Labda kama unataka mtu wa kutengeneza Nuclear Reactor, then Lissu siyo chaguo sahihi. Ila vision ya utengenezaji wa hiyo reactor, anaweza kuisimamia.
Mpaka unaondoka hapa duniani, hautafikisha hata robo ya kipawa cha uongozi alicho nacho Lissu.
Lissu anaweza akisimamia nafasi yeyote si tu hapa TZ bali duniani kote, zingine ni porojo tu.
Mimi ni mwanachama hai wa CCM na ni Kiongozi pia. Ila, siwezi kubeza uwezo wa kiuongozi na kimaarifa wa Tundu Lissu.Ni mwanasiasa mtimilifu tuliye naye kwa wakati huu.