Precise Pangolin
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 13,010
- 6,678
Wewe Ngariba unaejiita Dr upo ? Lissu sio size yenu nyinyi mammalia wa CCM Huyo Jiwe wenu ameanza kutumia tools zake kama msajili wa vyama na Tume ya Uchaguzi na badoKwahiyo mkuu unadhani hatma yake baada ya uchaguzi ikoje?
Mkuu habari za Msamvu , naona Lissu kapiga kiberiti kichaka panya wote wamekurupuka ! na bado mtajitokeza sana wazee kuokoa jahazi
Mkuu tubet, ukimuona Mnyika kwenye kampeni za Lissu najiondoa JF. Nina uhakika na ninachokwambia. Kwani Musiba kasemaje?..
Lissu kamwaga petrol kwenye shimo nyoka wote wanatokaMkuu habari za Msamvu , naona Lissu kapiga kiberiti kichaka panya wote wamekurupuka ! na bado mtajitokeza sana wazee kuokoa jahazi
Endeleeni kuotaLissu haongei na Mnyika, na Mbowe yupo upande wa Mnyika. Katibu Mkuu wa CHADEMA hataonekana tena kampeni hizi. Baada ya uchaguzi huu Kati ya Mnyika au Lissu lazima mmojawapo aondoke CHADEMA. Wengi humu mmejaa ushabiki Ila huko jikoni hali sio shwari. Lissu kaja kuizika CHADEMA rasmi. Yeye anajipambania hawapiganii madiwani wala wabunge wake. Mdee na Lema hawajihusishi na kampeni za Lissu. Mwenye macho haambiwi tazama.
Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge unazidi kukaribia. Wapinzani wanaoonekana maeneo mengi ya kampeni ni Tundu Lissu na Prof. Ibrahim Lipumba.
Kumekuwa na mijadala katika maeneo mbalimbali nchini juu ya hatma ya wagombea hawa baada ya uchaguzi kuisha.
Kwa upande wa Lipumba, kwa vile amekuwa mgombea kwenye chaguzi za siku za nyuma, watu wengi wanategemea atarudi kukiongoza chama chake cha CUF kama alivyofanya baada ya chaguzi zilizopita.
Kwa vile Tundu Lissu anagombea kwa mara ya kwanza, watu wamekuwa na maoni mbalimbali juu ya kile wanachotarajia akifanye baada ya uchaguzi. Miongoni mwa yaliyojirudiarudia ni kama ifuatavyo;
1. Tundu Lissu atataka kuchukua nafasi ya Uenyekiti ndani ya Chadema. Hatua hii itaongeza msuguano uliopo kati yake na Mbowe. Kwa vile hakuna uchaguzi wa ndani wa Chadema hivi karibuni, uwezekano wa Tundu Lissu kufuata njia hii ni mdogo.
2. Tundu Lissu atarudi Ubelgiji kuungana na familia yake. Kwa vile Tundu Lissu ameomba kutambuliwa kama mkimbizi nchini Ubelgiji, upo uwezekano mkubwa kuwa atarudi kule mpaka maombi yake hayo kukamilika ili familia yake iendelee kutunzwa na serikali ya Ubelgiji.
3. Tundu Lissu ataungana na Zitto Kabwe kwenye ACT. Kutokana na msuguano unaoendelea kati yake na Mbowe, iwapo ataamua kubaki nchini, anaweza kujiunga na Zitto kwenye ACT.
4. Tundu Lissu ataanzisha chama chake. Baadhi ya watu wanadhani Tundu Lissu ataibuka na kusajili chama chake kipya. Uwezekano wa kuanzisha chama baada tu ya uchaguzi ni mdogo. Historia inaonyesha vyama vingi huanzishwa unapikaribia Uchaguzi Mkuu au baada ya mivutano kwenye chaguzi za ndani za vyama.
5. Tundu Lissu ataomba nafasi kwenye serikali ya Magufuli. Wapo pia wanaoamini kuwa Tundu Lissu atamkumbusha Magufuli juu ya ahadi ya kumpa kazi. Kwa vile Magufuli alitoa ahadi hiyo hadharani, itakuwa ni uungwana kuitekeleza. Hii pia itasaidia kumuwezesha Tundu Lissu kujikimu na kuirudisha familia yake nchini.
Kama mnavyoona, matarajio ni mengi, lakini cha muhimu zaidi tuendelee kumuomba Mungu atijalie uchaguzi wa amani na utulivu ili tuendelee kuijenga nchi yetu.
Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania...
