Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Mimi nilikuwa mwana CCM kama wewe hatujawahi kushinda uchaguzi.toa uwongo wako hapaWape uwezavyo kwa hesabu za haraka CCM mpaka sasa tumeshashinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi nilikuwa mwana CCM kama wewe hatujawahi kushinda uchaguzi.toa uwongo wako hapaWape uwezavyo kwa hesabu za haraka CCM mpaka sasa tumeshashinda
Kwahiyo hao waliompa basi atawalipa nini..?
Kwa nini asumbukie ujinga - huo tunawaachia kundi upinzani sisi:-
Ila watu hawawapendi mnazimisha kupendwa, watu wanaipenda sana CDM wana mvuto hatari,Maskini akipata ni tabu sana - ukitaka kujua tabia za maskini mpe fedha - CCM vitu walishavizoea kitambo sana
We mwehu mm sio mlamba makalio ila nakuambieni ukweli kua izo porojo za kuphotoshoot ni utoto wa hali ya juu....ndo tatizo la kutumia simu ukubwani!
Ghost projects. ni suala la muda kabla hamjaanza kuumbuka zaidi ya hapa.Kwa nini asumbukie ujinga - huo tunawaachia kundi upinzani sisi:-
= Tunanunua ndege ili msafiri kuosha picha,
= Tunajenga reli ili msafirishe mipicha,
= Tunaleta umeme wa REA ili simu zenu zisiishiwe chaji;
= Tumejenga mkongo wa taifa ili muendelee kupata mtandao wa kasi,
CCM 4C
Tatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Ila watu hawawapendi mnazimisha kupendwa, watu wanaipenda sana CDM wana mvuto hatari,
Yote hayo lakini Bado hamjiamini.Kwa nini asumbukie ujinga - huo tunawaachia kundi upinzani sisi:-
= Tunanunua ndege ili msafiri kuosha picha,
= Tunajenga reli ili msafirishe mipicha,
= Tunaleta umeme wa REA ili simu zenu zisiishiwe chaji;
= Tumejenga mkongo wa taifa ili muendelee kupata mtandao wa kasi,
CCM 4C
Yote hayo lakini Bado hamjiamini.Kwa nini asumbukie ujinga - huo tunawaachia kundi upinzani sisi:-
= Tunanunua ndege ili msafiri kuosha picha,
= Tunajenga reli ili msafirishe mipicha,
= Tunaleta umeme wa REA ili simu zenu zisiishiwe chaji;
= Tumejenga mkongo wa taifa ili muendelee kupata mtandao wa kasi,
CCM 4C
Kwahiyo Photoshop inakuumiza?We mwehu mm sio mlamba makalio ila nakuambieni ukweli kua izo porojo za kuphotoshoot ni utoto wa hali ya juu....ndo tatizo la kutumia simu ukubwani!
Huo ndiyo uzareeendo
In God we trust
Yote hayo lakini Bado hamjiamini.