Kati yako na yeye, ni bora yeye hata kama kuna upungufu katika uwasilishaji wake kuliko wewe ambaye hukuweka chochote cha maana hapa.Mkuu siyo lazima upost kila kitu ili uonekana unajua
Chanzo cha taarifa ni kipi?
Amesema akiwa wapi?
Japo Mimi nilimsikia kutoka CH lakini he wengine walisikia?
Ni vema ukawa kimya na kusoma mawazo ya wengine, unaweza ukajifunza zaidi.
Vp wewe ulishatubu nini? Ulishaokoka tangu awamu yako istop ghafla? Au wewe ndiye utakuwa kuni?Wakiwa kitandani kwa madhambi waliyowafanyia wananchi wanaanza kulia na kutubu.
Mungu nakuomba uwachome motoni kabisa hao.
Kwenye lecture wanameza slides, kwenye siasa tumbo ndo linahusika kufikiri juu ya masuala nyeti ya kitaifaMbona kwenye lecture wapo vizuri,ishu ni kujitoa ufahamu...
Na ulaaniwe umaskini...Kwenye lecture wanameza slides, kwenye siasa tumbo ndo linahusika kufikiri juu ya masuala nyeti ya kitaifa
IMBOMBO NGAFU!
Akishasema Bingwa Mzalendo Tundu Lissu sisi wengine ni kupigia mstari tu.Tundu Lissu amewakmba wenye mawasiliano na wabunge wa Ngorongoro na Ole Sendeka wawafikishie Salamu zake za Upendo na pongezi kwa namna walivyowatetea kisheria kabisa Wananchi wao.
Tundu Lissu amesema Wabunge hawa wawili Mungu wa mbinguni awabariki na kuwalinda kwa uzelendo uliotukuka.
Tundu Lisu ameiponda PhD ya sheria ya Waziri Chana na kusema haimsaidii chochote.
Hand To mouth elites🤣Kwenye lecture wanameza slides, kwenye siasa tumbo ndo linahusika kufikiri juu ya masuala nyeti ya kitaifa
IMBOMBO NGAFU!
Ule ni Mfupa mgumu. Fatilia issue ya Loliondo ni ngumu sana. Jaeibh kugoogle mitandaoni utaona ule ni Mfupa mgumu sana. Ulikoanzia sio leo. Wala si Samia mhusika hata Jpm ulimshinda. Mgogoro wa ngorongoro na Loliondo una siri nyingi tena kubwa sana.Rais Samia Loliondo kunani??
Wakiwa kitandani kwa madhambi waliyowafanyia wananchi wanaanza kulia na kutubu.
Mungu nakuomba uwachome motoni kabisa hao.
Apeleke wazimu wake huko. Mwenyewe anajidai kwamba anajua kuliko yeyote.Tundu Lissu amewakmba wenye mawasiliano na wabunge wa Ngorongoro na Ole Sendeka wawafikishie Salamu zake za Upendo na pongezi kwa namna walivyowatetea kisheria kabisa Wananchi wao.
Tundu Lissu amesema Wabunge hawa wawili Mungu wa mbinguni awabariki na kuwalinda kwa uzelendo uliotukuka.
Tundu Lisu ameiponda PhD ya sheria ya Waziri Chana na kusema haimsaidii chochote.
Ungemtaja anayejua kuliko yeye basi!Apeleke wazimu wake huko. Mwenyewe anajidai kwamba anajua kuliko yeyote.