Sandinistas
JF-Expert Member
- Jul 5, 2013
- 2,612
- 1,776
Kesi ya Bulyanhulu na Nyamongo alishinda kwa sababu kipindi hicho mahakama ilikuwa bado ni mahakama. Prof. Kabudi kabla ya kuharibikiwa alipata kusema hivi bungeni: when presidents were still presidents and law was law!Kwenye kushinda kesi Tundu Lissu namkubali ni gwijj. Kuna kesi ya wachimbaji wadogo wadogo huko Bulyanhulu au Nyamongo kwenye miaka ya 1997-2000 wakati wa Mkapa. Wale watu waliondolewa bila fidia na Tundu Lissu aliwatetea Mahakamani bure na wakashinda. Waliposhinda ndipo wakamchangia fedha kama shukrani.
Kesi gani kashinda na ipo kwenye Tanzania Law Reports? Hana kesi hata moja.Wee lisu alikuwa na kesi LUKUKI hazitajiki ni nyingi na zote hamna hanata 1 aliyofungwa... Sasa utasemaje huyo mtu hajui sheria?
Fedha za kumlipa Lissu mafao yake ya ubunge zilikuwa kwenye bajeti iliyopitishwa na Bunge kama ambavyo fedha za kumtibu aliposhambuliwa zilikuwepo. Idhini ya Bunge haikuhitajika bali wote waliohudumu 2015-2020 walistahili kulipwa. Matibabu yake hayakugharimiwa na Bunge kwa sababu ya matumizi mabaya ya madaraka na uvunjaji wa sheria uliotamalaki hapa nchini. Lissu hakulipwa mafao yake kwa hisani ya Rais bali kwa mujibu wa sheria na haki.Ni kweli kabisa, Rais ndiye anayelipa mishahara kwa wabunge wote. Lakini kumtaka Rais azuie mishahara ni kumtaka afanye jambo kinyume cha sheria, ni kumtaka avunje katiba, sasa hatuwezi kufurahia uvunjwaji wa katiba kwa sababu tu utawaondoa Covid 19 bungeni.
Kama ni suala la kuwa Rais aliwapeleka bungeni hao covid 19 kwa maana ya aliwabeba na kuwashawishi basi njia sahihi kwake kuwaondoa bungeni ni kuwashawishi wajiuzulu nafasi zao, jinsi walivyoingia ndio watoke hivyohivyo (off radar).
Rais ana mamlaka makubwa yasiyo kikatiba, mfano kumlipa Lissu fedha bila kuidhinishwa na bunge na pasipo kujustify kwa nini amelipa. Ni kweli inabidi tupate katiba mpya kupunguza mamlaka hayo
Kwamba MADARAKA amekaimishwa kayakubali ila,Tundu Lissu hana hoja. Kwanini anataka Rais aingilie Mhimili wa Binge? Dhana ya mgawanyo wa madaraka na utawala Bora iko wapi hapa?.
Makosa yapo na yalifanywa na Magufuli na Ndugai. Sioni kwa nini tunayahamishia kwa Rais Samia
Sawa mkuu.Fedha za kumlipa Lissu mafao yake ya ubunge zilikuwa kwenye bajeti iliyopitishwa na Bunge kama ambavyo fedha za kumtibu aliposhambuliwa zilikuwepo. Idhini ya Bunge haikuhitajika bali wote waliohudumu 2015-2020 walistahili kulipwa. Matibabu yake hayakugharimiwa na Bunge kwa sababu ya matumizi mabaya ya madaraka na uvunjaji wa sheria uliotamalaki hapa nchini. Lissu hakulipwa mafao yake kwa hisani ya Rais bali kwa mujibu wa sheria na haki.