Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awataka wanachama kutoshangilia kwa hofu ya mapingamizi, afikiria kuweka pingamizi

Inaelekea figisu bado,kwahiyo lolote linaweza kuendelea hiyo kesho.
Kwani kulikuwa na figisu gani? CDM walishindwa kufuata maelekezo ya kuhakikiwa kwa wadhamin huko majimboni ndo maana kachelewa kupitishwa na Tume kwani ilibidi uhakiki wa Wadhamini ufanyike jana ofisi za Tume ya Uchaguzi. So hakuna figisu yoyote ila ujuaji au kutokujua taratibu inawaponza
 

If you are in Tanzania you would have already noticed why he doesn’t want party members to celebrate at this stage. He has gone through many obstacles till now and he knows that there are still obstacle ahead and to overcome them he has to prepare himself and his supporters mentally, it is only through that strategy where he can win the nomination and finally be elected.
 
kATIKA WATU WALOPOKAJI HUYU JAMAA NI NAMBA 1, SIO BURE KATUMWA NA WAZUNGU AJE ALETE FUJO NCHI IINGIE KWENYE VURUGU WAJICHOTEE MALIASILI MDA HUO YE YUPO UBELGIJI HAPOKEI SIMU ZA WANACHADEMA WALALA HOI.
 
Hili la kuhakiki Majimboni intelijensia za Chadema zilibaini kuwepo kwa Mawakili bandia ambao wangeweza kutia Dosari katika hizo fomu hivyo kukosa sifa za kuteuliwa.Hivyo michezo yote ilikua inajulikana.
 
kATIKA WATU WALOPOKAJI HUYU JAMAA NI NAMBA 1, SIO BURE KATUMWA NA WAZUNGU AJE ALETE FUJO NCHI IINGIE KWENYE VURUGU WAJICHOTEE MALIASILI MDA HUO YE YUPO UBELGIJI HAPOKEI SIMU ZA WANACHADEMA WALALA HOI.

Ndiyo maana umeandika kwa herufi kubwa, na wewe unatumwa na nani hadi useme mwenzako ametumwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…