Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Tetesi: Tundu Lissu azawadiwa gari(Bus)

Status
Not open for further replies.
Teeeeeeeh Teeeeeeeeeh Teeeeeeeeh Teeeeeeeh
Dadadeeki hadi utapata ugonjwa wa moyo kisa CHAMA DUME....CHADEMA...

In God we trust

PHOTOSHOP......... !!!!!!!

Screenshot_20190312-230438.png
 
Ndio haya nayasema
Halafu sio kila mmoja humu ni politician
Wao kila anaetoa rai ni mgomvi wao.

Siasa mbaya sana kwa kweli halafu kama hulipwi ndio mbaya zaidi maana unakuwa mkali zaidi hahahaha

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Mkuu jamaa hawana akili, mwenzao leo katoa video anaomba msaada achangiwe baada ya kusitishiwa mshahara, huyu kakomaa na basi kutoka Google images, simple LOGIC waliomchangia kununua basi Kama kweli si waendelee kumchangia kuishi na matibabu?
 
Mtu daima upimwa kwa kauri zake na kwa michango yako humu kwenye uzi unajionyesha kuwa uwezo wako wa akili ni duni sana
Pole kwa yaliyo kukuta naona ni frustration za maisha
We kweli punguwani utasubiri sana hilo bus kuliona,yani hapo sawa na kujichoma kidole kisha na kujinusa mwenyewe.

In God we trust
 
Sisi tupo tunamchangia sana mh Lissu sijui nyinyi ma green mamba mnawashwa na nini?
Mkuu jamaa hawana akili, mwenzao leo katoa video anaomba msaada achangiwe baada ya kusitishiwa mshahara, huyu kakomaa na basi kutoka Google images, simple LOGIC waliomchangia kununua basi Kama kweli si waendelee kumchangia kuishi na matibabu?

In God we trust
 
Sisi tupo tunamchangia sana mh Lissu sijui nyinyi ma green mamba mnawashwa na nini?

In God we trust
Sasa mimi nawewe nani mwenye akili nusu,hapo ata ukiulizwa thibitisha ununuzi wa hilo basi au kielelezo (source ya infomation) huwezi kujibu chochote unakaa kwa shemeji yako kuazima laptop yake nakudownload picha ya bus scania touring na ku edit kuweka maneno ya chadema kama vile kweli chadema wamepewa bus kumbe yote hayo ni lofa mmoja kukosa kazi yakufanya,nyie ndio mnaoishushia heshima JF. Unashindwa kutofautisha JF na FB .kuweka habari ya uwongo unafaidika nanini kama sio upunguwani huo. Shame on you.
 
Kwa wapenzi wa demokrasia popote walipo ulimwenguni lazima tumpongeze mh Lissu kwa kukubalika kwake duniani kote.
Mh amekabidhiwa basi jipya kabisa ili litumike kukiimarisha chama chetu pendwa cdm na watanzania wanao ishi ubelgiji hongereni sana ndugu zetu.View attachment 1043864

In God we trust
Hii habari imeleta tabu kubwa sana ! wanaweweseka balaa !
 
Kuna watu wamepewa special asigment tangu hiyo habari ilipo toka hawatoku jk kuhakikisha wana kanusha
Hii habari imeleta tabu kubwa sana ! wanaweweseka balaa !

In God we trust
 
Wewe kweli ni uporo maana kila jina lina maana yake
Sasa mimi nawewe nani mwenye akili nusu,hapo ata ukiulizwa thibitisha ununuzi wa hilo basi au kielelezo (source ya infomation) huwezi kujibu chochote unakaa kwa shemeji yako kuazima laptop yake nakudownload picha ya bus scania touring na ku edit kuweka maneno ya chadema kama vile kweli chadema wamepewa bus kumbe yote hayo ni lofa mmoja kukosa kazi yakufanya,nyie ndio mnaoishushia heshima JF. Unashindwa kutofautisha JF na FB .kuweka habari ya uwongo unafaidika nanini kama sio upunguwani huo. Shame on you.

In God we trust
 
Watoto wa kupatikana kwenye mbio za mwenge ndiyo kama wewe yaani huna faida kabisa
We kweli punguwani utasubiri sana hilo bus kuliona,yani hapo sawa na kujichoma kidole kisha na kujinusa mwenyewe.

In God we trust
 
Kama haya ya photoshop ni kweli, yanafanywa kwa faida ipi hasa?
Mkuu ni kweli, nimekuwekea hadi link ya website walipotoa hiyo picha na imekuwa uploaded mtandaoni April last year, huwa ni kawaida siku hizi wakiona Lissu hasikiki wanakuja na uongo, hukumbuki wakisema Lissu atakutana na Trump na Papa?,wamedanganya eti atahutubia bunge la Marekani yote ni uongo tu.Sielewi wanapata faida gani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom