Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Fanya haraka kublock!Unapenda kujibu ujinga huku Kiswahili haukijui.Endelea umuone nani mbishi.Unaulizwa maswali unatukana?We shoga unasumbua sana ngoja nikublock
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya haraka kublock!Unapenda kujibu ujinga huku Kiswahili haukijui.Endelea umuone nani mbishi.Unaulizwa maswali unatukana?We shoga unasumbua sana ngoja nikublock
Kwa hiyo afanye nini? Umeiachia hoja yako njiani, ina hang.....Ulikuwa ni mwanasheria mzuri na mpaka sasa ni mwanasheria mzuri sana.
Ulikuwa ukipigania haki za watanzania kwa weledi mkubwa sana.
Kumbuka sakata la wananchi wa Bulyanhulu ulivyowasaidia kupigania haki zao. Hawa ni wananchi waliofukiwa na serikali ili kupisha muwekezaji aweke mgodi pale Bulyanhulu.
Ulikuwa umejikita kwenye ishu za kutetea haki za binadamu na ulifanya kazi kwa weledi.
Ulipoingia kwenye siasa na kujiunga Chadema hapo ndipo ulianza kuharibu mambo yako.
Ni kwa sababu hukujua kuwa Chadema imejaa wanafiki na masnitch na hawa ndio waliokuuza na mpaka sasa umepata ulemavu wa kudumu. Chadema sio watu wema. Muulize Dk Godwin Mollel.
Maisha ya Lissu hayajaharibika. Hana dhiki. Taaluma yake ni ya uhakika na anaitumia kwa ufanisi mkubwa kitaifa na kimataifa. Anaishi katika maadili yake kwa kadiri dhamiri yake inavyomuongoza. Hategemei fadhila za wanasiasa. He’s incorruptible. What else defines success?Hoja ni nama Lissu alivyoruin maisha yake baada ya kujoin Chadema.