. Job Ndugai asilaumiwe
2. Tulia Ackson asilaumiwe
3. Alaumiwe anayewalipa mshahara, ambaye ni Rais.
Msikilize, jibu hoja zake kwa hoja, achana na character assassination arguments or what is called Ad Hominem arguments
Nilidhani fisi ni nick name kumbe ni uhalisia kwamba ni fisi? Au kimombo Hyena!Tundu Lissu hajawahi kuwa na akili. Ni mjinga na mjivuni.
Avunje katiba ipi ambayo haijavunjwa? Labda ya Israel. Ya tz ilishavunjwa saa hii ina P.O.P kila pageNi kweli kabisa, Rais ndiye anayelipa mishahara kwa wabunge wote. Lakini kumtaka Rais azuie mishahara ni kumtaka afanye jambo kinyume cha sheria, ni kumtaka avunje katiba, sasa hatuwezi kufurahia uvunjwaji wa katiba kwa sababu tu utawaondoa Covid 19 bungeni.
Kama ni suala la kuwa Rais aliwapeleka bungeni hao covid 19 kwa maana ya aliwabeba na kuwashawishi basi njia sahihi kwake kuwaondoa bungeni ni kuwashawishi wajiuzulu nafasi zao, jinsi walivyoingia ndio watoke hivyohivyo (off radar).
Rais ana mamlaka makubwa yasiyo kikatiba, mfano kumlipa Lissu fedha bila kuidhinishwa na bunge na pasipo kujustify kwa nini amelipa. Ni kweli inabidi tupate katiba mpya kupunguza mamlaka hayo
Hapana mkuu 'Rasterman', Samia angetaka, hili ndilo lingemtambulisha kuwa kiongozi wa kuaminika.Ile issue iko complicated. Samia mwenyewe hataki Bunge libaki na vihiyo vitupu.
Hivi Tundu Lissu anewahi kushinda kesi gani ya kupigiwa mfano? Ningependa kujua japo kesi moja tu ambayo Wakili Tundu Lissu aliwahi kushinda ni hukumu yake ni hukumu rejea; moja tu.Anaingilia mahakama
Havunji.Anavoteua wanajesh kuwa wakuu wa Mikoa na wilaya havunji katiba?