Godlisten shoo
Member
- May 21, 2012
- 36
- 9
Hiyo ndiyo Sisiem yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama madai ya Lissu ni sahihi basi hatuko salama!
. Mheshimiwa Tundu Lisu (Mb) ameeleza kwa kiina mapungufu. Sasa kama Rais alipelekewa majina, hakujua kama hawana sifa za uteuzi kwa mujibu wa sheria, kinachotakiwa ni kubatilisha uteuzi na kuwaomba radhi watanzania kwa kukosa umakini katika uteuzi huu, kumshukuru Mheshimiwa Tundu Lisu kwa kufuatilia kwa makini. Dawa isiwe kutupiana mpira. Penye ukweli lazima tukubali ukweli na kujutia makosa tuliyoyafanya pasipo kukusudia. Kama tunazidi kung'ang'ania tutafikiria tulifanya makosa kwa makusudi na hatupotayari kukiri dhambi zetu na kuziacha.Mimi ningependa hao watumishi wa serikali kuanzia naibu waziri wa katiba na sheria pamoja na waziri wake, katibu mkuu kiongozi, jaji kiongozi na jaji mkuu na hata raisi kikwete mwenyewe wajitokeze na utetezi wenye kueleweka.
Kwakuwa Lissu amewataja kwa majina majaji wasio na sifa ya kuwa majaji basi nao wawataje kwa majina na kuthibitisha kwamba wana sifa za kuwastahili kuwa majaji.
kwenye nyekundu sifa kuu ni "waislamu wenzangu".
Na Jaji Mwendwa Malecela ni Muislam? Sisi hapa hatuungalii dini tunaangalia uteuzi mbovu anaofanya Kiongozi wetu mkuu unaotugharimu watanzania wote. Kama na wewe una majina ya watu wengine yaweke hapa.Huyo Tindu Lissu ni Mdini tu.Amewalenga waislamu ili awachafue.Christian Democratic Movement in Action
Unanikumbusha Misri na rais Mohamed Morsi.Kikwete anadai anapelekewa majina na kamati ya mahakama. Anachorekebisha yeye ni kuangalia usawa wa kijinsia( na wa KIDINI kwa siri sana). KATIBA yetu ya JMT kwa sasa inatutesa sana kwenye teuzi hizi za Rais.
(the list of cincopetent judges)
Kwa wale wanaofuatilia mambo,inamaana tundu lisu ndie anaejua sheria kuliko watz wote?kama jibu ni hapana kwanini kama kuna ukweli na hao wengine mbona hawatoi ufafanuzi?tundu atakuwa ana wivu tu hana jipya.
Wakuu jibuni hoja kwa hoja.Huyo Tindu Lissu ni Mdini tu.Amewalenga waislamu ili awachafue.Christian Democratic Movement in Action
Kwenye nyekundu sifa kuu ni "waislamu wenzangu".
Wana JF,
The list of incompetent judges is long. I am compiling the list with the supporting documents. To put the pants down of those who have replied to what Tundu Lissu said, soon it (the list of cincopetent judges) will be downloaded in this forum. Sioni mantiki ya kuteua majaji wengi (bila kufuata taratibu zilizopo) kama wanaoteuliwa wenyewe hawawezi kutekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria. I am informed by a friend that a High Court judge delivered a ruling which contained no provision of the law to support his decision. Worse enough, where he was supposed to write the provision of the law to support his decision, this judge just left some blanks, but yet he signed the ruling and upon the same being requested by the aggrieved party, the same was issued to that party as it is (containing blanks in the places where the provisions of the law ought to have been sited).
Tatizo lipo kwenye mteuzi (appointing authority). He is taking our country to a deep grave as far as the administration of justice in Tanzania is concerned
Hii yako nayo ni hoja kwako??? Nadhani na wewe una elimu ya chekechea kama huwezi kuelewa hoja ya TLKwa wale wanaofuatilia mambo,inamaana tundu lisu ndie anaejua sheria kuliko watz wote?kama jibu ni hapana kwanini kama kuna ukweli na hao wengine mbona hawatoi ufafanuzi?tundu atakuwa ana wivu tu hana jipya.
Kimsingi ulichokitaja hapa kiongozi hata wanaojibu hizo hoja kwa ujumla jumla nadhan wanajua ndicho wanachopaswa kufanya. Na kama hawajui ka hivyo ndivyo wanavyopaswa kufanya basi inabidi tuwe na wasiwasi na utumishi wao. Kinachoonekana hapa kwa huu ukwepajikwepaji wa hoja kwa kutoa majibu ya jumla jumla (Esther Wassira referred to Cheap Answers) ni kushindwa kujibu hoja ambayo ipo very specific mana Lissu kataja majina. Suluhisho ni kuwavua vyeo hao majaji wasio na sifa na sio kuleta majibu ya kijinga kwa wananchi!!!Mimi ningependa hao watumishi wa serikali kuanzia naibu waziri wa katiba na sheria pamoja na waziri wake, katibu mkuu kiongozi, jaji kiongozi na jaji mkuu na hata raisi kikwete mwenyewe wajitokeze na utetezi wenye kueleweka.
Kwakuwa Lissu amewataja kwa majina majaji wasio na sifa ya kuwa majaji basi nao wawataje kwa majina na kuthibitisha kwamba wana sifa za kuwastahili kuwa majaji.
Kikwete anadai anapelekewa majina na kamati ya mahakama. Anachorekebisha yeye ni kuangalia usawa wa kijinsia( na wa KIDINI kwa siri sana). KATIBA yetu ya JMT kwa sasa inatutesa sana kwenye teuzi hizi za Rais.