Pre GE2025 Tundu Lissu: Chama hakitaokolewa na mtu ambaye ameshakiongoza kwa miaka 21. Namuokoa Mbowe asiwe 'Mugabe'

Pre GE2025 Tundu Lissu: Chama hakitaokolewa na mtu ambaye ameshakiongoza kwa miaka 21. Namuokoa Mbowe asiwe 'Mugabe'

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
"Chama hakiwezi kuokolewa na mtu aliyekiongoza kwa miaka 21"
-
Mgombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Tundu Lissu amesema hatua yake ya kutaka uongozi wa chama hicho unalenga kulinda heshima ya kisiasa ya Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe.
-
Amesema hayo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa BBC

View attachment 3195983
Well
 
Napenda apewe ili atofautishe theory and practical on knowing things!!

Mambo mengi anayoyaongea sivyo yalivyo apewe akajionee
Wafuasi wanaamini kwamba:

1. Akipata hiko cheo ataleta katiba mpya kutoka CCM,

2. Ataleta wanachama wengi ikiwemo diaspora wote nje ya nchi,

3. Kwamba akiwa mwenyekiti nchi za magharibi zitamsaidia yeye kuitoa CCM madarakani,

4. Kwamba akiwa yeye atafanya mobilization nchi nzima kuitoa CCM madarakani!!.

5. Wanaamini kwamba akishinda tuu chadema basi na ikulu kachukua

6. Wafuasi wake wanajiita gen Z!! Kwamba watapiga kura kwake kuliko lowasa mwaka 2015!!. Na kwa msingi huo lazma ashinde!!
 
Napenda apewe ili atofautishe theory and practical on knowing things!!

Mambo mengi anayoyaongea sivyo yalivyo apewe akajionee
Wafuasi wanaamini kwamba:

1. Akipata hiko cheo ataleta katiba mpya kutoka CCM,

2. Ataleta wanachama wengi ikiwemo diaspora wote nje ya nchi,

3. Kwamba akiwa mwenyekiti nchi za magharibi zitamsaidia yeye kuitoa CCM madarakani,

4. Kwamba akiwa yeye atafanya mobilization nchi nzima kuitoa CCM madarakani!!.

5. Wanaamini kwamba akishinda tuu chadema basi na ikulu kachukua

6. Wafuasi wake wanajiita gen Z!! Kwamba watapiga kura kwake kuliko lowasa mwaka 2015!!. Na kwa msingi huo lazma ashinde
 
Napenda apewe ili atofautishe theory and practical on knowing things!!

Mambo mengi anayoyaongea sivyo yalivyo apewe akajionee
Una vituko ww,kumbuka Lissu ni mwenyekiti mwenza wa hicho chama cha Kichaga.
 
Unamtaja mbowe yupi? Yule aliyekuokoa kufa Dodoma,au mwingine?
 
Wafuasi wanaamini kwamba:

1. Akipata hiko cheo ataleta katiba mpya kutoka CCM,

2. Ataleta wanachama wengi ikiwemo diaspora wote nje ya nchi,

3. Kwamba akiwa mwenyekiti nchi za magharibi zitamsaidia yeye kuitoa CCM madarakani,

4. Kwamba akiwa yeye atafanya mobilization nchi nzima kuitoa CCM madarakani!!.

5. Wanaamini kwamba akishinda tuu chadema basi na ikulu kachukua

6. Wafuasi wake wanajiita gen Z!! Kwamba watapiga kura kwake kuliko lowasa mwaka 2015!!. Na kwa msingi huo lazma ashinde!!
3 & 4 aliwa serious anaweza tena sana,kumbuka kuwa vyama vingi vikongwe Afrika vimetoka kwa njia hiyo sio kwa sanduku la kura.Mfano mzuri ni hapo Kanu ya hapo Kenya.
 
Uchaguzi huu,usimamishwe ,kupisha uchaguzi mkuu!
Mkiendelea chadema,itasabaratika
 
Sasa huyu siri za chama si zitakua sio siri tena ila huyu jamaa anajua sana kubishana mahakaman ni sehem sahihi sana kwake
Siri zipi? na za nini? kwa manufaa ya nani?uvundo ukizidi ndani mwisho hutapakaa nje na kila mtu atajionea uchafu uliokuwa unafagiliwa na kulindikwa uvunguni, jifunze kuwa msafi
 
Itakuwa vizuri ili wananchi wawe wanaangalia taasisi badala ya mtu. Mtu anaweza akaondoka mda wowote lakini taasisi itaishi.
Sana mkuu!
.
Ona Maalimu Seif alipohama alihama na CUF yake, na alipokufa ndio kabisa kafa nayo
 
Lissu ameendelea kumkalia kooni Freeman Mbowe, safari hii ameiambia BBC anataka kumuokoa Mbowe asitoke kwenye chama kwa aibu kama Mugabe.
---
View attachment 3195956
Chama hakiwezi kuokolewa na mtu aliyekiongoza kwa miaka 21"

Mgombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Tundu Lissu amesema hatua yake ya kutaka uongozi wa chama hicho unalenga kulinda heshima ya kisiasa ya Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe.

Amesema hayo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa BBC Sam Awami
Sawa chuma chetu tupo na wewe CCM wamelala siku wakiamka watakukuta upo Ikulu.
 
Lissu ameendelea kumkalia kooni Freeman Mbowe, safari hii ameiambia BBC anataka kumuokoa Mbowe asitoke kwenye chama kwa aibu kama Mugabe.
---
Chama hakiwezi kuokolewa na mtu aliyekiongoza kwa miaka 21"

Mgombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Tundu Lissu amesema hatua yake ya kutaka uongozi wa chama hicho unalenga kulinda heshima ya kisiasa ya Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe.

Amesema hayo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa BBC, Sammy Awami

Soma ~ Lissu: Mbowe alivyotoka gerezani alibadilika, akasema hawezi kutuambia kila kitu alichozungumza na Rais
Nilichomuelewa ni kuwa CDM kimepoteza mvuto kwa wananchi. Ndio maana hakujisumbua kupiga kura uchaguzi uliopita kwa sababu alijua kwa vyo vyote vile CDM itashindwa maana wananchi hawana imani nacho. Tutasikia mengi.

Amandla...
 
Lissu ameendelea kumkalia kooni Freeman Mbowe, safari hii ameiambia BBC anataka kumuokoa Mbowe asitoke kwenye chama kwa aibu kama Mugabe.
---
Chama hakiwezi kuokolewa na mtu aliyekiongoza kwa miaka 21"

Mgombea nafasi ya Uenyekiti Chadema Tundu Lissu amesema hatua yake ya kutaka uongozi wa chama hicho unalenga kulinda heshima ya kisiasa ya Mwenyekiti wa sasa Freeman Mbowe.

Amesema hayo katika mahojiano maalum na Mwandishi wa BBC, Sammy Awami

Soma ~ Lissu: Mbowe alivyotoka gerezani alibadilika, akasema hawezi kutuambia kila kitu alichozungumza na Rais
Piga spana mkuu ikifika uchaguzi hizi spana wapiga kura wa chadema zitakuwa zimewaingia kisawa sawa, ni aidha upewe wewe mwenyekiti chadema iimarike au apewe Mbowe ife kabisa
 
Back
Top Bottom