Tundu Lissu azungumza na Wananchi na Wanachama wa CHADEMA - Januari 01, 2025

Tundu Lissu azungumza na Wananchi na Wanachama wa CHADEMA - Januari 01, 2025

Mbona pressure ipo juu Mkuu?Kila Press Conference analalamika tu.Leo kaja na masharti mengi ya namna anavyotaka Uchaguzi uwe.
Anataka viongozi wa dini wasimamie Uchaguzi kama observers eti ili haki itendeke.
Unawapa picha gani wajumbe wanaopiga kura kwamba huwaamini.Wanaopiga kura ndio waamuzi wa nani atakuwa Mwenyekiti kuwaamini na kufanya kampeni ili wakuchague ndio priority.Yeye ameanza kampeni mapema ili akienguliwa aseme kaonewa.Nafikiri ameona wazi hana nafasi ya kushinda. Hiyo scenario ya kuanza kampeni mapema Slaa ameitumia juzi kama kisingizio.
Lisu ni mtu mwadilifu na mkweli, ndiyo maana anataka watazamaji huru. Mtu yeyote mwenye akili timamu na dhamira njema, ataunga mkono wazo hilo. Uchaguzi ukiwa huru na wa wazi, na ulioshuhudiwa na watu huru, hata mgombea akishindwa, hawezi kupata pakusimamia kwa sababu mambo yote yalikuwa wazi, na watu huru wameshuhudia.
 
Amesema WAJUMBE wakodishiwe mabasi na pia wasipewe hela Ila bills zao ziwe covered na kamati maalumu itakayochaguliwa.

Amewaza vizuri Sana Ila asiache Ku-spread positivity na awareness Kwa 'WAJUMBE'
 
Magufuli alitaka kuongezewa muda wapi, sana sana wapiga zumari wote wakutaka aongezewe muda hawakurudi bungeni.

Acheni hii tabia ya kujiongopea wenyewe na kuishi kwa kuamini uongo wenu.

Lini Magufuli kawai kusema alikuwa na mpango wa kuvunja katiba zaidi ya hadithi tu.

Usijiongopee
Watu wa chama chake ndo walitaka aongezewe muda.
 
Unataka uwenyekiti,unaanzisha vita na mwenyekiti aliyeko madarakani!
Na ushindi unautaka! Lissu alisomea wapi siasa?
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
bora iingie huko ili tupate Katiba mpya na utawala wa haki & demokrasia, hakuna nchi hata moja ambayo ina katiba nzuri ilyopatijana bila machafuko. kafara ni muhimu ili kupata kilicho kizuri na bora
Shida ni nani atangulie
 
Amesema WAJUMBE wakodishiwe mabasi na pia wasipewe hela Ila bills zao ziwe covered na kamati maalumu itakayochaguliwa.

Amewaza vizuri Sana Ila asiache Ku-spread positivity na awareness Kwa 'WAJUMBE'
Wakodishiwe mabasi na huku hataki kutoa mchango wake wa milioni 30.Je anataka kutoa masharti bila kufanya lolote? Wakodishiwe mabasi na nani?Hiyo kamati maalum inapata pesa kutoka wapi?Bills ziwe covered bila pesa?Anawaza ujinga bila kuwajibika.Anataka free lunch kila kitu aamrishe kifanyike bila kujua pesa zinatoka wapi?Talking is cheap.
 
Hivi ccm mnataka MBOWE aongoze chama kwa miaka 30? Nyie ndio wa kumtetea MBOWE kweli? Au ni kumuogopa lissu?
 
Nia na mawazo ya TAL ni kuivuruga chadema na sio uongozi kwa sababu anajua kura hatapata kura za kutosha .
Nia ya kuvuruga chadema,hatafanikiwa na aliyemshauri amempoteza kisiasa kabisa.
 
