Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania gani hao - ngoja kwanza lifike afu tulikaguwe iwapo linafaa kwa matumizi ya binadamu - lisipofaa lizeekee bandariniIngizeni hata milioni 10 lakini watanzania tunalipenda hilo 1 la chadema
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Mradi ni Watanzania wenzetu. Na halikununuliwa kwa hela za kodi.Hii itatumika jimboni kwake kubeba abiria..!!
Unadhani mtanzani ni wewe pekeyako huko ugogoni?Watanzania gani hao - ngoja kwanza lifike afu tulikaguwe iwapo linafaa kwa matumizi ya binadamu - lisipofaa lizeekee bandarini
Afe nani kwa matoi hayo - CCM iko level nyingine - acha LIssu aendelee kula mikataba ya kuuza nchi
itapangiwa import duty 120%...Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
Nayo ni level pia - umia polepole lkn dawa inaingia - CCM ya JPM si ile uliyozoea - Tanzania ya viwandaLevel ya panya kula hela za miradi ya chama.
Lissu na kundi lake - dunia nzima si uchina tu - bahati nzuri trump kamfukuzia mbaliKwani Nani Kauza Nchi Kwa Wachina??
Maskini akipata ni tabu sana - ukitaka kujua tabia za maskini mpe fedha - CCM vitu walishavizoea kitambo sana
Ni kweli hii inakula kwa Standard za PhD, 2.5 T ziko tumboni.Nayo ni level pia - umia polepole lkn dawa inaingia - CCM ya JPM si ile uliyozoea - Tanzania ya viwanda
Mbowe atalitaifisha. Subiri tu.
mtaingiza za kununua wabunge labda.CCM wakiamua wanaingiza hata 10,000 -
Tengeneza na wewe Photoshop ya Lumumba utuwekee hapaUtafanya BAWACHA muwe mnadharaulika...huoni kua hiyo picha ni Photoshoot??
Au ndo unajitekenya afu unacheka mwenyewe??
HongereniKwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
Wanachadema mnanikosha sana na mambo yenu pamoja na kunyanyaswa na serikali lakini mnaenda slowly but sure. Naombeni kujiunga na chama chenu jamani 2020 kura yangu na mkewangu nawapa chadema.
Sent using Jamii Forums mobile app