Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Lucas bwanaa.Hivi huwa una akili kweli wewe? Ndugu zako wanafahamu kuwa wewe ni mgonjwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucas bwanaa.Hivi huwa una akili kweli wewe? Ndugu zako wanafahamu kuwa wewe ni mgonjwa?
CHADEMA imepoteza mvuto na uelekeoMwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ni miongoni mwa waombolezaji walioingia Mkoani Manyara kuomboleza Msiba wa Mwenyekiti wa zamani wa Mkoa huo, Derrick Magoma.
Taarifa iliyosambazwa na chama chake Duniani kote hii hapa.
View attachment 3233235View attachment 3233236
Mungu Ibariki Chadema
Ushamba tu, si angaliweka nyota 3 za ubregedia?Hapo kwenye kola naona maandishi TAL🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Kwa Muji ya mtoa taarifa hii jana alisema ataongoza na nikamhoji hili swali Leo kabadili gia angani ndo maana nikamhoji tena je ni kushiriki au kuongoza kama aliyosema jana?Anaongoza kwani yeye ni mchungaji?
hivi yule nabii mnyanganyi wa arusha ambae anapenda watu wenye mawazo tofauti na yake kufa , haukuonyeshwa kifo cha huyu muungwana?Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ni miongoni mwa waombolezaji walioingia Mkoani Manyara kuomboleza Msiba wa Mwenyekiti wa zamani wa Mkoa huo, Derrick Magoma.
Taarifa iliyosambazwa na chama chake Duniani kote hii hapa.
View attachment 3233235View attachment 3233236
Mungu Ibariki Chadema

Kuongoza hajakoseaKwa Muji ya mtoa taarifa hii jana alisema ataongoza na nikamhoji hili swali Leo kabadili gia angani ndo maana nikamhoji tena je ni kushiriki au kuongoza kama aliyosema jana?
Kwaiyo marehemu hakuwa na dini?Kuongoza hajakosea
Acha kuita watu takataka wewe kenge...Hizi takataka bana
Alikua chawa wa mbowe huyo anajisogeza kwa mbeljiji😹
Mungu ilaani ccmMungu ibariki CCM
Haya akina mangi mnararuanaAcha kuita watu takataka wewe kenge...
Una uwezo wa kuumba hata kidole?
Kwani wamekuambia aliyekufa ni mkristo mpaka mchungaji awepo? Na hata kama ni mchungaji kwani kazi yake ni kuongoza au kuendesha ibada ya maziko?Anaongoza kwani yeye ni mchungaji?
Huna akiliKwa Muji ya mtoa taarifa hii jana alisema ataongoza na nikamhoji hili swali Leo kabadili gia angani ndo maana nikamhoji tena je ni kushiriki au kuongoza kama aliyosema jana?
Kwani dini ndio inaongoza mazishi ya mtu aliyekufa?Kwaiyo marehemu hakuwa na dini?
Hapana ni viongozi wa diniKwani dini ndio inaongoza mazishi ya mtu aliyekufa?
Nafikiri huko kwenu ndio huwa mnawaachia viongozi wa dini kuongoza, ukanda wetu ni tofauti sanaHapana ni viongozi wa dini
Kakazwe na steve nyerereHivi huwa una akili kweli wewe? Ndugu zako wanafahamu kuwa wewe ni mgonjwa?
Tangu lini brigedia akawa na nyota 3? Kuna uhusiano gani wa kuwa mbogamboga na kutokuwa na akili?Ushamba tu, si angaliweka nyota 3 za ubregedia?
Waganga watakuwa wamemuosha dawa sana, mapipa kwa mapipa, maana mwanzoni walimzuia asihudhurie misibaMwenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu ni miongoni mwa waombolezaji walioingia Mkoani Manyara kuomboleza Msiba wa Mwenyekiti wa zamani wa Mkoa huo, Derrick Magoma.
Taarifa iliyosambazwa na chama chake Duniani kote hii hapa.
View attachment 3233235View attachment 3233236
Mungu Ibariki Chadema
hajitambui huyo.Acha kuita watu takataka wewe kenge...
Una uwezo wa kuumba hata kidole?