Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,729
- 2,851
Mkuu Trump anauchaguzi tarehe 3 November 2020 hivi nae anatumia government machinery kujinufaisha yeye binafsi na chama chake? Mkuu usidhani sisi wote ni utopolo Kama ninyi na Magu wenu,please
Kama hujui tulia ukalale, kwenye uchaguzi wa bushi kuna ma niger huko walitishwa walikuwa washabiki wa Republican kuwa watashughulikiwa ingawa vitisho havikuwa vikubwa, wewe unadhani huko ni mbinguni?