Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awataka wanachama kutoshangilia kwa hofu ya mapingamizi, afikiria kuweka pingamizi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awataka wanachama kutoshangilia kwa hofu ya mapingamizi, afikiria kuweka pingamizi

Inaelekea figisu bado,kwahiyo lolote linaweza kuendelea hiyo kesho.
Kwani kulikuwa na figisu gani? CDM walishindwa kufuata maelekezo ya kuhakikiwa kwa wadhamin huko majimboni ndo maana kachelewa kupitishwa na Tume kwani ilibidi uhakiki wa Wadhamini ufanyike jana ofisi za Tume ya Uchaguzi. So hakuna figisu yoyote ila ujuaji au kutokujua taratibu inawaponza
 
This really is not a presidential material. Those statements are not only necessary but unhelpful since they depict an image of a shaky candidate who is looking for an event to make a breakthrough (yaani pa kutokea). Tundu did not have to open his mouth and spit stuff like that!! Was it really needed??

If you are in Tanzania you would have already noticed why he doesn’t want party members to celebrate at this stage. He has gone through many obstacles till now and he knows that there are still obstacle ahead and to overcome them he has to prepare himself and his supporters mentally, it is only through that strategy where he can win the nomination and finally be elected.
 
kATIKA WATU WALOPOKAJI HUYU JAMAA NI NAMBA 1, SIO BURE KATUMWA NA WAZUNGU AJE ALETE FUJO NCHI IINGIE KWENYE VURUGU WAJICHOTEE MALIASILI MDA HUO YE YUPO UBELGIJI HAPOKEI SIMU ZA WANACHADEMA WALALA HOI.
 
Unafikiri hata yakiwa ya haki atakuambia ni ya haki? Hawa jamaa wapo vizuri kwahadaa mashabiki wao, kila siku wao wapo sahihi kila wafanyalo serikali ndiyo huwaonea.

Mfano leo kuna sehemu walisema walikuwa hawajahakiki majimboni ndiyo maana wakasubirishwa? Hapana hakusema, ila alikuwa analijua hili.

Ila akakuambia anasubirishwa kwasababu wanataka kumkata! Hapo unatengenezwa ili utete usichokijua.

Hawa wanasiasa waache tu, wote sio CCM sio Chadema!

Hakuna cha kuwa mwana CCM, hata kesho tukimkabidhi Lissu nchi CHADEMA watakuwa na favour fulani tofauti na vyama vingine. This is natural..only what you can do is to reduce.
Hili la kuhakiki Majimboni intelijensia za Chadema zilibaini kuwepo kwa Mawakili bandia ambao wangeweza kutia Dosari katika hizo fomu hivyo kukosa sifa za kuteuliwa.Hivyo michezo yote ilikua inajulikana.
 
kATIKA WATU WALOPOKAJI HUYU JAMAA NI NAMBA 1, SIO BURE KATUMWA NA WAZUNGU AJE ALETE FUJO NCHI IINGIE KWENYE VURUGU WAJICHOTEE MALIASILI MDA HUO YE YUPO UBELGIJI HAPOKEI SIMU ZA WANACHADEMA WALALA HOI.

Ndiyo maana umeandika kwa herufi kubwa, na wewe unatumwa na nani hadi useme mwenzako ametumwa.
 
Back
Top Bottom