Tundu Lissu azungumza na Wananchi na Wanachama wa CHADEMA - Januari 01, 2025

Tundu Lissu azungumza na Wananchi na Wanachama wa CHADEMA - Januari 01, 2025

Unaandika kama ni Mbowe aliyetoa ukomo wa Uongozi Chadema.Kwa katiba iliyopo Mbowe ana haki ya kugombea mpaka itapowekewa ukomo.Kumnyima haki hiyo ni kuisigina katiba iliyopo.
Kuna uoga wa nini?Kwani Mbowe akigombea ndio Lisu hawezi kuwa Mwenyekiti?
Uamuzi wa kuondoa ukomo ulifanywa na Mbowe peke yake?
Mnatetea demokrasia huku mnasigina uwepo wake uamuzi uliofikiwa ndio utakuwa valid mpaka ubadilishwe kwenye vikao.
Kuachiwa mnayemtaka ndio demokrasia mnayoiamini na sio Uchaguzi.
You cannot eat your cake and have it too.

..tujadili hoja bila kuangalia nani ametoa hoja hiyo.

..kumetolewa pendekezo la kurudisha ukomo wa madaraka ktk Chadema.

..Je, pendekezo hilo ni lina manufaa, au lina madhara kwa chama?

..Waliokaa muda mrefu ktk uongozi ndani ya Chadema sio Mbowe peke yake. Kwa hiyo hoja hii isionekane imemlenga Mbowe.

..Tundu Lissu aliyeibua hoja ya ukomo wa madaraka naye ataguswa na sheria hiyo kwa hiyo ikiwa itapitishwa.

..
 
Ruzuku huwa zinatumika kuendesha Chama unafikiri zinangojea Uchaguzi wa Mwenyekiti?Chama kimenunua Jengo la Makao Makuu ya Chama Mikocheni.Na ruzuku pia huwa zinakaguliwa na CAG.Unafikiri unapewa tu na unatumia unavyotaka.Asilete tu masharti na malalamiko achangie na nyie changieni kama ni rahisi ili Mkutano ufanyike tarehe 21.
Ni mentality ya kitoto kusema kifanyike hiki na kile bila kujua pesa kama zipo.

..Na kama hufahamu Lissu ametetea manunuzi ya jengo la makao makuu ya Chadema.
 
..Na kama hufahamu Lissu ametetea manunuzi ya jengo la makao makuu ya Chadema.
Nilikua namjibu aliyekuwa anayepinga manunuzi ya Jengo.Na kwa sababu Lisu kaunga mkono huyo asiyefikiri kwa kichwa chake ataelewa sasa.
 
Nilikua namjibu aliyekuwa anayepinga manunuzi ya Jengo.Na kwa sababu Lisu kaunga mkono huyo asiyefikiri kwa kichwa chake ataelewa sasa.


..wanaweza kusema chama kilipaswa kujenga Dodoma kwa gharama nafuu.
 
  • Kicheko
Reactions: Tui
..wanaweza kusema chama kilipaswa kujenga Dodoma kwa gharama nafuu.
Kusema unaweza kusema lakini wenye kutoa maamuzi wakaamua usivyotaka wewe.Ni part ya free speech na demokrasia. Tatizo la wengi wanataka kutoa uamuzi bila kuwepo kwenye chombo kinachotoa uamuzi.
 
Back
Top Bottom