Tundu Lissu: Filamu ya Royal Tour ni biashara kubwa Amazon. Je, nani mwenye hakimiliki? Mgawo wetu ni kiasi gani?

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,623
Reaction score
8,442
Ameandika Tundu Lissu katika akaunti yake ya Twitter

Movie ya Royal Tour kumbe ni biashara kubwa Amazon. Kukodi Sh. 13,930, Kuuza sh. 37,150. Swali langu ni je, mwenye hatimilki ya movie - & kwa hiyo mmiliki wa pesa hizo - ni nani? Je, mgawo wetu ni kiasi gani kwa vile main character ni Rais wetu & location ya movie ni mbuga zetu?

 
Kama tunapata % tu nitamdharau sana bibi Hangaya, nikiangalia ule msafara na posho walizokuwa wakilipana watu kwa siku wakati hiyo filamu ikirekodiwa, kwamba serikali ndio imegharamia halafu sisi tusipate chochote narudia tena nitamdharau sana huyu Bibi.
 
Chadema walivuta mamia ya mamilioni kwa sabodo ili wajenge Ofisi ya makao makuu ya chama, Hela wakagawana Mnyika ...Mbowe ...na Lissu. Mpaka Leo chama kimepanga katika Ofisi za baba mkwe wa Mbowe Mzee Mtei, yaani chama kinamlipa Kodi baba mkwe wa Mbowe, Chadema tusitarajie kujengewa Ofisi ya chama, wanafamilia wanapeana kodi
 
hii tumepigwa asubuhi tu bado vipande vitakavyotumika kutengenezea filamu nyingine na vitabu vitakavyoandikwa kutokana na move hiyo vyenye pande mbili positive na negative kweli watanganyika ni wadanganyika
 

Serikali haikutoa hata senti moja. Wamesema ni fedha za wadau wengine.
 
Reactions: Yhy
Kila kitu unageuza siasa, watu wanaongelea jambo serious wewe unaongea upupu.
Shubamit
 
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA na aliyekuwa Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama hicho mwaka 2020, Tundu Lissu amehoji nchi yetu inapata kiasi gani katika filamu ya Royal Tour

Amehoji hayo baada ya kukuta filamu hiyo ikiwa inauzwa na kukodishwa katika mtandao wa Amazoni

Kupitia Twitter ameandika “Movie ya Royal Tour kumbe ni biashara kubwa Amazon. Kukodi Sh. 13,930, Kuuza sh. 37,150. Swali langu ni je, mwenye hatimilki ya movie - & kwa hiyo mmiliki wa pesa hizo - ni nani? Je, mgawo wetu ni kiasi gani kwa vile main character ni Rais wetu & location ya movie ni mbuga zetu?”

 
Wataalamu wa biashara za mitandaoni njooni huku sitaki watu waliosoma degree za kawaida za business hata ziwe PhD au waliosoma somo la business kama somo kwenye digrii zao

Nataka pure expert wa online business wajibu hili la mleta mada
 
Out of context, zinaongelewa pesa za umma sio za ponjoro.
 
Wewe kweli ni Ki
 
Kwani mliwekeza kiasi gani kwenye hiyo project?
 
Rais Samia: Royal Tour, tulitumia kama bilioni 7 gharama za kila kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…