Pre GE2025 Tundu Lissu: Bila Katiba Mpya, Bila Tume Huru ya Uchaguzi CHADEMA haitashiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025

Pre GE2025 Tundu Lissu: Bila Katiba Mpya, Bila Tume Huru ya Uchaguzi CHADEMA haitashiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA mh Tundu Antipas Lissu amesema yeye kugombea Urais wa JMT ni hadi ipatikane Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi.

Kimsingi CHADEMA tutaonekana Watu wa ajabu sana kama tutashiriki Uchaguzi mkuu wa 2025 kwa Katiba hii na Tume hii ya Uchaguzi amesema Lissu.

Lissu amesema CHADEMA ndio Chama pekee cha Upinzani nchini ndio sababu walipokataa kujumuishwa Kwenye Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla na Kikosi chenyewe kikafa ganzi hapo hapo na hakisikiki tena popote.

Chanzo: ITV
 
Kikosi Cha prof. Mkandala kipi tena anachokisemea makamu Mwenyekiti wakati kazi yake iliisha na mapendekezo yakatolewa?

Acha wasuse tu kuna CHAUMA , na vinginevyo hivyo vikishiriki vinatosha kabisa kuelezea demokrasia. Wakisusa hawarudi tena mchezoni.

Makamu aangaliwe napata wasiwasi naye
 
Uchaguzi watashiriki na ccm itashinda nafikiri atakimbilia ushogani tena
Kila kitu kwenu ni ushoga wakati mnaohuko kwenu mkiufuga na serikali yenu na chama chenu kuubariki.
JamiiForums1999776609_240x320.jpg
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA mh Tundu Antipas Lisu amesema yeye kugombea Urais wa JMT ni hadi ipatikane Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi.

Kimsingi CHADEMA tutaonekana Watu wa ajabu sana kama tutashiriki Uchaguzi mkuu wa 2025 kwa Katiba hii na Tume hii ya Uchaguzi amesema Lissu.

Lissu amesema CHADEMA ndio Chama pekee cha Upinzani nchini ndio sababu walipokataa kujumuishwa Kwenye Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla na Kikosi chenyewe kikafa ganzi hapo hapo na hakisikiki tena popote.

Source: ITV
Tunasoma nyakati. Haya maneno ndiyo yale yale ya Yaliyotokea , Brazil na juzi kati marekani. Ni hatari sana, huyu shemeji yangu huyu anausaka dola kwa nguvu zote. Hapo juu nimeona neno Mamluki. haya majamaa wasije anzisha vurugu ilimradi tu walijeruhiwa basi ndio iwe 'haki' wao kuingia madarakani kwa kutumia mamluki na kuanzisha siasa za Visasi.

Wananchi wachague kwa uangalifu sana 2025

Nilinena
 
Labda kwa taarifa yako na mamluki wengine ni kwamba , bila Katiba mpya hakutakuwa na uchaguzi .

Hifadhi hili andiko
Lakini inalazimu kuuliza swali: hiyo "Katiba Mpya" itaota kama uyoga?

Mi nadhani ni wakati mwafaka sasa wa kuwa wakweli, na kuweka mkazo katika mambo yanayowezekana kufanyika kwa wakati uliosalia, ili uchaguzi uonekane kuwa wa "Haki na Huru", kuliko kuendelea kuweka matumaini katika jambo ambalo uwezekano wake unaelekea ukingoni, kutokana na muda uliosalia.

Samia kishafanikiwa katika hili la Katiba Mpya,( kwa kuchelewesha wakati) sasa mzozeni juu ya uchaguzi wa wazi na ulio huru kabisa.
 
Lakini inalazimu kuuliza swali: hiyo "Katiba Mpya" itaota kama uyoga?

Mi nadhani ni wakati mwafaka sasa wa kuwa wakweli, na kuweka mkazo katika mambo yanayowezekana kufanyika kwa wakati uliosalia, ili uchaguzi uonekane kuwa wa "Haki na Huru", kuliko kuendelea kuweka matumaini katika jambo ambalo uwezekano wake unaelekea ukingoni, kutokana na muda uliosalia.

Samia kishafanikiwa katika hili la Katiba Mpya,( kwa kuchelewesha wakati) sasa mzozeni juu ya uchaguzi wa wazi na ulio huru kabisa.
Kweli kabisa!
 
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA mh Tundu Antipas Lisu amesema yeye kugombea Urais wa JMT ni hadi ipatikane Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi.

Kimsingi CHADEMA tutaonekana Watu wa ajabu sana kama tutashiriki Uchaguzi mkuu wa 2025 kwa Katiba hii na Tume hii ya Uchaguzi amesema Lissu.

Lissu amesema CHADEMA ndio Chama pekee cha Upinzani nchini ndio sababu walipokataa kujumuishwa Kwenye Kikosi Kazi cha Prof Mkandalla na Kikosi chenyewe kikafa ganzi hapo hapo na hakisikiki tena popote.

Source: ITV
Washiriki walioshiriki uchaguzi upo palepale, Tutaenda na chama cha hoja ACT
 
Lakini inalazimu kuuliza swali: hiyo "Katiba Mpya" itaota kama uyoga?

Mi nadhani ni wakati mwafaka sasa wa kuwa wakweli, na kuweka mkazo katika mambo yanayowezekana kufanyika kwa wakati uliosalia, ili uchaguzi uonekane kuwa wa "Haki na Huru", kuliko kuendelea kuweka matumaini katika jambo ambalo uwezekano wake unaelekea ukingoni, kutokana na muda uliosalia.

Samia kishafanikiwa katika hili la Katiba Mpya,( kwa kuchelewesha wakati) sasa mzozeni juu ya uchaguzi wa wazi na ulio huru kabisa.
Wakianza kulegea hivi, ujue baada ya muda wakishazoeleka hata hicho kidogo wanachotaka nacho watanyimwa, bora msimamo ubaki huo huo bila hofu ya muda kupotea.
 
Mimi nadhani kilicho muhimu ni kutosusia uchaguzi kwa vile itapelekea kuwanyima wananchi haki yao,nafikiri kilicho muhimu ni serikali kuendelea na maridhiano,pili kuifanyia marekebisho kwa muda uliobaki katiba na Tume ya Uchaguzi ili angalau kuona haki na uchaguzi huru unakuwepo. Muhimu CDM na wananchi waangalie taswira na mwelekeo wa utawala wa sasa iwapo kuna utashi wa kisiasa hicho pia ni muhimu sana katika kufanya maamuzi yoyote yale. Kwangu mimi hali ya kisiasa nchini kwa sasa imebadilika sana inatoa fursa ya mabadiliko ukilinganisha na utawala uliopita. Tujiulize je kususa bado ni silaha bora ya kuleta mageuzi au ni kujididimiza zaidi kama ilivyofanyika kwenye bunge la katiba,kuweni strategic CDM ili mfanikiwe
 
Ifanyike kampeni kubwa ya kuelimisha umma ili kama kikundi hicho kinachonufaika na Katiba mbay hakitakuwa tayari kuungana na wananchi kutafuta katiba mpya, kibakie pekee. Kitangazwe ni adui wa Taifa, wananchi wote wenye mapenzi mema waungane na wapambane dhidi ya hao mabaradhuli wasiolitakia mema Taifa letu.
 
Back
Top Bottom