Unafikiri hata yakiwa ya haki atakuambia ni ya haki? Hawa jamaa wapo vizuri kwahadaa mashabiki wao, kila siku wao wapo sahihi kila wafanyalo serikali ndiyo huwaonea.
Mfano leo kuna sehemu walisema walikuwa hawajahakiki majimboni ndiyo maana wakasubirishwa? Hapana hakusema, ila alikuwa analijua hili.
Ila akakuambia anasubirishwa kwasababu wanataka kumkata! Hapo unatengenezwa ili utete usichokijua.
Hawa wanasiasa waache tu, wote sio CCM sio Chadema!
Hakuna cha kuwa mwana CCM, hata kesho tukimkabidhi Lissu nchi CHADEMA watakuwa na favour fulani tofauti na vyama vingine. This is natural..only what you can do is to reduce.