Magufuli baada yakushindwa tuambie anaenda wapi shekh yahya naona umerudiUchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge unazidi kukaribia. Wapinzani wanaoonekana maeneo mengi ya kampeni ni Tundu Lissu na Prof. Ibrahim Lipumba.
Kumekuwa na mijadala katika maeneo mbalimbali nchini juu ya hatma ya wagombea hawa baada ya uchaguzi kuisha.
Kwa upande wa Lipumba, kwa vile amekuwa mgombea kwenye chaguzi za siku za nyuma, watu wengi wanategemea atarudi kukiongoza chama chake cha CUF kama alivyofanya baada ya chaguzi zilizopita.
Kwa vile Tundu Lissu anagombea kwa mara ya kwanza, watu wamekuwa na maoni mbalimbali juu ya kile wanachotarajia akifanye baada ya uchaguzi. Miongoni mwa yaliyojirudiarudia ni kama ifuatavyo;
1. Tundu Lissu atataka kuchukua nafasi ya Uenyekiti ndani ya Chadema. Hatua hii itaongeza msuguano uliopo kati yake na Mbowe. Kwa vile hakuna uchaguzi wa ndani wa Chadema hivi karibuni, uwezekano wa Tundu Lissu kufuata njia hii ni mdogo.
2. Tundu Lissu atarudi Ubelgiji kuungana na familia yake. Kwa vile Tundu Lissu ameomba kutambuliwa kama mkimbizi nchini Ubelgiji, upo uwezekano mkubwa kuwa atarudi kule mpaka maombi yake hayo kukamilika ili familia yake iendelee kutunzwa na serikali ya Ubelgiji.
3. Tundu Lissu ataungana na Zitto Kabwe kwenye ACT. Kutokana na msuguano unaoendelea kati yake na Mbowe, iwapo ataamua kubaki nchini, anaweza kujiunga na Zitto kwenye ACT.
4. Tundu Lissu ataanzisha chama chake. Baadhi ya watu wanadhani Tundu Lissu ataibuka na kusajili chama chake kipya. Uwezekano wa kuanzisha chama baada tu ya uchaguzi ni mdogo. Historia inaonyesha vyama vingi huanzishwa unapikaribia Uchaguzi Mkuu au baada ya mivutano kwenye chaguzi za ndani za vyama.
5. Tundu Lissu ataomba nafasi kwenye serikali ya Magufuli. Wapo pia wanaoamini kuwa Tundu Lissu atamkumbusha Magufuli juu ya ahadi ya kumpa kazi. Kwa vile Magufuli alitoa ahadi hiyo hadharani, itakuwa ni uungwana kuitekeleza. Hii pia itasaidia kumuwezesha Tundu Lissu kujikimu na kuirudisha familia yake nchini.
Kama mnavyoona, matarajio ni mengi, lakini cha muhimu zaidi tuendelee kumuomba Mungu atijalie uchaguzi wa amani na utulivu ili tuendelee kuijenga nchi yetu.
Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania...
Uchaguzi Mkuu wa Rais na Wabunge unazidi kukaribia. Wapinzani wanaoonekana maeneo mengi ya kampeni ni Tundu Lissu na Prof. Ibrahim Lipumba.
Kumekuwa na mijadala katika maeneo mbalimbali nchini juu ya hatma ya wagombea hawa baada ya uchaguzi kuisha.
Kwa upande wa Lipumba, kwa vile amekuwa mgombea kwenye chaguzi za siku za nyuma, watu wengi wanategemea atarudi kukiongoza chama chake cha CUF kama alivyofanya baada ya chaguzi zilizopita.
Kwa vile Tundu Lissu anagombea kwa mara ya kwanza, watu wamekuwa na maoni mbalimbali juu ya kile wanachotarajia akifanye baada ya uchaguzi. Miongoni mwa yaliyojirudiarudia ni kama ifuatavyo;
1. Tundu Lissu atataka kuchukua nafasi ya Uenyekiti ndani ya Chadema. Hatua hii itaongeza msuguano uliopo kati yake na Mbowe. Kwa vile hakuna uchaguzi wa ndani wa Chadema hivi karibuni, uwezekano wa Tundu Lissu kufuata njia hii ni mdogo.
2. Tundu Lissu atarudi Ubelgiji kuungana na familia yake. Kwa vile Tundu Lissu ameomba kutambuliwa kama mkimbizi nchini Ubelgiji, upo uwezekano mkubwa kuwa atarudi kule mpaka maombi yake hayo kukamilika ili familia yake iendelee kutunzwa na serikali ya Ubelgiji.
