Pre GE2025 Tundu Lissu: Chama hakitaokolewa na mtu ambaye ameshakiongoza kwa miaka 21. Namuokoa Mbowe asiwe 'Mugabe'

Pre GE2025 Tundu Lissu: Chama hakitaokolewa na mtu ambaye ameshakiongoza kwa miaka 21. Namuokoa Mbowe asiwe 'Mugabe'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

sonofobia

JF-Expert Member
Joined
Jun 21, 2015
Posts
1,171
Reaction score
4,295
Lissu ameendelea kumkalia kooni Freeman Mbowe, safari hii ameiambia BBC anataka kumuokoa Mbowe asitoke kwenye chama kwa aibu kama Mugabe.
---
Chama hakiwezi kuokolewa na mtu aliyekiongoza kwa miaka 21"

Mgombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Tundu Lissu amesema hatua yake ya kutaka uongozi wa chama hicho unalenga kulinda heshima ya kisiasa ya Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe.

Amesema hayo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa BBC, Sammy Awami

Soma ~ Lissu: Mbowe alivyotoka gerezani alibadilika, akasema hawezi kutuambia kila kitu alichozungumza na Rais
 
"Chama hakiwezi kuokolewa na mtu aliyekiongoza kwa miaka 21"
-
Mgombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Tundu Lissu amesema hatua yake ya kutaka uongozi wa chama hicho unalenga kulinda heshima ya kisiasa ya Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe.
-
Amesema hayo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa BBC

 
"Chama hakiwezi kuokolewa na mtu aliyekiongoza kwa miaka 21"
-
Mgombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Tundu Lissu amesema hatua yake ya kutaka uongozi wa chama hicho unalenga kulinda heshima ya kisiasa ya Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe.
-
Amesema hayo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa BBC

View attachment 3195983
Bado siamini kama CHADEMA itatoka salama kwenye hii civil war. Haijalishi mshindi ni nani.
 
Sio sababu Wenje alitumwa kugombea Makamu tena ?

Tatizo wanasiasa au hata mwanaharakati akishavaa kofia ya mwanasiasa chochote anchosema, take it with a pinch of salt...
 
Back
Top Bottom