Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awataka wanachama kutoshangilia kwa hofu ya mapingamizi, afikiria kuweka pingamizi

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awataka wanachama kutoshangilia kwa hofu ya mapingamizi, afikiria kuweka pingamizi

Yaani Kila Ukimtafakari Lissu Hummalizi.

Toka Apitishwe Pale Njendengwa Nimekuwa Nikimfikiria Jinsi Tutakavyokabiliana Naye Kihoja.

Jamaa Ana Hulka Ya Kipekee Huyu.

All and All He Is Determinant,Perseverant,Charismatic,Mbishi,Mtata So Unapomuendea Kumbomoa KIHOJA ujipange Haswa Kwa Kuwa na Exquisite Points Above His.

Jamaa Mtata na Kichwa.

I Rest My Case
 
Wagombea Wa Chadema Waliokatwa Wanatafakarisha. 🤔🤔

Hebu Waza Kihivi;

Msafiri Nyatunyatu Airport. Anapanga Foleni Ya Kujiandaa Kuondoka,then ghafla anakumbuka PASSPORT aliiacha Chini Ya Mto🦀🦀

Hivi Kweli Dada Devotha Minja alisahau PICHA NDOGO?!!!Guys.

Aiseeeee Haya tu nyinyi TUCHEZEENI mchezo wa Kadenge.

CDM ?!!!!
 
Wako wanne, naona umemsahau mgombea mwingine. Huyo pia anaruhusiwa kuweka pingamizi
Wenye haki ya kuweka pingamizi ngazi ya Urais na Makamu ni hawa wadau watatu yaani Mkurugenzi wa Uchaguzi, Msajili wa Vyama Vya Siasa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
 
Kwanza inaonyesha wagombea wote wana imani kubwa na wananchi.
Inaonyesha wagombea wa Chadema kuteuliwa ma tume ilikuwa mtihani mkubwa kuliko kufanya kampeni. Angalia kwa mifano hii ya wachache waliyosema.

1. Tundu Lissu
"Msishangilie kwanza maana mida bado, subirini mpaka yapite masaa 24. Kuna mapingamizi yatafuata"

2. Ester Bulaya
"Mungu ni mwema, hatimaye jina langu limebandikwa"

3. Upendo Peneza
" Mungu ni mwema, hatimaye nimeteuliwa kuwania ubunge Geita mjini"

Kila mgombea wa Chadema aliyepitishwa na tume kwake imekuwa ushindi mkubwa kuliko kwenda kuomba kura. Pia hakuna popote pale niliposikia au kuona mgombea wa CCM akimtukuza Mungu baada ya kupitishwa na tume.

Badala yake walifanya sherehe baada ya kupitishwa na chama Chao cha CCM.

Kiukweli uongozi wa awamu hii umevuruga kabisa ustawi wa kiuongozi ndani ya nchi. Tunaona kila mwana CCM sasa anageuka mungu hadi kuwaamuru Polisi wafanye nini.

Hii kumbukumbu mbaya na ya aina yake itaandikwa katika historia.

Screenshot_20200826-073736_Twitter.jpg


Angalia katuni kwa hisani ya Masoud Kipanya.
20200826_073713.jpg
 
Ni kawaida yao kusema hivyo na ule uzushi wa kutekwa tekwa
Screenshot_20200826-011429.png

IMG_20200826_011415.jpg
IMG_20200826_011410.jpg
 
Na tutahakikisha CCM hairudi madarakani kwa nguvu ya umma.
 


===========​


Tundu Lissu amewataka wanachama wasishangilie sana kwani wanatarajia mapingamizi hivyo wasubiri kesho mpaka saa kumi kuona hali itavyokuwa.

Tundu Lissu: Sio wao peke yako wanaojua kuandika mapingamizi na sisi tunajua hivyo usiku huu nitaangalia kitu gani tunacho ambacho tunaweza tukafanya ambacho sheria za uchaguzi zinaturuhusu, na sisi tunaweza tukaweka mapingamizi.

Kama kuna mtu anafikiria sisi tutakuwa wajibu mashtaka tu, wafikirie mara mbili. Mwisho nawaombeni, kesho ni siku muhimu kuliko leo. Kwa sisi tusiokuwa na serikali, mapolisi, tusiokuwa na watu wa kutulinda, tunahitaji nguvu ya umma, tunahitaji wingi wenu.

Nawaombeni sana mhamasishane mji huu na miji ya jirani na yeyote anayeweza kuwa Dodoma awe Dodoma ili kesho tuwe wengi zaidi tuone mpaka kufikia saa kumi jioni itakuwaje.
Huyu jamaa ni tatizo, siyo muungwana kabisa. Anahamsisha vurugu
 
kwamba kukiwa na pingamizi waandamane ,chadema buana tafuteni ugali kwanza
 
Lissu jua kua upande wa pili ni mabingwa sana wafitina za kisiasa. Kua makini.
 
Hata ingelikuwa mpinzani ndiye mwenye dola still tangelikuwa haya haya tu.

Uniteue kuwa judge kisha nije nikujudge vibaya, probability ni 0.0008
Mkuu Trump anauchaguzi tarehe 3 November 2020 hivi nae anatumia government machinery kujinufaisha yeye binafsi na chama chake? Mkuu usidhani sisi wote ni utopolo Kama ninyi na Magu wenu,please
 
Huyo
Tuna viongozi wengi waliogombea wamenyimwa fomu za uteuzi kwa hila za ccm. Please @tundulisu hili ni suala la kuanza nalo haraka iwezekanavyo nchi nzima!!
Huyo ana mawazo mengi sana kwa sasa maana hajui nini kinamtokea,
Kwani kibatara hayupo ashughulikie hayo?
Mpeni hiyo pesa ya Amsterdam nae azile.
 
Back
Top Bottom