Wakodishiwe mabasi na huku hataki kutoa mchango wake wa milioni 30.Je anataka kutoa masharti bila kufanya lolote? Wakodishiwe mabasi na nani?Hiyo kamati maalum inapata pesa kutoka wapi?Bills ziwe covered bila pesa?Anawaza ujinga bila kuwajibika.Anataka free lunch kila kitu aamrishe kifanyike bila kujua pesa zinatoka wapi?Talking is cheap.
Ruzuku tangia 2020 mwezi 11 mpaka Leo imetumika kufanya Kazi gani ?
 
Labda kama unataka mtu wa kutengeneza Nuclear Reactor, then Lissu siyo chaguo sahihi. Ila vision ya utengenezaji wa hiyo reactor, anaweza kuisimamia.

Mpaka unaondoka hapa duniani, hautafikisha hata robo ya kipawa cha uongozi alicho nacho Lissu.

Lissu anaweza akisimamia nafasi yeyote si tu hapa TZ bali duniani kote, zingine ni porojo tu.

Mimi ni mwanachama hai wa CCM na ni Kiongozi pia. Ila, siwezi kubeza uwezo wa kiuongozi na kimaarifa wa Tundu Lissu.Ni mwanasiasa mtimilifu tuliye naye kwa wakati huu.
Tafsiri ya uwezo wa mtu inatokana na uelewa wa mtafsiri.

Kuwaambia watu hawana uelewa wa kiwango cha Lissu kwa sababu wewe unamkubali. Maana yake ushahitimisha hao unaowaambia hawakupati hata wewe.

Ambitious
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Tuseme ukweli FAL ana maslahi sana na CDM either kwa biashara yake au mambo mengine hivyo kuachilia CDM kirahisi sidhani kama ataweza.
 
Watu wa chama chake ndo walitaka aongezewe muda.
Hadithi za JF

Ni sawa na kuamini Lissu alisema, Mbowe kaingia makubaliano ya nusu mkate; vitu ambavyo hakusema kabisa kama ulisikiliza press yake.

Be careful na nadharia za JF, wengine ni wasukuma agenda.

Magufuli ajawahi kutaka kuongezewa muda.
 
  • Nzuri
Reactions: Tui
Shida anazungumza kama yeye hajawahi kuwa sehemu ya uongozi wala kushiriki baadhi ya maamuzi. Ukiwa mgeni unaweza hisi ni mwanachama tu wa kawaida.

Hawa watu wajifunze kuachia madaraka wanapoona mambo mengi wasiyokubaliana nayo yanafanywa na viongozi wengine.

Hizi tamaa za kung’ang’ania ndicho kinamgharimu lissu.

Mfano wa kupinga maridhiano. Angeweza kukaa pembeni asiwe sehemu ya uongozi na mengine mengi tu.

Leo asingekuwa analalamika tu wajumbe wangesimama na yeye.
Wee ni empty set kumɓe kwaio akae pèmbeni ili uovu uendelee badala ya kuchukua hatua kuingia madarakani kuondoa uovu huo pumbafuu
 
Ruzuku tangia 2020 mwezi 11 mpaka Leo imetumika kufanya Kazi gani ?
Ruzuku huwa zinatumika kuendesha Chama unafikiri zinangojea Uchaguzi wa Mwenyekiti?Chama kimenunua Jengo la Makao Makuu ya Chama Mikocheni.Na ruzuku pia huwa zinakaguliwa na CAG.Unafikiri unapewa tu na unatumia unavyotaka.Asilete tu masharti na malalamiko achangie na nyie changieni kama ni rahisi ili Mkutano ufanyike tarehe 21.
Ni mentality ya kitoto kusema kifanyike hiki na kile bila kujua pesa kama zipo.
 
Wakodishiwe mabasi na huku hataki kutoa mchango wake wa milioni 30.Je anataka kutoa masharti bila kufanya lolote? Wakodishiwe mabasi na nani?Hiyo kamati maalum inapata pesa kutoka wapi?Bills ziwe covered bila pesa?Anawaza ujinga bila kuwajibika.Anataka free lunch kila kitu aamrishe kifanyike bila kujua pesa zinatoka wapi?Talking is cheap.
Kwani Chama hakipokei ruzuku?
 
Back
Top Bottom