Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Ada za watoto wameshamchangia? Maana sio kujishaua huku watoto wafukuzwe shule.
 
Umetumwa kuujambia Uzi wetu eeh
Hapo juu mngeandika kwa BAVICHA TU.Kwakua hamjawa specific basi hatuna budi kuwapa elimu.Kuna application inaitwa Adobe Photoshop, hii inaweza kukuedit wewe uko na trump mnapiga story, ni wataalam wa picha tu na wajanja wa hivi vitu wanaweza gundua picha sio HALISI. Jitahidi uzoom kwa makini hiyo picha uone then nakutumia na picha HALISI na link huyo jamaa alikoitoa.

Scania Touring de Vip Bus - a photo on Flickriver

20190312_220417.jpeg
tapatalk_1552395006163.jpeg
tapatalk_1552395019100.jpeg


The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Hii ni propaganda mbaya kutoka Lumumba..Apa unaweza kuona ni jinsi gani bado jamii ipo kwenye Ujima
 
Hii ni propaganda mbaya kutoka Lumumba..Apa unaweza kuona ni jinsi gani bado jamii ipo kwenye Ujima
Dah mleta mada anaitwa Mmawia, Leo amegeuka kuwa Lumumba?,huoni alivyojitutumua kutetea Basi lake alilomnunulia Lissu kutoka Google images akampigia na chata za Chadema kabisa?,kubali tu mwenzenu katafuta Kiki kwaajili ya Lissu ikabuma, ikashtukiwa.
 
Dah mleta mada anaitwa Mmawia, Leo amegeuka kuwa Lumumba?,huoni alivyojitutumua kutetea Basi lake alilomnunulia Lissu kutoka Google images akampigia na chata za Chadema kabisa?,kubali tu mwenzenu katafuta Kiki kwaajili ya Lissu ikabuma, ikashtukiwa.
Basi la Lissu limekuuma sana sio kama vipi kua first lady wa Lissu ukae kiti cha mbele
 
Basi la Lissu limekuuma sana sio kama vipi kua first lady wa Lissu ukae kiti cha mbele
Hahaha... Liniume basi la kuchora?,ni Sawa na kumuonea wivu mtu anayekula ugali kwa picha ya samaki.. Siku nyingine msiingie kichwa kichwa mfanye tafiti, mnalishana Sana matangopori humu na mkashangilia Kama mazuzu.
 
Likiingia bandarini litadaiwa kodi ya kwanzia 1992 kipindi ambacho vyama vingi vimeanzishwa ata kama manufactor date ni 2018

Cyprian musiba yupo busy kuaandaa propanganda za kulibambikia kodi kubwa ya kuwakomoa mpaka washindwe kulikomboa bandarini lije kupigwa mnada na CCM watalinunua na kulibadili rangi
 
Kwamba hakuna hata bavicha mmoja humu aliye na elimu ya Photoshop zaidi ya huyo mtoa mada?Kwamba hakuna hata bavicha mmoja humu mwenye viakili kidogo kuhoji source ya hiyo habari?mkiitwa nyumb ******* wanakosea?View attachment 1044319View attachment 1044320View attachment 1044321

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
Nyumbu ni CCM hata mbugani hao nyumbu ni wengi wewe mwenyewe ni mbumbumbu zuzu juha kilaza mkubwa hujitambui huna Akili hata chembe mifano yako ni ya kizezeta peleka kwa majuha wenzako.
 
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust
Achaneni na basi, huo ni mwanzo zinaandaliwa helikopters na ndege Lissu si mchezo. Mtamtambua
 
Asante sana mkuu kwa kutisaidia kulielewesha hilo shipa
Nyumbu ni CCM hata mbugani hao nyumbu ni wengi wewe mwenyewe ni mbumbumbu zuzu juha kilaza mkubwa hujitambui huna Akili hata chembe mifano yako ni ya kizezeta peleka kwa majuha wenzako.

In God we trust
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom