Tundu Lissu Chadema imegharimu sana maisha yako na kukupa hasara kubwa. Hawa sio watu wema

Tundu Lissu Chadema imegharimu sana maisha yako na kukupa hasara kubwa. Hawa sio watu wema

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.

Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.

Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.

Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.

Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.

Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
 
Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.

Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.

Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.

Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.

Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.

Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Wasaliti wote lazima waone Chadema SII sehemu yao na wale wamichongo wote😝
 
Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.

Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.

Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.

Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.

Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.

Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Wewe siasa zako ni za chuki binafsi, ukabila, na ubinafsi. Sijui unatetea nini katika hoja zako na kwa maslahi ya nani.
 
Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.

Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.

Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.

Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.

Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.

Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Lisu ajiunge na NGO ya haki za binadamu sio Siasa,hizo haziwezi.
 
Ni kweli kabisa Chadede ni watu wabaya sana.

Hakuna aliyeondoka hapo akiwa mzima.

Kama sio kilema basi anakua kaharibikiwa maisha.
 
Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.

Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.

Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.

Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.

Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.

Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Ng'ombe tu
Tena li ng'ombe yaani
 
Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.

Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.

Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.

Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.

Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.

Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Kama yeye hajuwi wewe ni nani hadi umlazimishe kuona maumivu?
 
Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.

Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.

Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.

Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.

Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.

Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Kweli nimeamini shetani akizeeka anakuwa malaika. Kama hauna jipya kakojoe ulale. PUMBAFU
 
Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.

Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.

Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.

Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.

Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.

Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Dogo upo shallow mno kwenye kujenga hoja! Na hili linakunyima fursa nyingi Sana! Tafuta darasa usome Tena Kwa kutumia sana ili uelewe na siyo ufaulu!
Anyway, hoja yako ni takataka Kama zilivyo za machinjio ya tegeta kwani imejaa upumbavu mwingi! Huwezi kumshauri majeruhi ambaye anamfahamu aliyejeruhi na sababu za kujeruhiwa kwake akakuelewa!
Lissu ana akili timamu na anaujua mchezo wote na waliohusika. Ingekuwa cdm wamehusika Kwa namna yoyote ageshaongea kwani ana silika hiyo ya kuongeaongea na asingenyamaza! Anajua bila msaada wa Mbowe et Al na cdm kujitoa na kumlinda ndani ya ndege asingevuka mipaka ya Dodoma akiwa hai!
Anajua hata ulinzi aliowekewa kule agha Khan Nairobi uliwezeshwa na Mbowe na cdm! Hajasahau na hatasahau Kwa jinsi cdm na members wake walivyojitoa Kwa hali na Mali kuulinda uhai wake muda wote alipokuww mahtuti.
Huu mchongo wako uliojaa upuuzi mwingi una lengo la kuichafua cdm na mwenyekiti wake ni wivu TU na njaa pamoja na ulimbukeni wa kupropagate unakusumbua!
Nimekusaidia kuelewa kuwa una upumbavu mwingi kichwani so, fanya kutafuta dawa ya kimasai uharishe ili upone! Mbowe anazoezwa milango ya ikulu taratiiiiibu wewe bweka TU humu!
 
Back
Top Bottom