Pre GE2025 Tundu Lissu: Chama hakitaokolewa na mtu ambaye ameshakiongoza kwa miaka 21. Namuokoa Mbowe asiwe 'Mugabe'

Pre GE2025 Tundu Lissu: Chama hakitaokolewa na mtu ambaye ameshakiongoza kwa miaka 21. Namuokoa Mbowe asiwe 'Mugabe'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hivi ni kwa nini wapenzi wa ccm wanampenda Mbowe kwa ghafla ghafla sana hivi? ni nini kipo ndani au nyuma ya pazia la ccm? Nijuzeni tafadhari...
 
Bado siamini kama CHADEMA itatoka salama kwenye hii civil war. Haijalishi mshindi ni nani.
Akishinda Lisu, utauona mwamko mpya wa CHADEMA na wa watu wote wasioridhishwa na jinsi nchi inavyoongozwa. LAKINI kama atashinda MBOWE, nchi itakuwa kama vile ipo kwenye msiba, na hakuna mtu atakayepoteza muda wake kwa sababu ya CHADEMA.
 
"Chama hakiwezi kuokolewa na mtu aliyekiongoza kwa miaka 21"
-
Mgombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Tundu Lissu amesema hatua yake ya kutaka uongozi wa chama hicho unalenga kulinda heshima ya kisiasa ya Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe.
-
Amesema hayo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa BBC

View attachment 3195983
Unafananisha vipi kiongozi wa chama na kiongozi wa nchi (rais)!
 
"Chama hakiwezi kuokolewa na mtu aliyekiongoza kwa miaka 21"
-
Mgombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Tundu Lissu amesema hatua yake ya kutaka uongozi wa chama hicho unalenga kulinda heshima ya kisiasa ya Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe.
-
Amesema hayo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa BBC

View attachment 3195983
Du, lakini jamaa anajua kufikisha ujumbe. Yaani anapiga kwenye mshono tu wala hakosei.
 
Akishinda Lisu, utauona mwamko mpya wa CHADEMA na wa watu wote wasioridhishwa na jinsi nchi inavyoongozwa. LAKINI kama atashinda MBOWE, nchi itakuwa kama vile ipo kwenye msiba, na hakuna mtu atakayepoteza muda wake kwa sababu ya CHADEMA.
Itakuwa vizuri ili wananchi wawe wanaangalia taasisi badala ya mtu. Mtu anaweza akaondoka mda wowote lakini taasisi itaishi.
 
"Chama hakiwezi kuokolewa na mtu aliyekiongoza kwa miaka 21"
-
Mgombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Tundu Lissu amesema hatua yake ya kutaka uongozi wa chama hicho unalenga kulinda heshima ya kisiasa ya Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe.
-
Amesema hayo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa BBC

View attachment 3195983
Imeisha hiyoo...
 
"Chama hakiwezi kuokolewa na mtu aliyekiongoza kwa miaka 21"
-
Mgombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Tundu Lissu amesema hatua yake ya kutaka uongozi wa chama hicho unalenga kulinda heshima ya kisiasa ya Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe.
-
Amesema hayo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa BBC

View attachment 3195983
Lissu ni akili kubwa.
 
Wapiga kura washakwambia hawakupi chama mzee, so anza kujipanga kwa maisha mapya ya kisiasa baada ya uchaguzi.
 
Akishinda Lisu, utauona mwamko mpya wa CHADEMA na wa watu wote wasioridhishwa na jinsi nchi inavyoongozwa. LAKINI kama atashinda MBOWE, nchi itakuwa kama vile ipo kwenye msiba, na hakuna mtu atakayepoteza muda wake kwa sababu ya CHADEMA.
Ndio mnavyo jidanganya ma keybord worrior?
 
Kama kwenye uenyekiti tu hataki kung'atuka , akiwa raisi si ndio atafia madarakani
Raila Odinga kaongoza chama chake tangu enzi za Moi na alio pambana nao wawili walisha fariki Moi na Kibaki but still yeye ni mwenyekiti na wanachama wanaona ni sawa
 
Itakuwa vizuri ili wananchi wawe wanaangalia taasisi badala ya mtu. Mtu anaweza akaondoka mda wowote lakini taasisi itaisha
Kama wanaangakia Taasisi hawahitaji mtu wa kuwaongoza, Wakenya hawategemei kiongozi yoyote wa siasa wao kuingia Barabarani.
 
Back
Top Bottom