Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Lakini waliotekwa na kuteswa zaidi ni way chama kipi? Anzia hapo utapata jibu swafii.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shida sio nani katekwa bali nani mtakaji. Na kwa nini ateke. Na kwa nini aue watu wa tabaka fulani mfano mmoja tu nadhani unakumbuka idadi na aina ya watu waliouliwa Mkuranga, Rufiji na Kibiti. Ikiwa ni pamoja na askari na Viongozi wa Serikali za Vijiji na Vitongoji. Fikiria hapo kwanza. Kisha nitakupa mifano mingine zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kitu kama hicho watu tunatishana tu. Mara nyingi adui wa mtu huwa ni wale wa nyumbani mwake. Watu waliopigwa risasi Tanzania ni wa vyama vyote tena nadhani kuna hujuma fulani ilikuwa inaendelea chini kwa chini lakini kwa sasa imedhibitiwa na vyombo vya ulinzi na usalama. Na watanzania wengi hawajafundishwa kujilinda. Mfano mtu anakuja kunichukua au kunikamata akiwa amevaa kiraia halafu simwombi hata kitambulisho sio sawa. Hata kama amekuja na gari lenye namba za Serikali sikubali maana wahuni wanaghushi namba za magari pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndipo penyewe, waliopigwa risasi ni wengi walio na vyama na wasio na vyama,lakini kwa wanachama wa CCM na kwa wale wasio na vyama angalau tumesikia watuhumiwa waliohusika wameuawa au wamekamatwa, lakini kwa tukio la Lissu hata mtuhumiwa wa kusingiziwa hajakamatwa.
 
Mkuu walio mpiga Lissu risasi ni watu wale wanaotoka kwenye nchi ya watu wasiyojulikana
Hapo ndipo penyewe, waliopigwa risasi ni wengi walio na vyama na wasio na vyama,lakini kwa wanachama wa CCM na kwa wale wasio na vyama angalau tumesikia watuhumiwa waliohusika wameuawa au wamekamatwa, lakini kwa tukio la Lissu hata mtuhumiwa wa kusingiziwa hajakamatwa.

In God we trust
 
Mbona suara la Lissu hukuliweka hapo
Shida sio nani katekwa bali nani mtakaji. Na kwa nini ateke. Na kwa nini aue watu wa tabaka fulani mfano mmoja tu nadhani unakumbuka idadi na aina ya watu waliouliwa Mkuranga, Rufiji na Kibiti. Ikiwa ni pamoja na askari na Viongozi wa Serikali za Vijiji na Vitongoji. Fikiria hapo kwanza. Kisha nitakupa mifano mingine zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app

In God we trust
 
Nimekuelewa unasemaje kuhusu
(i). Katiba ya chama kama cha CHADEMA - Mwenyekiti ana uhalali wa kuwa kwenye madaraka hayo kwa karibia miongo mitatu?
(ii). Katiba ya chama kama cha NCCR Mageuzi - Mwenyekiti ana uhalali wa kuwa kwenye madaraka hayo kwa karibia miongo mitatu?
(iii). Chama cha TLP - Mwenyekiti ana uhalali wa kuwa kwenye madaraka hayo kwa karibia miongo mitatu?
(iv). Chama cha CUF - Mwenyekiti ana uhalali wa kuwa kwenye madaraka hayo kwa takriban miongo mitatu?

In short kama taasisi za vyama zinaendeshwa kidikiteta hatuwezi kutegemea taasisi hizo zitoe viongozi kama rais wenye uwezo wa kusimamia katiba?

TAASISI ZA VYAMA ZIBADILIKE KWANZA
Ni kweli kabisa ndio maana siku zote simkubali kabisa Mbowe na Genge lake.
Wameharibu sana harakati za kudai Demokrasia Tanzania na Afrika kwa ujumla.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust
sijui itakuja kwa njia gani nawaza tu hapo bandarini
 
inawezekana kabisa pesa alizokua anachangiwa kwa ajili ya kujikimu ndo kanunua hilo bus ili kuvuta attention ya wanachadema wampitishe kugombea urais, huko sisi hatuiingilii nyie chadema paruaneni makucha na bus lenu mwisho wa siku mpitisheni mwingine kugombea urais mbali na lisu...hapo ndo mtashuhudia mpasuko wa chama chenu, lisu atakasirika na kujiunga na chama dume afrika-ccm
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom