Lile jicho huwa anakula kungumanga kutoka zanzibar.Na lile jicho akitazama, ndo kabisaa
Na wewe ni mmojawapo ya walamba asaliVibaraka wa mabeberu nyie inje za inje mnatafuta nini mmeacha jengo lenu la mchongo kutwa inje za inie hopeless kabisa nyie.
Mnapinga uwekezaji ili tuendelee kuwa tegemezi kwa hao mabeberu wenu[emoji706]
Na wewe mgao wa bandari tunajua umekutembeleaHii safi sana, tulikuwa tunasema humu, kama anayake akayaongee mahakamani.
bado na Mbowe, si ndivto wanavyotaka?
Aisee/ umundu gwa mundu
Kwa hiyo wanataka arudi tena kuwa maarufu??Baada ya mawakili Mwabukusi, Madeleka & Ruge Nshala, sasa ni zamu yangu. Leo DCI Kingai ametuma watu kuleta barua ya kuripoti ofisini kwake. Wamerudi nayo baada ya kujulishwa niko nje ya nchi. Nitarudi wiki ijayo kuwakabili. Madalali wa bandari zetu wasitutishe!
Rais anayesaini mikataba ya hovyo kuliko hata wa Chifu Mangungo; anayegawa bandari zetu zote na nia za usafirishaji kisirisiri kwa wageni; anayelazimisha Bunge kubariki uharamia huo, na anayenyang'anya watu wetu ardhi zao na kuwapa wageni, anastahili kukosolewa kwa staha gani?
Tundu Lissu
Julai 18, 2023
View attachment 2692285
Barua ya wito wa Polisi
====
Mnamo jana, Julai 17 Mdau wa JF alidokeza kuwa Lissu na Mbowe walikuwa wanasakwa DOKEZO - Lissu na Mbowe wanatafutwa kukamatwa lakini Lissu aliifahamisha JF "Sijazisikia tetesi hizo. Kama ni za kweli, itakuwa ni mara ya kwanza kwa mimi au Mwenyekiti kukamatwa?"
I agree 100%Lissu is one the people who were born so the rest we can live/survive on this planet.
Kwa maneno mengine, watu aina ya Lissu, waliletwa duniani kwa malengo maalumu; wengine tulizaliwa kujaza ulimwengu(kuishi).
Ccm ni majizi ya rasilimali za Taifa
Kama Akina Lissu na Mbowe walikubali mimi na wewe ni nani tupinge?Sijawahi kupoteza imani na Lisu, japo alikosea kwa kukubali kumpokea jizi Lowassa ndani ya CDM na kupewa nafasi adhimu ya kugombea urais wakati alikuwa hastahili.
Ila siku hizi watu wameanz kuupotezea ndio maana wameanza kushtuka hata kwenye DPHuu mwenge unatakiwa itupwe mbali ndio inafanya Watanzania watawaliwe na mazuzu..usikute ndio kimbola tunapigwa watanzani tunakosa umoja wa kusimamia mambo yetu.
Sasa watafanyaje ndugu yangu.Polisi sasa wanaanza kujichanganya
Samahani bwana Red blood cells hivi akitumia lugha ya ustaha ni kwamba hatoeleweka ama naye ni wale wanaotafuta sifa mitandaoni?
Tulia Popomalism...Kamata hao weka kolokoloni wasote kabisa mpaka 2026. Mbowe na Lisu ni wahuni wahuni, walitutukania Dkt Magufuli mpaka wakafanya sherehe ya kifo chake na wameyakoroga tena kwa Mama, acha wakomeshwe...