Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Hilo tu ndilo ulilokariri kutoka shule ya kata.
Ipi fake?View attachment 1044139
tapatalk_1552395019100.jpeg
20190312_185736.jpeg


The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Kama wamenunua hilo bus tayari walishakuwa na mawazo kama yako hivyo ujue kila kitu kipo makini mkuu ondoa shaka
Dah...lakini gharama atazilipaje????
Watanzania si wajinga[emoji41]

Sent using Beretta ARX 160

In God we trust
 
Walisema wananyosha nchi! Mbona mimi Naona kila kitu kina zaidi kujikunja, mifumo , Taasisi na watu wenyewe sio kupinda tu! Wamejikunja ........
pasi haijapata moto, tunasubiri umeme wa s.gorge
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom