Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,894
- 76,810
Hata ingelikuwa mpinzani ndiye mwenye dola still tangelikuwa haya haya tu.Mpinzani kuwekewa pingamizi au kuenguliwa wala sio habari, bali mgombea wa ccm hasa rais, hiyo ni ajabu ya karne.
Uniteue kuwa judge kisha nije nikujudge vibaya, probability ni 0.0008