Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida anazungumza kama yeye hajawahi kuwa sehemu ya uongozi wala kushiriki baadhi ya maamuzi. Ukiwa mgeni unaweza hisi ni mwanachama tu wa kawaida...analalamikia nn mkuu?😂😂 Huyo ni mzee wa fact
Unatakiwa useme nimemshambulia vipi achana na sweeping statements.Wewe na maccm wenzako ndiyo watu wa hovyo unafikiri kumshambulia Lissu ndiyo mnamsaidia Sultan Mbowe kushinda ?
Mtu ambaye hadi kapigwa risasi,lakini kakomaa kupambana na anachoamini,aache chama kirahisirahisi,umeona wapi?Shida anazungumza kama yeye hajawahi kuwa sehemu ya uongozi wala kushiriki baadhi ya maamuzi. Ukiwa mgeni unaweza hisi ni mwanachama tu wa kawaida.
Hawa watu wajifunze kuachia madaraka wanapoona mambo mengi wasiyokubaliana nayo yanafanywa na viongozi wengine.
Hizi tamaa za kung’ang’ania ndicho kinamgharimu lissu.
Mfano wa kupinga maridhiano. Angeweza kukaa pembeni asiwe sehemu ya uongozi na mengine mengi tu.
Leo asingekuwa analalamika tu wajumbe wangesimama na yeye.
Kosa lake nini?Lissu asijisahau sana,
Achunge Sana mdomo wake,
Maza hakurupuki kama jiwe,
Ni mtata asiyetabirika kuliko jiwe
Ngebe zake za kiipindi kile akizileta awamu Hii, tutamsahau mapema Sana.
Sio kupewa sema kushinda sio rahisi. Kura zinapigwa.TAL kupewa chadema ni ndoto!
Wekeni kumbu kumbu SAWA Leo ni tarehe 1.1.2025
Kapigwa na wadhalimu na hawataacha kumshughulikia.Mtu ambaye hadi kapigwa risasi,lakini kakomaa kupambana na anachoamini,aache chama kirahisirahisi,umeona wapi?
Jenga hojaLisu wawa zungu je yupi Mzalendo apo uyu katafuta bwana TZ Lisu katafuta Bwana mzungu baada ya kupata mazungu na pesa zipo sasa ulimbukeni wake anaanza kuwaponda mabwana wa tz kuwa awana pesa kama Abdur. Familia yake inaishi marekani kwa hisan y mzungu maisha swafi akipewa mipesa ya kutosha ili awe msaliti kwenye nchi yake uyu njaaa zaid afai,
Ungemsikiliza na kumuelewa usingeleta hii hoja yako. Yeye amesema ubunge wa viti maalumu ulilenga kuwapatia uzoefu wakina mama ili wawezi kwenda kugombea majimboni na kipindi kimoja cha miaka mitano kinatosha kabisa kumjengea mwanamke uwezo huo na akatoa mfano wa kina Halima Mdee ambaye alikuwa mbunge wa viti maalumu kwa kipindi kimoja tu baada ya hapo akaenda jimboni na kushinda tofauti na wengine waliofanywa wabunge wa viti maalumu wa kudumu hivyo kuwanyima wengine fursa hiyo.Unatakiwa useme nimemshambulia vipi achana na sweeping statements.
Nilichoandika uwezi kuacha ‘zimwi unalilojua’ na kwenda kubahatisha. Huo ndio uhalisia wa siasa, it takes time kuwaanda watu kushika nafasi.
Mnaongea sana kabla ya uchaguzi ili kujijengea mazingira. Mbowe sio mjinga kukaa kimya. Yule ni Mwamba wa Siasa za Chadema. Utaona mwenyewe.Lissu Hana Cha kupoteza mkuu, hajawahi kuwa mwenyekiti, mbowe ndo atajuta
Hahaha acha vichekesho.....ugombea wa viti maalum wa kuvuana nguo zile za ndani.CDM viti maalum wake inateua, wakati CCM ni nafasi za kugombea
Mwamba anayekula ccm na kulala chadema😅Mnaongea sana kabla ya uchaguzi ili kujijengea mazingira. Mbowe sio mjinga kukaa kimya. Yule ni Mwamba wa Siasa za Chadema. Utaona mwenyewe.
Yupi bora anayekula CCM na kulala Chadema au anayekula Ubeleji na kutaka kulala Chadema? Ahahahahaha!!!Mwamba anayekula ccm na kulala chadema😅
Kama ni muhimu,ahamie CCMCHADEMA bila lissu ni TLP iliyochangamka.
Tanzania bila lissu hakuna mabadiliko.
Wajumbe wao ni wasafi 🤣Uongozi ni falsafa.
Falsafa za lisu zinajulikana hata kwa wasio fatilia siasa
1.Kupinga rushwa
2.Kupinga ufisadi
3.Kupinga uongozi usiofata katiba na sharia
Sasa wajumbe kazi kwenu
Mzee vipi? Lisu alikuchukulia mchepuko wako?Yaani wewe unaweza ignore veteran politician, kwa kuweka njuka bungeni.
Akili zake zinamtosha mwenyewe.
Mwanasiasa ajajingea ufuasi kwenye jamii umuweke bungeni, utoe mwenye influence kwenye jamii. Kisa katiba ya chama.
Akili zake zinamstosha mwenyewe, Lissu ni mwanaharakati sio mwanasiasa.