3. Tundu Lissu ataungana na Zitto Kabwe kwenye ACT. Kutokana na msuguano unaoendelea kati yake na Mbowe, iwapo ataamua kubaki nchini, anaweza kujiunga na Zitto kwenye ACT.
4. Tundu Lissu ataanzisha chama chake. Baadhi ya watu wanadhani Tundu Lissu ataibuka na kusajili chama chake kipya. Uwezekano wa kuanzisha chama baada tu ya uchaguzi ni mdogo. Historia inaonyesha vyama vingi huanzishwa unapikaribia Uchaguzi Mkuu au baada ya mivutano kwenye chaguzi za ndani za vyama.
5. Tundu Lissu ataomba nafasi kwenye serikali ya Magufuli. Wapo pia wanaoamini kuwa Tundu Lissu atamkumbusha Magufuli juu ya ahadi ya kumpa kazi. Kwa vile Magufuli alitoa ahadi hiyo hadharani, itakuwa ni uungwana kuitekeleza. Hii pia itasaidia kumuwezesha Tundu Lissu kujikimu na kuirudisha familia yake nchini.
Kama mnavyoona, matarajio ni mengi, lakini cha muhimu zaidi tuendelee kumuomba Mungu atijalie uchaguzi wa amani na utulivu ili tuendelee kuijenga nchi yetu.
Mungu Ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania...
Msuguano uliopo na unao onekana wazi wazi ni Kati ya JK na JPM katika uchaguzi mkuu huu.Endeleeni kuota, hakuna msuguano wowote kati ya Lissu na Mbowe. Msingempiga risasi hata huko Ubelgiji asingekwenda.
Hahahaha CCM bhana kipindi wanaongozana wote mlidai hawapo kimkakati. Walipoanza kuzunguka kivyao mfano Salim Mwalimu hamjapongeza ila bado mnadai wamemsusa?Lissu haongei na Mnyika, na Mbowe yupo upande wa Mnyika. Katibu Mkuu wa CHADEMA hataonekana tena kampeni hizi. Baada ya uchaguzi huu Kati ya Mnyika au Lissu lazima mmojawapo aondoke CHADEMA.
Wengi humu mmejaa ushabiki Ila huko jikoni hali sio shwari. Lissu kaja kuizika CHADEMA rasmi. Yeye anajipambania hawapiganii madiwani wala wabunge wake. Mdee na Lema hawajihusishi na kampeni za Lissu. Mwenye macho haambiwi tazama.
CCM+ wajumbe= KANUNa wengine wanaamini ndiye atakuwa rais
Karibu kwenye sherehe ya kumuapisha John Pombe MagufuliEndeleeni kuota, hakuna msuguano wowote kati ya Lissu na Mbowe. Msingempiga risasi hata huko Ubelgiji asingekwenda.
Jiandaeni kuwaandaa mawakili wa kuwatetea The Hague. Kuna kila dalili wezenzetu kupeleka gereza the Guatemala.Karibu kwenye sherehe ya kumuapisha John Pombe Magufuli
Watajihusisha vipi na kampeni ya Lisu wakati nao wana kibarua cha kunusuru ubunge majimboni kwao!Lissu haongei na Mnyika, na Mbowe yupo upande wa Mnyika. Katibu Mkuu wa CHADEMA hataonekana tena kampeni hizi. Baada ya uchaguzi huu Kati ya Mnyika au Lissu lazima mmojawapo aondoke CHADEMA.
Wengi humu mmejaa ushabiki Ila huko jikoni hali sio shwari. Lissu kaja kuizika CHADEMA rasmi. Yeye anajipambania hawapiganii madiwani wala wabunge wake. Mdee na Lema hawajihusishi na kampeni za Lissu. Mwenye macho haambiwi tazama.
Lissu haongei na Mnyika, na Mbowe yupo upande wa Mnyika. Katibu Mkuu wa CHADEMA hataonekana tena kampeni hizi. Baada ya uchaguzi huu Kati ya Mnyika au Lissu lazima mmojawapo aondoke CHADEMA.
Wengi humu mmejaa ushabiki Ila huko jikoni hali sio shwari. Lissu kaja kuizika CHADEMA rasmi. Yeye anajipambania hawapiganii madiwani wala wabunge wake. Mdee na Lema hawajihusishi na kampeni za Lissu. Mwenye macho haambiwi tazama.
The Hague mna nini cha kuwapa wazungu nyie...mkono mtupu haulambwi blaza mzungu hapokei povuJiandaeni kuwaandaa mawakili wa kuwatetea The Hague. Kuna kila dalili wezenzetu kupeleka gereza the Guatemala.