Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
Naona uko kwenye period.Tatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona uko kwenye period.Tatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Mkuu hawa wachawi hawashindwi kufanya lolote ilimradi tu jiwe kasemawalifanyie figisu kwa kosa gani kwani Hakuna kanuni ya unifomiti kukokotoa kodi au likiwa la upinzani inakuwa kosa
Asavali hakutumiwa pesa za matibabu na ufisi ya Bunge, ambazo ni fedha za serikali, maana hawachelewi kusema ndizo zimenunulia hilo basi.Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
Asavali hakutumiwa pesa za matibabu na ufisi ya Bunge, ambazo ni fedha za serikali, maana hawachelewi kusema ndizo zimenunulia hilo basi.
Sijui kama walionunua hilo basi, waliwauliza Chadema serious na critical demands zao ni nini, wakaambiwa ni basi, then wakapewa basi, au watoa zawadi walijiamulia tuu kujitolea zawadi, wakachagua kujitolea basi.
Kuelekea 2020, Chadema inahitaji sana misaada ya hali na mali ili iweze.
P
Traffic police watalipiga Notification kila likionekana barabarani, wasivyo na aibuKwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
CHADEMA acheni kutuumizaKwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
CHADEMA ache kutuumiza mulianza na magwanda tumetengeneza ya kijani na meusi, baadaye mkaanza na helkopta hatukuwa nyuma tukapambana leo hii ni miaka helkopta yetu ilimuua mtu muhimu sana!Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
Umeona wapi mbwembwe, wivu tu?Tatizo ni nini sasa, hata JKT Oljoro wana basi pia. Bwembwe nyingine zinaonyesha level ya ujinga.
Labda kwa hela za vitambulisho, visivyotambulishaCCM wakiamua wanaingiza hata 10,000 -
Kuona ni kuamini, basi ndio hilo tumeliona, hakuhitaji kuhoji hiyo habari.Una uhakika Paskali na hii habari? Ww ni verified Ni bora ujiridhishe. Na hata kama ni kweli, basi alilopewa Lissu kwa aina ya siasa za Magufuli litaruhusiwa kuingia hapa nchini?
LHD kwa matumizi ya TZ?Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
mbona halina mlango upande wa kushoto?Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864
In God we trust
Kuona ni kuamini, basi ndio hilo tumeliona, hakuhitaji kuhoji hiyo habari.
Sio rais Magufuli ndiye anayeruhusu mabasi yaingie au yasiingie, kama basi limekidhi viwango, litaruhusiwa kuingia, ali mradi litalipiwa kodi husika.
P.